johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,119
ITV wametangaza kuwepo kwa foleni ya malori inayofika kilomita 7 kule Namanga yakisubiri kuingia Kenya
Madereva wamelalamika sana na kusema hawaelewi sababu za msingi
Waziri wa Biashara Namanga kuna tatizo gani?
J5 ubarikiwe sana
====
Zaidi ya Malori 600 ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda Kenya yamekwama mpakani Namanga kwa zaidi ya wiki moja.
Msururu wa malori umesababisha foleni kubwa na huku madereva wakilalamika kuwa wamekamilisha taratibu zote za kuingia nchini humo lakini magari yao hayajavukishwa kuingia hali inayowasababishia mateso na hasara kubwa.
"Toka jumatatu gari liko ndani lakini bado hawajafanya utaratibu wa kuivusha na kwenye foleni nimemaliza siku tatu upande wa Kenya lakini hadi leo bado sijajua kama gari itavukishwa ama lah,” Martine Mfinanga, dereva wa Lori.
Over 600 trucks ferrying goods from the neighbouring country of Tanzania are stuck at the Namanga border for more than a week causing a huge snarl-up at the border town.
Truck drivers are decrying what they term as a snail-paced clearance process from Kenya's side which they say has caused them untold suffering and huge losses.
Some have been stranded here for more than a week with a stream of trucks stretching over 5KM which one would think are parked.
“Toka jumatatu gari iko ndani lakini bado hawajafanya utaratibu wa kuivusha na kwenye foleni nimemaliza siku tatu upande wa Kenya lakini hadi leo bado sijajua kama gari itavukishwa ama bado,” Martine Mfinanga, a truck driver said.
Alex Sencha, clearance agent, said the challenge arises from the disharmony between the Tanzanian and Kenyan authorities on compliance with singles customs.
“There is a problem of full implementation of singles customs territory between Kenya and Tanzania, of which Tanzanians have complied...they have deployed their officers on the Kenyan side but on our Kenyan side we have not complied, they have not deployed our officers on the Tanzanian side hence clearing the smooth clearance of goods coming into Kenya,” Alex said.
The drivers are saying they have incurred huge losses and are calling on authorities to intervene.
“Gharama imekuwa juu juu lazima tuwaongezee mileage, tuwapatie upkeep ile ya kila siku. We normally spend around one day here lakini seven days lazima tuongeze pesa so imekuwa ni problem,” Abdi Salat, a travel agent noted.
Another truck driver Hussein Kassim added: “Kwanza tumeletwa kwa parking, parking ambayo ni ya vumbi, hamna choo hamna vyakula, halafu tunatakikana tulipe parking shilling elfu tano ya Tanzania.”
Authorities from both Kenya and Tanzania are also attributing the prevailing situation to an increase in the number of transit trucks which stretch the capacity of the Namanga One Stop Border Post
“Exports za Tanzania zimekuwa mingi lakini ukiangalia utendaji umesalia palepale, tuongeze muda wa kazi tuongeze utendaji tuongeze utumishi,” Transport Manager Abdi Salat says.
They are therefore calling on both the Kenyan and Tanzanian governments to expand the facility in a bid to cater for the growing demand but until that happens, the long wait for the transit truck drivers continues.
Madereva wamelalamika sana na kusema hawaelewi sababu za msingi
Waziri wa Biashara Namanga kuna tatizo gani?
J5 ubarikiwe sana
====
Zaidi ya Malori 600 ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda Kenya yamekwama mpakani Namanga kwa zaidi ya wiki moja.
Msururu wa malori umesababisha foleni kubwa na huku madereva wakilalamika kuwa wamekamilisha taratibu zote za kuingia nchini humo lakini magari yao hayajavukishwa kuingia hali inayowasababishia mateso na hasara kubwa.
"Toka jumatatu gari liko ndani lakini bado hawajafanya utaratibu wa kuivusha na kwenye foleni nimemaliza siku tatu upande wa Kenya lakini hadi leo bado sijajua kama gari itavukishwa ama lah,” Martine Mfinanga, dereva wa Lori.
Over 600 trucks ferrying goods from the neighbouring country of Tanzania are stuck at the Namanga border for more than a week causing a huge snarl-up at the border town.
Truck drivers are decrying what they term as a snail-paced clearance process from Kenya's side which they say has caused them untold suffering and huge losses.
Some have been stranded here for more than a week with a stream of trucks stretching over 5KM which one would think are parked.
“Toka jumatatu gari iko ndani lakini bado hawajafanya utaratibu wa kuivusha na kwenye foleni nimemaliza siku tatu upande wa Kenya lakini hadi leo bado sijajua kama gari itavukishwa ama bado,” Martine Mfinanga, a truck driver said.
Alex Sencha, clearance agent, said the challenge arises from the disharmony between the Tanzanian and Kenyan authorities on compliance with singles customs.
“There is a problem of full implementation of singles customs territory between Kenya and Tanzania, of which Tanzanians have complied...they have deployed their officers on the Kenyan side but on our Kenyan side we have not complied, they have not deployed our officers on the Tanzanian side hence clearing the smooth clearance of goods coming into Kenya,” Alex said.
The drivers are saying they have incurred huge losses and are calling on authorities to intervene.
“Gharama imekuwa juu juu lazima tuwaongezee mileage, tuwapatie upkeep ile ya kila siku. We normally spend around one day here lakini seven days lazima tuongeze pesa so imekuwa ni problem,” Abdi Salat, a travel agent noted.
Another truck driver Hussein Kassim added: “Kwanza tumeletwa kwa parking, parking ambayo ni ya vumbi, hamna choo hamna vyakula, halafu tunatakikana tulipe parking shilling elfu tano ya Tanzania.”
Authorities from both Kenya and Tanzania are also attributing the prevailing situation to an increase in the number of transit trucks which stretch the capacity of the Namanga One Stop Border Post
“Exports za Tanzania zimekuwa mingi lakini ukiangalia utendaji umesalia palepale, tuongeze muda wa kazi tuongeze utendaji tuongeze utumishi,” Transport Manager Abdi Salat says.
They are therefore calling on both the Kenyan and Tanzanian governments to expand the facility in a bid to cater for the growing demand but until that happens, the long wait for the transit truck drivers continues.