Hongera Rais Magufuli kwa kuzima jaribio la kuitikisa Serikali yako

Lizaboni

JF-Expert Member
Feb 21, 2013
33,894
20,372
Wadau, amani iwe kwenu.

Wabaya wa Serikali ya awamu ya Tano walijipanga kuhakikisha Serikali inatikiswa na nchi inayumba. Wabaya hao walipata nguvu zaidi baada ya kuungana na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya sambamba na watorosha madini nje ya nchi. Walihakikisha kuwa wanawarubuni baadhi ya watu muhimu wa Serikali waliowaona wanawaunga mkono. Aidha, walihakikisha kuwa Bunge linatumika kuhalalisha mipango yao ovu.

Thanks God. Hali kwa sasa imetulia. Uimara wa Rais Magufuli ndio ulioleta utulivu. Kasimama kama Mkuu wa Nchi kukataa kuchezewa masharubu.

Kwaa jinsi alivyoidhibiti hali hii sidhani kama kutakuwa na jaribio jingine. Nchi inasonga mbele na Tanzania yenye neema yaja.
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Wabaya wa Serikali ya awamu ya Tano walijipanga kuhakikisha Serikali inatikiswa na nchi inayumba. Wabaya hao walipata nguvu zaidi baada ya kuungana na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya sambamba na watorosha madini nje ya nchi. Walihakikisha kuwa wanawarubuni baadhi ya watu muhimu wa Serikali waliowaona wanawaunga mkono. Aidha, walihakikisha kuwa Bunge linatumika kuhalalisha mipango yao ovu.

Thanks God. Hali kwa sasa imetulia. Uimara wa Rais Magufuli ndio ulioleta utulivu. Kasimama kama Mkuu wa Nchi kukataa kuchezewa masharubu.

Kwaa jinsi alivyoidhibiti hali hii sidhani kama kutakuwa na jaribio jingine. Nchi inasonga mbele na Tanzania yenye neema yaja.
Nchi inasonga mbele kuelekea wapi? Acha unafiki, fanya uzalendo na uongee hali halisi ilivyo ili kumsaidia huyo rais unayemsifia
 
Hakuna kama Dr Magufuli kawa nyamazisha kimya wapiga dili wote mujini na harakati za kina mange, Gwajima, Clouz etal katika mitandao. Not in that extent wakanyweaaaaaaaaaaaaaaaa kweli Magufuli akiwa mubashara hata kwa dk 5 anatetemesha nchi kwa maneno na hutuba dhabiti.
 
aab4c2fa84a3f248f5631c7b78bd5d35.jpg
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Wabaya wa Serikali ya awamu ya Tano walijipanga kuhakikisha Serikali inatikiswa na nchi inayumba. Wabaya hao walipata nguvu zaidi baada ya kuungana na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya sambamba na watorosha madini nje ya nchi. Walihakikisha kuwa wanawarubuni baadhi ya watu muhimu wa Serikali waliowaona wanawaunga mkono. Aidha, walihakikisha kuwa Bunge linatumika kuhalalisha mipango yao ovu.

Thanks God. Hali kwa sasa imetulia. Uimara wa Rais Magufuli ndio ulioleta utulivu. Kasimama kama Mkuu wa Nchi kukataa kuchezewa masharubu.

Kwaa jinsi alivyoidhibiti hali hii sidhani kama kutakuwa na jaribio jingine. Nchi inasonga mbele na Tanzania yenye neema yaja.
Kuna viongozi wa serikali wanaovuta bangi?......
 
Hakuna kama Dr Magufuli kawa nyamazisha kimya wapiga dili wote mujini na harakati za kina mange, Gwajima, Clouz etal katika mitandao. Not in that extent wakanyweaaaaaaaaaaaaaaaa kweli Magufuli akiwa mubashara hata kwa dk 5 anatetemesha nchi kwa maneno na hutuba dhabiti.
Kwa sasa Rais Magufuli anapiga kazi ile mbaya. Watu kimyaaaaa. Muziki huu hakunaga ndani ya CHADEMA
 
Wadau, amani iwe kwenu.

Wabaya wa Serikali ya awamu ya Tano walijipanga kuhakikisha Serikali inatikiswa na nchi inayumba. Wabaya hao walipata nguvu zaidi baada ya kuungana na wafanyabiashara ya madawa ya kulevya sambamba na watorosha madini nje ya nchi. Walihakikisha kuwa wanawarubuni baadhi ya watu muhimu wa Serikali waliowaona wanawaunga mkono. Aidha, walihakikisha kuwa Bunge linatumika kuhalalisha mipango yao ovu.

Thanks God. Hali kwa sasa imetulia. Uimara wa Rais Magufuli ndio ulioleta utulivu. Kasimama kama Mkuu wa Nchi kukataa kuchezewa masharubu.

Kwaa jinsi alivyoidhibiti hali hii sidhani kama kutakuwa na jaribio jingine. Nchi inasonga mbele na Tanzania yenye neema yaja.
Shida haikuwa mtikisiko... but after math ya hilo jaribio.. imewafanya watu wengi kuiangalia serikal kwa jicho lingine.. na pia asilimia kubwa ya wanachi wanatambua sasa ukweli kuhusu utawala huu. Hii hali itawapa wakat mgum sana ccm kwenye kipind cha uchaguz
 
Back
Top Bottom