kingadvisor
Senior Member
- Dec 21, 2011
- 109
- 30
Napenda kumpongeza mbunge Abudulkarim Shah kwa moyo na kujitolea aliouonyesha kusaidia wahanga wa mafuriko Dar es salaam.kajitolea kukodi boti na kujitolea yeye mwenyewe kufanya kazi ya uokoaji katika mazingira hatarishi .
Wabunge wangekukuwa wanajitolea hivi kama huyu mbunge kwenye maeneo hatari ya majanga kama huyu ningeunga mkono waongezewe posho lza ubunge akini kwa sasa HAPANA.Labda aongezewe huyu Abdulkarim SHAH.Wengine wasubiri.
Pia niipongeze ITV kwa taarifa murua ya habari iliyokuwa na muda mrefu sana wa kuonyesha taarifa za mafuriko.Ndivy hata CNN na BBC wanavyofanya litokeapo jambo kubwa coverage ya taarifa inakuwa ndefu.Taarifa za habari za TV zingine walionyesha taarifa muda mdogo utafikiri ni Non issue na walionyesha zaidi taarifa zenye kuonyesha picha ya msomaji taarifa ya habari sura yake na anayosoma na viongozi na watoa maoni wakiongea,badala ya kuonyesha muda wa kutosha mafuriko yenyewe yalivyokuwa na waokoaji wakiwa kazini.Nadhani iko haja wenye TV kujua tofauti ya taarifa ya habari ya TV na radio kuwa tofauti yake si kuwa kwenye radio humwoni mtangaziji bali kwenye TV unamwona siyo hivyo.Tofauti ni kuwa Kwenye TV unaliona tukio linalotangazwa wakati kwenye Radio hulioni.Hawa wahariri wa TV wanatakiwa warudishwe shule za utangaziji au waende ITV,BBC,CNN ,AL JAZEERA N.K wakajifunze.Hata MLIMANI TV warudi shule.
Wabunge wangekukuwa wanajitolea hivi kama huyu mbunge kwenye maeneo hatari ya majanga kama huyu ningeunga mkono waongezewe posho lza ubunge akini kwa sasa HAPANA.Labda aongezewe huyu Abdulkarim SHAH.Wengine wasubiri.
Pia niipongeze ITV kwa taarifa murua ya habari iliyokuwa na muda mrefu sana wa kuonyesha taarifa za mafuriko.Ndivy hata CNN na BBC wanavyofanya litokeapo jambo kubwa coverage ya taarifa inakuwa ndefu.Taarifa za habari za TV zingine walionyesha taarifa muda mdogo utafikiri ni Non issue na walionyesha zaidi taarifa zenye kuonyesha picha ya msomaji taarifa ya habari sura yake na anayosoma na viongozi na watoa maoni wakiongea,badala ya kuonyesha muda wa kutosha mafuriko yenyewe yalivyokuwa na waokoaji wakiwa kazini.Nadhani iko haja wenye TV kujua tofauti ya taarifa ya habari ya TV na radio kuwa tofauti yake si kuwa kwenye radio humwoni mtangaziji bali kwenye TV unamwona siyo hivyo.Tofauti ni kuwa Kwenye TV unaliona tukio linalotangazwa wakati kwenye Radio hulioni.Hawa wahariri wa TV wanatakiwa warudishwe shule za utangaziji au waende ITV,BBC,CNN ,AL JAZEERA N.K wakajifunze.Hata MLIMANI TV warudi shule.