Prof wa Chemistry na TIB wapi na wapi. I can understand him being board member of TBS, TFDA, NIMR and the like. Nampongeza alikuwa nyuma yangu miaka 3! A very intelligent guy at that time, he always scored A in almost every subject, he was christened MSONGE ie AProfesa Buchwe napenda kukupongeza kwa dhati kabisa kwa kuteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya TIB.
Sina wasiwasi na weledi, utendaji wako na taaluma yako ndani ya nchi hii. Tanzania inajivunia kuwa na Profesa wa Chemistry ambaye amewahi kumsimamia (supervise) mwanafunzi wa PhD katika idara ya Kemia, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye leo ni Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Si kazi rahisi kushape mwanafunzi wa PhD hadi anapita viva vos katika kutetea thesis yake lakini iliwezekana.
Natambua kazi hii uliifanya kama timu wakati Mkuu wa Idara ya Kemia akiwa Dr. Mubofu ambaye leo ni Mkurugenzi Mkuu mpya wa TBS baada ya aliyekuwa katika nafasi hiyo (Joseph Masikitiko) kusimamishwa kazi pamoja Mkurugenzi wake wa Fedha. Masikitiko hakuwa hata na taaluma ya sayansi lakini alikuwa akisimamia shirika ambalo utendaji wake wa kila siku ulihitaji maarifa ya sayansi - maajabu ya nchi yetu, lakini bora alitumbuliwa.
Binafsi najivunia kuwa alumini wa Idara ya Kemia, UDSM, Idara ambayo imemfunza Rais wa nchi katika mchepuo wa Kemia kwa kiwango cha PhD.
Kazi njema Profesa.
Kumbe.....Tanzania inajivunia kuwa na Profesa wa Chemistry ambaye amewahi kumsimamia (supervise) mwanafunzi wa PhD katika idara ya Kemia, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye leo ni Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa sababu teuzi zinaonesha kitu Fulani kaka!......Hivi hizi pongezi ni genuine kweli au kuna hidden agenda behind.
Huu unafiki wenu mpaka lini? Kwa nini mnapenda penda sana kuingilia teuzi za Dk.Magufuli.
Chemistry na benki tena benki ya maendeleo, kesho mtakuta benki inanunua test tube na measuring cylinderDr. Aliekua mkuu wa idara ya kemia wakati wa Mh ameteuliwa mkurugenzi wa TIB, wakati huo huo Prof aliye supervise Mh wakati wa PhD yake naye ameteuliwa mjumbe wa bodi ya benki hio hio. Chemistry scientists are managing TIB. Tumuombee Raisi
Tangu lini Prof wa kemia akafanya kazi TIB kwa nini asimteue kwenye nafasi ambayo inaendana na taaluma yake? Tujifunze kutoka kwa wenzetu. Sisi tumebaki kulipa fadhila tu na sio kuangalia taaluma ya MTU na ufanisi wake.
Kiukweli inasikitisha na kutua huruma kwa aina ya viongozi tulionao, umekua mwendo wa fadhila tuuuuuuu, kila aliyemsadia anatafutiwa pa kuwekwa. Tutaona mengi awamu hii.Huu ni uchizi.Chemistry na mambo ya Finance wapi na wapi?Kinachoonekana hapa ni JPM kulipa fadhila kwa watu waliombeba wakti wa Thesis yake ya PhD hapo mlimani.
Kwa akili ya JPM anafkiri kwa vile yeye ni Chemist ameukwaa Urais kwa mizengwe bac Chemist yeyote anaweza kuwa mtawala na si KIONGOZI! Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kiongozi na Mtawala!
Kwa maana hiyo Magufuli is not a leader but just a mere Ruler and Dictator!
Ninaanza kuelewa ni kwanini ana PHD lakini hawezi kuongea hata kiingeza cha kawaida tu, kumbe ni fadhila .Huu ni uchizi.Chemistry na mambo ya Finance wapi na wapi?Kinachoonekana hapa ni JPM kulipa fadhila kwa watu waliombeba wakti wa Thesis yake ya PhD hapo mlimani.
Kwa akili ya JPM anafkiri kwa vile yeye ni Chemist ameukwaa Urais kwa mizengwe bac Chemist yeyote anaweza kuwa mtawala na si KIONGOZI! Kuna tofauti kubwa sana kati ya Kiongozi na Mtawala!
Kwa maana hiyo Magufuli is not a leader but just a mere Ruler and Dictator!
Shemeji upo?!umekuwa kimya sanaKumbe.....
P.
Na Sulphuric Acid Nacl plus Periodic TableChemistry na benki tena benki ya maendeleo, kesho mtakuta benki inanunua test tube na measuring cylinder