Hata ivyo ilan ya CCM kwa miaka hyo yote hajawahi ongelea kuhusu umasikini na yeye alikuwa anatekeleza yalimo humo
Mkuu umesahau kuwa Lowassa alikuwa waziri wa maji Enzi za Mkapa, je alilifanyia nini Taifa na kero ya maji.!Unatakiwa ujue majukumu ya mbunge kwanza kabla ya kubwabwaja. Madaraka ya raisi ndiyo yanaondoa umaskini. Kagame Paul, ameondoa umaskini akiwa Raisi, na siyo akiwa makamu wa raisi enzi za paster Bizimungu. Pale ikulu ndipo penye mamlaka ya kuondoa umaskini. Ukiona nchi ni maskini muulize Raisi wa nchi ambaye ni Head of state, Head of Government and Commander in chief of the armed forces.Wewe unamuuliza mbune kwanini sehemu hakuna maji, wakati nchi ina waziri wa maji aliyeteuliwa na Raisi wako dhaifu.
Vote for Lowasa vote for ukawa.
Kisasi ulimkosea nini mkuu !! leo umenifanya nielewe kwa nini CCM wanapigana kufa na kupona ili wasije shughulikiwa na Lowassa !! asante sana mkuu.Sio hasira ndio ukweli, Lowassa yupo Chadema kulipa kisasi.!
Hata ivyo ilan ya CCM kwa miaka hyo yote hajawahi ongelea kuhusu umasikini na yeye alikuwa anatekeleza yalimo humo
Mkuu ulisema nini hii 2015Mama salma toroka uje babu seya soon atakuwa mtaani..
Makamanda Wana wayawayaNdoto ni ile ya usiku ila ya Mchana ni maruweruwe, vumilia kamanda Lowassa alikuja Chadema kwa kazi maalum na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Mkuu vipi kwema lakini.Idawa wewe utakuwa umechanganyikiwa mabadiliko ya kweli unayoyataka wewe ni yapi? Kama unaamini mabadiliko ya kweli ni yale yasiyohusisha mgombea mwenye tuhuma ningekuona unaakili kama ungefanya juhudi za kuwajenga na kuwasapoti Ana mgwira wa act au hashim rungwe au mgombea yeyote tofauti na magufuli na lowasa, lakini cha kushangaza umekuwa mnazi wa maccm lichama ambalo tulikuwa tunalinanga wote humu jamvini usiku na mchana hivi kwanini mnataka kutuaminisha ni nyinyi pekee ndo mna akili kuliko watanzania wote? Aahh mnakera sana.
Nami nasikia Magufuli ni mzuri kumsikia kwenye tv lakini sio live hivi.Kuna mwanajamii forum alisema magufuli unaweza kumsema vibaya vyovyote ukiwa mbali ila ukibahatika kukutana naye utajikuta unapata upako wa kumkubali na kunsifia kama alivyofanya lowassa Leo.
Hahaha kwa kumuogopa au point zinakosa mashikoNami nasikia Magufuli ni mzuri kumsikia kwenye tv lakini sio live hivi.
Hata kama ulikuwa na hoja za kumpinga ukikutana nae lazima unywee.
Mimi nilikuwa simkubali ila nilipokutana naye mwanza kidogo kuna vielement vya kumkubali vilianza kuota kichwani jamaa atakuwa anajipaka mafuta ya simba akichanganya na ya twigajamaa anatisha sana ukikaa naye jirani.....ni kama unaongea na Simba.
Kwema kabisa naona unafukua makaburi mie siasa za bongo nimebaki observer tu hahahah!Mkuu vipi kwema lakini.
Yaaani nimecheka mpaka naonekana kitu nilipoulizwa unacheka nini nikawaonyesha mdahalo wenu huuHahaha kwa kumuogopa au point zinakosa mashiko
Hahah kwanini mkuu ni kweli hata mbowe akikutana naye naamini atamsifia tuYaaani nimecheka mpaka naonekana kitu nilipoulizwa unacheka nini nikawaonyesha mdahalo wenu huu
Kuna aliecheka mpaka kajamba