Hayajijui bali yanaendelea kuweweseka na speed ya ukawa mara meya ilala,mara meya kinondoni sasa ndio tunaelekea kuchukua umeya wa jiji ndio watajinyongaLowasa ni jembe...sisi wana UKAWA tunajua
Bila Lowasa UKAWA ilikuwa inaenda kuvunjika...sisi ndio tunaojua zaidi kuliko nyie mafwaaala wa CCM
Anayebweka halafu na yule anayembwekea anayebweka, huoni kama wote wawili wanabweka, mzee wa kuzungusha mikono na kunywa viroba mbona unachekesha.Hivi hujioni kuwa unaendelea kubweka tu?
Tunaendelea kuthibiti majiji yoote,manispaa zoote,tutaingia wilaya na hadi miji midogo na mwisho tutawafuata huko kwenye kata na huo ndio utakuwa mwisho wa ccm hapa tanzaniaKama nilivyokuambia kwa mzee wa monduli kazi imekwisha tayari, siku alipokatwa ndani ya CCM ulikuwa ndio mwisho wake kisiasa.
Hayajijui bali yanaendelea kuweweseka na speed ya ukawa mara meya ilala,mara meya kinondoni sasa ndio tunaelekea kuchukua umeya wa jiji ndio watajinyonga
Upuuzi mtupu,mi nilidhani kuna jambo kubwa alilofanya,kumbe kanyamaza,dah huenda ameishiwa hana la kujibu wala la kufanya kwa analoambiwa,ukizingatia na ukweli huwemo ndani yakePongezi za kipekee mh Edward Ngoyai Lowasa,rais kipenzi wa mioyo ya mamilioni ya watanzania kwa kuendelea kukaa kimya hata pale unapo dhihakiwa na viongozi hata wana chama wa ccm na mawakala wao,uamuzi wako umekuwa ni adhabu tosha kwa maadui zako ambao sasa wameamua kuajiri vijana kwenye mitandao mbali mbali ili kukukebehi na madharau mbali mbali,adhabu hii kwa ccm ni hatari kuliko kuwachapa bakora.
Kipigo gani mkuu? Cha kuwashika wale vijana wa computer? Au cha kutangaza ushindi usiohalali? Naomba ufafanuzi mkuu!Mkuu Mmawia hakika una moyo wewe! Hata baada ya kipigo chote mlichopata unaona Lowasa anaiadabisha ccm?
Wewe naona bado kama jina lako nenda kajipange ndiyo uje hapaUpuuzi mtupu,mi nilidhani kuna jambo kubwa alilofanya,kumbe kanyamaza,dah huenda ameishiwa hana la kujibu wala la kufanya kwa analoambiwa,ukizingatia na ukweli huwemo ndani yake