Hongera Rais Magufuli kwa kuzima jaribio la kuitikisa Serikali yako

Unafikiri bunge litatoa nini kipya ambacho akijasemwa mitandaoni? Rais kaonesha msisitizo kuwa huu ujinga haupi nafasi na kumwambia Mh Makonda chapa kazi na yeye hapangiwi cha kufanya. Wabunge kama wanataka kuaibika waendelee.
Aendelee kuvamia ofisi za watu si ndio
 
mfano gani mkubwa alioubuni yeye ambao unatekelezwa...?? Zaidi ya miradi yooooote kuikuta iko hatua zamwisho kuanza utekelezaji wakeo
Tuwe tunaacha unafiki kwenye ukweli tukubali bhana

Hiyo miladi ndio inatupa wakati mgumu wa kujua bajeti imekwenda wapi ya elfu bili na 16/17
 
Kati ya Trilion 11 (100%) za maendeleo ni Trilion 3.9 (34%) pekee ndizo zilizo tolewa kwa ajili ya miradi hiyo. Hapo toa mchwa wa CCM + Halmshauri. (Posho, safari/usafiri, rushwa/ufisadi, miradi hewa, mafuta, nk). Zina baki Trilion 2 tu utekelezaji. Na 64% huwa ni mapambo ya makaratasi tu.

Hapo bado kuna mtu anashabikia eti nchi ya viwanda. Ebu kaaeni mle viporo mlale.
 
Mkuu Lizaboni, unapozungumzia Tanzania au Serikali unazungumzia mambo yanayotuhusu sote. Achana na habari zako za kichochezi kwakuwa huna ushahidi wowote wa kuiweka nchi kwenye tension. Nani alitaka kuitikisa Serikali? Andika porojo zako kuhusu mambo mengine, si mambo ya kiserikali. Na usikie.
Tena huyu lizaboni amejitoa ufahamu"
Lakini simcheki maana tatizo lake nalijua kipindi yuko school alizoea sana kupiga punyeto ndio maana huwa siku hizi anashindwa kujielewa haya mambo aliyoyaandika kwa akili yake yako sawa " lakini kwa sisi tunamuona kama muathirika wa punyeto na ufisiem
 
Mkuu Lizaboni, unapozungumzia Tanzania au Serikali unazungumzia mambo yanayotuhusu sote. Achana na habari zako za kichochezi kwakuwa huna ushahidi wowote wa kuiweka nchi kwenye tension. Nani alitaka kuitikisa Serikali? Andika porojo zako kuhusu mambo mengine, si mambo ya kiserikali. Na usikie.
mkuu huyu kijana ni bure kabisa, hana hoja ni umbea unafiki na kujipendekezatu.

Kila akija jukwaani ujue kaleta umbea,majungu,na uzabizabiatu.

Wakati mwingine mimi namshangaa sana hivi hata Akili za kuazima hana?

Angekuja na hoja za msingi watu wangemuunga mkono. Lakini kwa sasa watanzania hawataki bla bla wanataka waambie matrilioni yanayokusanywa kila mwenzi yanawafanyia nini na sio umbea.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Wabaya wa Serikali ya awamu ya Tano walijipanga kuhakikisha Serikali inatikiswa na nchi inayumba. Wabaya hao walipata nguvu zaidi baada ya kuungana na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya sambamba na watorosha madini nje ya nchi. Walihakikisha kuwa wanawarubuni baadhi ya watu muhimu wa Serikali waliowaona wanawaunga mkono. Aidha, walihakikisha kuwa Bunge linatumika kuhalalisha mipango yao ovu.

Thanks God. Hali kwa sasa imetulia. Uimara wa Rais Magufuli ndio ulioleta utulivu. Kasimama kama Mkuu wa Nchi kukataa kuchezewa masharubu.

Kwaa jinsi alivyoidhibiti hali hii sidhani kama kutakuwa na jaribio jingine. Nchi inasonga mbele na Tanzania yenye neema yaja.
kijana fikiria kabla ujaandika.

Hizo sera za kusafirisha mchanga nje ya nchi zilitungwa na nani?

Kama sera mlitunga wenyewe na mkaingia mikataba mibovu na hao wawekezaji sasa mnakuja kutuhadaanini wananchi?

Hivi mnajua kujitafutia misifa ndiyo kunao tugharimu wananchi kulipa deni la tanesco kwa?

Uwe unafikiria kabla ya kuandika, serikali inajitetemesha yenyewe kwa kukubali kuingia mikataba yenye unyonyaji mkubwa kwa rathilimali za taifa.

Ningeona jambo la maana sana kama Ndugu Rais angewashugulikia watangulizi wenzake waliopita kuliko kuja na mambo ambayo yataiingiza nchi kwenye migogoro ya kimataifa itakayotusababishia wananchi kulipa kama tanesco.
 
