Elections 2015 Hongera Lowassa: Wewe ni bingwa wa siasa za Tanzania

Hata ivyo ilan ya CCM kwa miaka hyo yote hajawahi ongelea kuhusu umasikini na yeye alikuwa anatekeleza yalimo humo

Bayona;
Usimwonee mtu, uwe mkweli tu na mengine yoote yatajisema tuu. Tangu lini Lowasa akatekeleza kitu?? Wali mkata kwa sababu aliwaambia kuwa akishika atatenda tofauti na sera zao.
ccm hawajawahi kutaka kuuondoa umasikini kwani wanajua watu wakiondokewa na umasikini hawatawachagua tena. Ndo maana tunakuambia chagua UKAWA uone MABADILIKOOOOOO. Usiwasikilize ccm ati nao wanasema wataleta mabadiliko. Wenyewe wanaimba kuwa ccm ni ile ile hivyo ukiwachagua usijelia kama hakuna mabadiliko
 
Mkuu umesahau kuwa Lowassa alikuwa waziri wa maji Enzi za Mkapa, je alilifanyia nini Taifa na kero ya maji.!
 
Sio hasira ndio ukweli, Lowassa yupo Chadema kulipa kisasi.!
Kisasi ulimkosea nini mkuu !! leo umenifanya nielewe kwa nini CCM wanapigana kufa na kupona ili wasije shughulikiwa na Lowassa !! asante sana mkuu.
 
Hata ivyo ilan ya CCM kwa miaka hyo yote hajawahi ongelea kuhusu umasikini na yeye alikuwa anatekeleza yalimo humo

Bayona;
Nashukuru umeelewa kuwa alikuwa mtiifu kutekeleza yalokuwa kwenye ilani yao ambayo haya anayotaka kutekeleza hayakuwemo.
Mpe kura yako this tyme na atakutimizia yote alio nayo kwenye ilani mpya kwani huyu ni mtiifu sana
 
Mkuu vipi kwema lakini.
 
Kuna mwanajamii forum alisema magufuli unaweza kumsema vibaya vyovyote ukiwa mbali ila ukibahatika kukutana naye utajikuta unapata upako wa kumkubali na kunsifia kama alivyofanya lowassa Leo.
Nami nasikia Magufuli ni mzuri kumsikia kwenye tv lakini sio live hivi.
Hata kama ulikuwa na hoja za kumpinga ukikutana nae lazima unywee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…