PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,455
nachukua nafasi hii kuwapongeza chadema na mhe. Lema kwa ushindi kwenye kesi ya ubunge wa arusha.
Nilidhani na leo mtasema ccm, nape na ikulu wameingilia kesi....mkishinda haki imetendeka, mkishindwa kuna mikono ya ikulu...! Ndo mnakua lakini, mkikua mtaacha mtajifunza majibu ya watu wazima kwenye mazingira kama hayo.
Mdogo wangu lema umeiona arusha ilivyokuwa imetulia bila maandamano na kelele zisizo na msingi? Endeleza utulivu huu ambao naamini umejifunza kwa kipindi ulichokaa nje ya bunge....!
Kiongozi ni kuonyesha njia, onyesha njia ya maendeleo sio maandamano na fujo. Narudia kwa hili hongereni chadema,hongera lema!!!
utulivu bila amani ni kazi bure: Lakini bado tunawakorogea dawa ikikamilika lazima muimeze sawa dogo?