Hongera rais Magufuli kuwapa vyeo vya utendaji walimu wa vyuo vikuu

Nilicheka sana Siku mwakyembe
anakana nukuu za kwenye kitabu chake
Ndio nikaamini ukishakuwa ccm huwez fanya lolote kwa manufaa ya nchi
 
Maprofesa na Doctors hawatakiwi kuwa kwenye teuzi za kisiasa. Ni kudumaza sekta ya elimu na utafiti
 
Maprofesa na Doctors hawatakiwi kuwa kwenye teuzi za kisiasa. Ni kudumaza sekta ya elimu na utafiti
Wanapelekwa kwenye maeneo ya kutumia utaalamu sio kwenye ofisi ya siasa kama akina profesa baregu,Profesa Lipumba na Profesa SAFARI!! Wote walioteuliwa na Magufuli umeona kuna aliyeteuliwa kuwa kiongozi wa CCM?

TAFITI ZAO WATAENDA KUZIFANYA KWENYE MAENEO WAENDAYO KUONA KWA NINI YAKO HIVI NA NINI KIFANYIKE YAFANYE VIZURI.

Majibu watakayopata kwenye hizo tafiti watayafanyia kazi badala ya kuyaweka maktaba vyuoni kwao na kulalamika kuwa wanafanya tafiti nyingi na hazifanyiwi kazi na watendaji.
 
Nilicheka sana Siku mwakyembe
anakana nukuu za kwenye kitabu chake
Ndio nikaamini ukishakuwa ccm huwez fanya lolote kwa manufaa ya nchi

Mwalimu Nyerere ambaye tunamuheshimu sana katika siasa za nchi Hii Alikuwa muasisi wa Chama kimoja. Lakini yeye ndiye pia alibadilisha mtazamo na mwelekeo wa siasa nchi Hii na kuingia vyama vingi. Politics is dynamic ...
 
It's a shame wasomi kuwa watumwa wa siasa. Na hichi ndo kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi

Sio watumwa walisoma ili wawatumikie wananchi.Magufuli anawapa nafasi waeende kuwatumikia wananchi moja kwa moja badala ya kujifungia madarasani na projector wakifundisha
 
Kwa hiyo huko vyuoni nani wanafundisha. Tumepiga kelele kila siku kuwa tuna upungufu wa waalimu, leo waalimu wanabebana kuwa viongozi wa serikali kuu na pengine na za mitaa. Halafu tuendelee kudanganyana kuwa elimu itakuwa nzuri, kwa vipi?
 
Sio watumwa walisoma ili wawatumikie wananchi.Magufuli anawapa nafasi waeende kuwatumikia wananchi moja kwa moja badala ya kujifungia madarasani na projector wakifundisha
sasa mbona hawayatendi waliokuwa wanayafundisha darasani?
 
Kwa hiyo akili nyingi wanazo wahadhiri pekee nchi hii?
 
Hawana jema aalofanya Rais ukweli tumewachoka. Jamani asante Mungu watu hawa hawakupewa madaraka maana hata hawajui wafanyalo.Ingekuwa Urais wa kujaribishwa wangeopewa mwaka mmoja tutuwaone wangefanya nini. Go Magufuli go. Watu walizoea Viongozi wenye elimu ndogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…