Hongera Mwigulu na Easter Bulaya

Hongera Mwigulu na Easter Bulaya

Police brutality haileti taswira nzuri kwa mustakabali wa Taifa letu. Serikali inabidi iache ushabiki wa kisiasa na kusimamia ipasavyo Jeshi La Polisi kwani ni chombo kinanachotegemewa kutulinda na sio kuonea na kunyayasa raia. Pengine Kuna umuhimu kwa Sheria ya Usalama wa Raia sambamba na ya uundwaji wa Jeshi lenyewe vikafanyiwa marekebisho
 
Nadhani Mwigulu anatafuta kufukuzwa ccm, Ni marufuku kwa mwanaccm kusema ukweli hadharani hata kama kwa kufanya hivyo anadhulika...!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Jamani Pdidy kaingilia mitambo ya Jf nimejaribu ku-edit mara mbili nikidhani labda nimekosea kuandika lakini inaendelea kuandika ki-Pdidy Pdidy tu

Nini kinaendelea wadau??

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Napenda kuwapongeza viongozi hawa wawili kwa msimamo wao wa kuacha ushabiki na kutetea haki za binaadam na kukiri hadharani kutokubaliana na kile kilichofanywa na police dhidi ya Profesa Lipumba hapo jana

Kipindi cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu ,wengi watavaa 'ngozi'ya kondoo lakini ndani yao ni chui piwa.
 
Jamani Pdidy kaingilia mitambo ya Jf nimejaribu ku-edit mara mbili nikidhani labda nimekosea kuandika lakini inaendelea kuandika ki-Pdidy Pdidy tu

Nini kinaendelea wadau??

BACK TANGANYIKA
Umehakiii acc we wee nilikusubiri kweli,anyway zamwakàmpya??kuniongelea post sijachangia nrakuridisha shule ya jf-rules tukumbushane anyway vijanà wanafwatilia soontatizo. Litaisha MKUU umeeme umekuwa ukichezachezasana sikunzima
 
Mwigulu anapevuka kisiasa, Hongera sana Mwigulu

nakubaliana na wewe mwiguru si mnafiki. tatizo kuna watu hawajuwi umuhimu wa kuheshimu haki za binadamu,na isitoshe lipumba ni kiongozi wa juu wa CUF, ilitakiwa wamkamate kwa staha. na hata wanachama waliokamatwa na kupigwa hawakustahili kufanyiwa hivyo maana nguvu iliyo tumika ni kubwa sana na nawashauri police wasome alama za nyakati. ubabe ulio tumika zanzibar 2001 hauna nafasi tena miaka ya leo
 
Napenda kuwapongeza viongozi hawa wawili kwa msimamo wao wa kuacha ushabiki na kutetea haki za binaadam na kukiri hadharani kutokubaliana na kile kilichofanywa na police dhidi ya Profesa Lipumba hapo jana

Mkuu, sikubahatika kuwasikia hao watu walitamka nini, naomba unihabarishe.
 
ID za JF za mwigulu zote zipo active! huyu mwigulu sitakaa nimuamini maisha yangu na ya ukoo wangu yote yaliobakia humu duniani mpaka pale atakapojitokeza hadharani na kutuambia kwa nini alimchinja mbwambo na chain saw, kwanini alimmwagia tesha tindikali na kumbabika kwa watu wengine wasio na hatia, kwanini aliingiza video ya lwakatare sauti na kumbamkia ugaidi, kwa nini aliturushia bomu kule arusha! najua hatakiri hadharani lakini Mwenyez Mungu atamsambabishia aibu atakiri kwa vitendo tu! days are numbered
nakubaliana na wewe mwiguru si mnafiki. tatizo kuna watu hawajuwi umuhimu wa kuheshimu haki za binadamu,na isitoshe lipumba ni kiongozi wa juu wa CUF, ilitakiwa wamkamate kwa staha. na hata wanachama waliokamatwa na kupigwa hawakustahili kufanyiwa hivyo maana nguvu iliyo tumika ni kubwa sana na nawashauri police wasome alama za nyakati. ubabe ulio tumika zanzibar 2001 hauna nafasi tena miaka ya leo
 
Police brutality haileti taswira nzuri kwa mustakabali wa Taifa letu. Serikali inabidi iache ushabiki wa kisiasa na kusimamia ipasavyo Jeshi La Polisi kwani ni chombo kinanachotegemewa kutulinda na sio kuonea na kunyayasa raia. Pengine Kuna umuhimu kwa Sheria ya Usalama wa Raia sambamba na ya uundwaji wa Jeshi lenyewe vikafanyiwa marekebisho

Ndugu yangu kwani unadhani hao polisi wanaamua kufanya hayo?Wanakuwa wanatekeleza maagizo ya wakubwa
 
Back
Top Bottom