Hongera sana 'Captain' Mbwana Samatta 'Poppa' kwa kuamua 'Kujivunja' ili ukwepe 'Aibu' ya Taifa Stars 'Kubugizwa' Magoli na Tunisia

Hata ningekuwa ni Mimi GENTAMYCINE ndiyo Wewe Samatta kwa jinsi Watanzania walivyo na nongwa hadi kisununu na wakisahau Kushukuru nami pia ningeongopa (ningejivunja) kama Wewe kwa kusema kuwa 'ninaumwa' ili nikae pembeni na niwaachie Wachezaji wengine wa Taifa Stars waliobaki 'wapambane' Mechi zote hizi mbili tena za muda mfupi tu zijazo na Tunisia.

Kwanza najua kabisa kuwa kwa uwezo walionao Tunisia katika hizi Mechi zote mbili Tanzania (Taifa Stars) inaenda kupokea 'Vikapu' vingi tu vya 'Magoli' yanini 'nijichoshe' na nicheze wakati najua fika kuwa Mimi kama Samatta na CV yangu nikiwemo katika Mechi hizo Mbili tunazoenda Kupokea Vipigo vya 'Kishalubela' thamani yangu nayo itashuka na hata Kudharaulika?

Hongera sana 'Poppa' na nimekukubali mno kwa hii 'Mbinu' yako. Na waliokuwa wakikusema vibaya ni Mashabiki wa Yanga SC sasa wacheze Wao.
Samantha timu ya taifa huwa anarukaruka tu, bora hakuja kabisa!
 
Unakumbuka mechi ya Algeria na Stars bila bila wakamfukuza kocha ndio kinaenda kutokea kesho
 
Na kwanini tupangwe na Waarabu kila msimu wa mashindano?

Sijawahi sikia tz ipo kundi moja na Ghana au Afrika Kusini hivi.. miaka yote ni kutupwa tu kwawaarabu
 
Hata ningekuwa ni Mimi GENTAMYCINE ndiyo Wewe Samatta kwa jinsi Watanzania walivyo na nongwa hadi kisununu na wakisahau Kushukuru nami pia ningeongopa (ningejivunja) kama Wewe kwa kusema kuwa 'ninaumwa' ili nikae pembeni na niwaachie Wachezaji wengine wa Taifa Stars waliobaki 'wapambane' Mechi zote hizi mbili tena za muda mfupi tu zijazo na Tunisia.

Kwanza najua kabisa kuwa kwa uwezo walionao Tunisia katika hizi Mechi zote mbili Tanzania (Taifa Stars) inaenda kupokea 'Vikapu' vingi tu vya 'Magoli' yanini 'nijichoshe' na nicheze wakati najua fika kuwa Mimi kama Samatta na CV yangu nikiwemo katika Mechi hizo Mbili tunazoenda Kupokea Vipigo vya 'Kishalubela' thamani yangu nayo itashuka na hata Kudharaulika?

Hongera sana 'Poppa' na nimekukubali mno kwa hii 'Mbinu' yako. Na waliokuwa wakikusema vibaya ni Mashabiki wa Yanga SC sasa wacheze Wao.

Watz walivyo wanafki nao wanamatumaini et tunapenya mxiuuu Ebana nisiwe mwongo Apa ni Kichapo Chema Tena Nje Ndani Kimahesabu ya kichwa Changu Hakuna Timu yyte ya North Africa Tutakaa tuje tuwafunge..Tena na Hao Hadija Manara SC wasipoangalia watapigwa na Plateu Gentamycine Note it
 
Na kwanini tupangwe na Waarabu kila msimu wa mashindano?

Sijawahi sikia tz ipo kundi moja na Ghana au Afrika Kusini hivi.. miaka yote ni kutupwa tu kwawaarabu
Kwani hakuna nchi Kwetu huku Kusini mwa Afrika ambazo nazo huwa zinapangiwa nao ( Waarabu ) lakini bado huwa wanawatoa Jasho Waarabu?
 
Watz walivyo wanafki nao wanamatumaini et tunapenya mxiuuu Ebana nisiwe mwongo Apa ni Kichapo Chema Tena Nje Ndani Kimahesabu ya kichwa Changu Hakuna Timu yyte ya North Africa Tutakaa tuje tuwafunge..Tena na Hao Hadija Manara SC wasipoangalia watapigwa na Plateu Gentamycine Note it
Wale Al ahly na JS soura waliokufa hapo kwa mkapa wanatoka kijijini kwenu?
 
Hata ningekuwa ni Mimi GENTAMYCINE ndiyo Wewe Samatta kwa jinsi Watanzania walivyo na nongwa hadi kisununu na wakisahau Kushukuru nami pia ningeongopa (ningejivunja) kama Wewe kwa kusema kuwa 'ninaumwa' ili nikae pembeni na niwaachie Wachezaji wengine wa Taifa Stars waliobaki 'wapambane' Mechi zote hizi mbili tena za muda mfupi tu zijazo na Tunisia.

Kwanza najua kabisa kuwa kwa uwezo walionao Tunisia katika hizi Mechi zote mbili Tanzania (Taifa Stars) inaenda kupokea 'Vikapu' vingi tu vya 'Magoli' yanini 'nijichoshe' na nicheze wakati najua fika kuwa Mimi kama Samatta na CV yangu nikiwemo katika Mechi hizo Mbili tunazoenda Kupokea Vipigo vya 'Kishalubela' thamani yangu nayo itashuka na hata Kudharaulika?

Hongera sana 'Poppa' na nimekukubali mno kwa hii 'Mbinu' yako. Na waliokuwa wakikusema vibaya ni Mashabiki wa Yanga SC sasa wacheze Wao.
Futa hii takataka,
 
Back
Top Bottom