Hongera RussianRoulettte!

Status
Not open for further replies.
Félicitation!je crois que tu sera la meillure.BON COURAGE
Merci Fe Lady... Je promet de faire de mon mieux. Mais entre nous, je pense que le membre qui a commence ce poste n'est pas tres content et il est en fait contre la decision. Lis entre les lignes et tu comprendras...
Asante sana mpendwa.
 
Hongera.

Naogopa kulitaja jina lako kwa kuwa mimi ni mmoja kati ya wachache wanaokijuwa kireno.

Eu sou do pouco whi sabe que meios de Bundajo.

Kumbe matusi yanaruhusiwa thiku hithi?!
 
Naona Invisible ameona akupe shavu la umoderator! Hii ni baada ya mimi kumsisitiza sana.

Merci Fe Lady... Je promet de faire de mon mieux. Mais entre nous, je pense que le membre qui a commence ce poste n'est pas tres content et il est en fait contre la decision. Lis entre les lignes et tu comprendras...
Asante sana mpendwa.

Pourquoi?
 
Thanks for the card, soooo cute. inanihamasisha kuisheherekea weekend kuanzia saa hizi... 🙂
I'll try to be fair... within Human limits...
Sijaona umemtandika mtu BAN!
Ina maana wewe ukiwa zamu watu wanabehave decently au?

Nje ya mada: hiyo uliyoshika ni sigara au kalamu?
 
Sijaona umemtandika mtu BAN!
Ina maana wewe ukiwa zamu watu wanabehave decently au?

Nje ya mada: hiyo uliyoshika ni sigara au kalamu?
Kazi ya MOD sio kutoa ban mkuu. Kazi yake ni kuhakikisha members wa JF wanafaidi kutokana na threads na posts mbali mbali.
Ila kuna members wanachafua hiyo hali (sometimes bila kujua) na MODs wanatakiwa kuwakumbusha ku-behave, kwa kutumia njia mbali mbali. Ban haitolewi kirahisi unavo fikiria.
Hiyo avatar imeshika sigara...
 
Merci Fe Lady... Je promet de faire de mon mieux. Mais entre nous, je pense que le membre qui a commence ce poste n'est pas tres content et il est en fait contre la decision. Lis entre les lignes et tu comprendras...
Asante sana mpendwa.

Zanga lenge tiki taka motema nangai bakulutu mtima wane na mamitoo akasegi japoloki kuku wa zabanga el Mobutu Seseseko nandini japoloki papaa Mwita25, ritz nadolii FaizaFoxy. Nakadikuu?
 

Mimi napenda sana utendaji wako wa kazi RR na nina hakika hutanipiga ban tena.
 
Zanga lenge tiki taka motema nangai bakulutu mtima wane na mamitoo akasegi japoloki kuku wa zabanga el Mobutu Seseseko nandini japoloki papaa Mwita25, ritz nadolii FaizaFoxy. Nakadikuu?

... Duh ...post imenifurahisha Lol.. at least ... this words was clear.. motema.., Mamitoo and the names!
 
Leo nampongeza Invisible na crew pia na recruitment agency iliofanya mchakato mpaka akapatikana RR.Ana busara,mkarimu,mcheshi hana ujeshi ujeshi,mpenda watu na anaijua kazi yake.Hakurupuki kusolve issues.Kwa huyu JF imekula bingo,nina uhakikia Ban zitapungua au kupotea kabisa.Hivi wewe utakuwaje mtu usimuelewe RR? Ukifanya kosa mwenyewe waomba msamaha.

Nakupongeza sana RR na ubarikiwe.May Lord be with you kutuongoza.Naahidi nitakuwa bega kwa bega na wewe.
 
Asante sana bwana/Bibi 60000. na mimi nakupongeza kwa akili yako na uwezo wako wa uchunguzi. uliingia jana tu na hii ni post yako ya 6 ila umesha jionea hayo yote ambayo wengine hawaoni... Asante sana mkuu. tuko pamoja. hahahahahaha
 
Asante sana bwana/Bibi 60000. na mimi nakupongeza kwa akili yako na uwezo wako wa uchunguzi. uliingia jana tu na hii ni post yako ya 6 ila umesha jionea hayo yote ambayo wengine hawaoni... Asante sana mkuu. tuko pamoja. hahahahahaha
Ubarikiwe,mimi ni msomaji mkongwe wa JF ila sikuwa na jina ila kwa sasa nimekata shauri na mi niwe mwenzenu.
PaH Mojah
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…