idawa; idawa, idawa. Mbona unahasira na Lowasa hivyo?? Nafuu ungemchukia hata Mbowe tu iishe kwani anaweza kuwa kiongozi wa jimbo tu lakini Mh. Edward Ngoyai Lowasa ndiye rais wako. Utakwenda wapi idawa?? Hicho kisasi mnachosema amekuja kumtenda nani?? Mbona mna shida kuubwa hivi?? Kama hujamtwangia mkewe Regina, kama hujamtukana hadharani kama yule kichaa wenu Nepii, kama huja mwibia kura yake kule NEC ya ccm, hofu ya kisasi ipo wapi jamani?? Haya USIOGOPE kasema hata kama ulimfanyia hayo yooote, hatakuweka ndani ka Babu Seya. Endelea kujifariji tuuu ila akiwa rais, usifungue tena domo lako. Hana shida na mtu ana shida na umasikini ulioko Tz ambao aliyemtangulia alidiriki kusema UPO LAKINI HAJUI ULITOKEA WAPI UMASIKINI HUUUUUUU:A S-rap::A S-rap::A S-rap:Sio hasira ndio ukweli, Lowassa yupo Chadema kulipa kisasi.!
idawa; idawa, idawa. Mbona unahasira na Lowasa hivyo?? Nafuu ungemchukia hata Mbowe tu iishe kwani anaweza kuwa kiongozi wa jimbo tu lakini Mh. Edward Ngoyai Lowasa ndiye rais wako. Utakwenda wapi idawa?? Hicho kisasi mnachosema amekuja kumtenda nani?? Mbona mna shida kuubwa hivi?? Kama hujamtwangia mkewe Regina, kama hujamtukana hadharani kama yule kichaa wenu Nepii, kama huja mwibia kura yake kule NEC ya ccm, hofu ya kisasi ipo wapi jamani?? Haya USIOGOPE kasema hata kama ulimfanyia hayo yooote, hatakuweka ndani ka Babu Seya. Endelea kujifariji tuuu ila akiwa rais, usifungue tena domo lako. Hana shida na mtu ana shida na umasikini ulioko Tzambao aliyemtangulia alidiriki kusema UPO LAKINI HAJUI ULITOKEA WAPI UMASIKINI HUUUUUUU:A S-rap::A S-rap::A S-rap:
View attachment 293333
Amefanya juhudi gani kuuondoa huu Monduli zaidi ya miaka 35 ya ubunge wake.!
Itapendeza Sana Kwa Moyo Huu Huu Ukituwekea Na Picha Mgombea Wako AKITOA HAJA KUBWA ( AKIUKWEKA ) Ili Watanzania Pia Waweze Kujua Udhaifu Wake Na Yeye Pia. au Huna Picha Ya Tukio Hilo La Aibu TUKUWEKEE?
Itapendeza Sana Kwa Moyo Huu Huu Ukituwekea Na Picha Mgombea Wako AKITOA HAJA KUBWA ( AKIUKWEKA ) Ili Watanzania Pia Waweze Kujua Udhaifu Wake Na Yeye Pia. au Huna Picha Ya Tukio Hilo La Aibu TUKUWEKEE?
idawa;
ndo amekuambia sasa mchague aondoe huo umasikini sio tu Monduli bali mpaka kuleeee kwenyu. Hatagawa khanga na vesti, hatagawa wali wa nyama ya tembo, atashusha bei ya vifaa vya ujenzi, ataondoa biashara ya michango ya elimu nk. Mchague tu Lowasa mara hii tu, akishindwa tutampiga chini tumchague mwingine. Mbona tumeichagua ccm miaka yoooooote bila mafanikio?? Sasa tuipige chini, tuchague UKAWA tulete mabadiliko
idawa, hapa umesema kweli tupu. Hawa jamaa wamebaki kimya/au wanakutukana coz ukweli unauma siku zote
Chama ni watu mkuu na watu wenyewe ndio akina Lowassa, ni vigumu kumtenganisha Lowassa na maovu ya ccm, Lowassa ni yule yule wa ccm ila nyie ndio mmebadilika na kutoka ukamanda hadi kuimba mapambio ya kusifia ufisadi.!Idawa wewe utakuwa umechanganyikiwa mabadiliko ya kweli unayoyataka wewe ni yapi? Kama unaamini mabadiliko ya kweli ni yale yasiyohusisha mgombea mwenye tuhuma ningekuona unaakili kama ungefanya juhudi za kuwajenga na kuwasapoti Ana mgwira wa act au hashim rungwe au mgombea yeyote tofauti na magufuli na lowasa, lakini cha kushangaza umekuwa mnazi wa maccm lichama ambalo tulikuwa tunalinanga wote humu jamvini usiku na mchana hivi kwanini mnataka kutuaminisha ni nyinyi pekee ndo mna akili kuliko watanzania wote? Aahh mnakera sana.
Chama ni watu mkuu na watu wenyewe ndio akina Lowassa, ni vigumu kumtenganisha Lowassa na maovu ya ccm, Lowassa ni yule yule wa ccm ila nyie ndio mmebadilika na kutoka ukamanda hadi kuimba mapambio ya kusifia ufisadi.!
View attachment 293356
Na haya ndio maji ya wanayokunywa wanamonduli Lowassa akiwa mbunge kwa miaka thelathini na tano.