YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,905
Kichwa chako kizito kuelewa hiyo mizigo ya kuelekea Rwanda unajua huwa inatokea wapi? Kwa ufahamu mdogo ulionao? Tofauti ya transit goods to rwanda na mizigo inayoingia Rwanda tofauti yake Nini?Nimeona barua inazungumzia mizingo inayoelekea Rwanda na si transit good from Rwanda via Tanzania