GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,926
Hata ningekuwa ni Mimi GENTAMYCINE ndiyo Wewe Samatta kwa jinsi Watanzania walivyo na nongwa hadi kisununu na wakisahau Kushukuru nami pia ningeongopa (ningejivunja) kama Wewe kwa kusema kuwa 'ninaumwa' ili nikae pembeni na niwaachie Wachezaji wengine wa Taifa Stars waliobaki 'wapambane' Mechi zote hizi mbili tena za muda mfupi tu zijazo na Tunisia.
Kwanza najua kabisa kuwa kwa uwezo walionao Tunisia katika hizi Mechi zote mbili Tanzania (Taifa Stars) inaenda kupokea 'Vikapu' vingi tu vya 'Magoli' yanini 'nijichoshe' na nicheze wakati najua fika kuwa Mimi kama Samatta na CV yangu nikiwemo katika Mechi hizo Mbili tunazoenda Kupokea Vipigo vya 'Kishalubela' thamani yangu nayo itashuka na hata Kudharaulika?
Hongera sana 'Poppa' na nimekukubali mno kwa hii 'Mbinu' yako. Na waliokuwa wakikusema vibaya ni Mashabiki wa Yanga SC sasa wacheze Wao.
Kwanza najua kabisa kuwa kwa uwezo walionao Tunisia katika hizi Mechi zote mbili Tanzania (Taifa Stars) inaenda kupokea 'Vikapu' vingi tu vya 'Magoli' yanini 'nijichoshe' na nicheze wakati najua fika kuwa Mimi kama Samatta na CV yangu nikiwemo katika Mechi hizo Mbili tunazoenda Kupokea Vipigo vya 'Kishalubela' thamani yangu nayo itashuka na hata Kudharaulika?
Hongera sana 'Poppa' na nimekukubali mno kwa hii 'Mbinu' yako. Na waliokuwa wakikusema vibaya ni Mashabiki wa Yanga SC sasa wacheze Wao.