Juzi nimemsikia muuza madawa ya kulevya mmoja anasema ataachana na siasa Magufuli akichaguliwa tena 2020. Nchi hii ina watu wa ajabu kwelikweli, wakati rais anahangaika kuinyoosha nchi wao wanaota kuchaguliwa.

post hii ni yakivuta bange!
 
Kati ya Trilion 11 (100%) za maendeleo ni Trilion 3.9 (34%) pekee ndizo zilizo tolewa kwa ajili ya miradi hiyo. Hapo toa mchwa wa CCM + Halmshauri. (Posho, safari/usafiri, rushwa/ufisadi, miradi hewa, mafuta, nk). Zina baki Trilion 2 tu utekelezaji. Na 64% huwa ni mapambo ya makaratasi tu.

Hapo bado kuna mtu anashabikia eti nchi ya viwanda. Ebu kaaeni mle viporo mlale.

WAMEMUDU TU KUPATA 1/3 YA BUDGET ALAFU WANASEMA ETI KUNA WABAYA WA SERIKALI YA JPM ...HAKUNA WABAYA WANAOWEZA KUMUHUJUMU RAIS NA AMIRI JESHI MKUU ....BALI WABAYA NI AKILI ZISIZOOONA MBALI .......IF YOU CANT THINK BEYOND YOUR NEXT MEAL ..UNAWEZAJE KUONGOZA WATU MILIONI 50?
 
Hakuna mtanzania asiyemnafiki.
Hata wewe unayaandika haya kinafiki
bahati mbaya sikuwahi kuish kwenye nchi ya wanafsi so kamwe will not handle unafki black ni black na white ni white full stop inanisaidia nini kua mnafsi ntakua na tofauti gani na muuaji wa kukusudia?
 
bahati mbaya sikuwahi kuish kwenye nchi ya wanafsi so kamwe will not handle unafki black ni black na white ni white full stop inanisaidia nini kua mnafsi ntakua na tofauti gani na muuaji wa kukusudia?
Kama we sio mtz sawa unafiki umeukwepa
 
Lizaboni utatumika mpaka lini na propaganda zisizo na ukweli hizo hivi kwanini hamumuogopi mungu mnavyo tumika hovyo hivyo?
 
Stomach Thinkers and Seekers hakika mna ulemavu wa akili, sasa umeandika Thread gani???
 
Na ishu ya bashite haijatulia bali mgonjwa kameza panado tu ya kupunguza maumivu subiri bunge lianze
Mzee suala la Bashite kama una ushahidi si uende mahakamani. Kwa nini unalalamikia huku. Na kama huna ushahidi naomba unyamaze kimya milele. !! Mnauumiza vichwa. Akili zetu zinawaza nchi ya viwanda sasa! Au unataka kututoa kwenye reli ili tusifanikiwe
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Wabaya wa Serikali ya awamu ya Tano walijipanga kuhakikisha Serikali inatikiswa na nchi inayumba. Wabaya hao walipata nguvu zaidi baada ya kuungana na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya sambamba na watorosha madini nje ya nchi. Walihakikisha kuwa wanawarubuni baadhi ya watu muhimu wa Serikali waliowaona wanawaunga mkono. Aidha, walihakikisha kuwa Bunge linatumika kuhalalisha mipango yao ovu.

Thanks God. Hali kwa sasa imetulia. Uimara wa Rais Magufuli ndio ulioleta utulivu. Kasimama kama Mkuu wa Nchi kukataa kuchezewa masharubu.

Kwaa jinsi alivyoidhibiti hali hii sidhani kama kutakuwa na jaribio jingine. Nchi inasonga mbele na Tanzania yenye neema yaja.
Wewe nae una styles nyingi za kulinda ugali na kusubiri bahasha ya kaki,kinachonifurahisha zaidi ni kuwa within your subjective consciousness unaelewa wazi kuwa unachoongea hakipo kichwani mwako bali unafulflil ulichotumwa,and for that you are still a slave in era of free men
 
mpaka sasa nchi imeingizwa kwenye korongo mmeshindwa kuiongoza serikali,
mawaziri wamekoseshwa confidence alafu leo mnakuja na story za kujifariji.
Confidence unakoseshwa au unatakiwa uwe nayo mwenyewe?Kama wewe ni waziri unaekoseshwa confidence basi hufai
 
Yaani ungejua kuwa sasa wananchi ndio wamejua madhaifu mimi nilikuwa natetea sana utawala huu hata mange alivyogeuka kuipinga nilimuona mwenda wazimu lakini kwa haya hapana
 
Back
Top Bottom