Hongera kwa haruna masebu

cream.b

Member
Apr 17, 2010
72
2
THE Director General for the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA), Mr Haruna Masebu has been voted as the best Chief Executive Officer (Boss of the Year) with an excellent performance for the year 2010.

Mr Masebu was voted the best from among 18 CEOs from various organizations across Tanzania, during a workshop held in Dar es Salaam recently for Office Secretaries that was organized by Techtop Consult (Tanzania) Limited in Dar es Salaam.

What do you guys say about this?any views
 
They are not serious these secretaries .... VIGEZO gani walitumia?
Huyu jamaa tangu ameingia Ewura;
1. Uchakachuaji wa mafuta umevuta kasi ya ajabu
2. Bei ya pertoli imepanda kutoka shs 500/ per ltr to Tshs 2.000/= per ltr within a period of three years !

Ame perfom nini "excellentlly" ??
 
They are not serious these secretaries .... VIGEZO gani walitumia?
Huyu jamaa tangu ameingia Ewura;
1. Uchakachuaji wa mafuta umevuta kasi ya ajabu
2. Bei ya pertoli imepanda kutoka shs 500/ per ltr to Tshs 2.000/= per ltr within a period of three years !

Ame perfom nini "excellentlly" ??

ndugu yangu, huu ni ufisadi mtupu katika sura ya ma"consultants". hao waliomchagua wangejua fedha zinavyotafunwa pale ewura? masikini ya Mungu, sijui wanajipendekeza ile wawe wanapata vikazi (viconsultancies) kutoka pale? ooh, no labda walimchagua baada ya kuwagawia hikazi, so walilewa na vijisenti vya ewura! langini wangesubiri basi anagalau tuzoee nyongeza hii ya karibuni ya bei ya umeme inayoanza januari!

shame on all of them
 
Hizo kura ni za kuchakachua bei ya mafuta haiko realistic pamoja na hizo bei zake elekezi (wizi mtupu), Bei ya gas inapanda hovyo kama nchi hii haina control
 
They are not serious these secretaries .... VIGEZO gani walitumia?
Huyu jamaa tangu ameingia Ewura;
1. Uchakachuaji wa mafuta umevuta kasi ya ajabu
2. Bei ya pertoli imepanda kutoka shs 500/ per ltr to Tshs 2.000/= per ltr within a period of three years !

Ame perfom nini "excellentlly" ??

nadhani classmates wake wana jibu sahihi - EL & Rashid
 
They are not serious these secretaries .... VIGEZO gani walitumia?
Huyu jamaa tangu ameingia Ewura;
1. Uchakachuaji wa mafuta umevuta kasi ya ajabu
2. Bei ya pertoli imepanda kutoka shs 500/ per ltr to Tshs 2.000/= per ltr within a period of three years !

Ame perfom nini "excellentlly" ??
DUH JF inakuwa uwanja wa majungu sasa. Bei imepanda tokea 500 mpaka 2000 kwa kipindi kipi? Unajua miaka miwili na ushee bei ya pipa la petrol lilifikia dola 147 na ni bei ilikuwa haijawahi kufikiwa? Hapo Masebu anapandishaje hiyo bei? Unajua thamani yetu ya pesa inamaana katika bei ya mafuta? Hali ya pesa yetu ikoje? Unajua ni wakati huu ndio sheria imetungwa angalau ya kuzuia uchakuaji na aghalabu watu wanapigwa faini? Kunaweza kuwa na mapungufu ila hayo yako hayawezi kuwa subtantiated.
 
DUH JF inakuwa uwanja wa majungu sasa. Bei imepanda tokea 500 mpaka 2000 kwa kipindi kipi? Unajua miaka miwili na ushee bei ya pipa la petrol lilifikia dola 147 na ni bei ilikuwa haijawahi kufikiwa? Hapo Masebu anapandishaje hiyo bei? Unajua thamani yetu ya pesa inamaana katika bei ya mafuta? Hali ya pesa yetu ikoje? Unajua ni wakati huu ndio sheria imetungwa angalau ya kuzuia uchakuaji na aghalabu watu wanapigwa faini? Kunaweza kuwa na mapungufu ila hayo yako hayawezi kuwa subtantiated.
mkuu unapoteza muda wako. So long huyu Haruna si katika wao basi watamponda tu. Siunawajua hawa watu? Bei ya mafuta inapangwa na soko la dunia na si Tanzania tunaopanga, au sisi tunavisima vya mafuta? Hebu watu wa kilimanjaro au mbeya tujulisheni kama vipo huko.
 
Kati ya CEOs wote ingawa sijui ni kigezo gani walitumia ila naona Mkurugenzi Mwendeshaji wa NDC, Bw G. Nasari anagestahili tuzo hilo. Tangu amaeingia kwenye Shirika hilo amaefanya mambo makubwa hata kulisafisha Shirika lilikuwa katika hali mabaya kifedha na kuziba mianya ya ulaji. Aliachiwa Shirika likiwa na hali mbaya ila sasa hali imeanza kubadilika kuelekea panapostahili.
 
kama vigezo ni kusaini makaratasi, kuwahi kazini, audit reports na mambo kama hayo sawa... Lakini kama vigezo ni impact ya EWURA kwa wananchi then anastahili F+

Unampaje zawadi mtu aliyekalia maombi ya TANESCO kuongeza bei from May hadi baada ya uchaguzi? one request takes seven months, and then such a slow mo' is give an award

my foot
 
THE Director General for the Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA), Mr Haruna Masebu has been voted as the best Chief Executive Officer (Boss of the Year) with an excellent performance for the year 2010.

Mr Masebu was voted the best from among 18 CEOs from various organizations across Tanzania, during a workshop held in Dar es Salaam recently for Office Secretaries that was organized by Techtop Consult (Tanzania) Limited in Dar es Salaam.

What do you guys say about this?any views

pumbafu wooote kuanzia masebure, hao walomvote na wahusika wao na wake zao woote pumbafu..au lah ni vichaaa.. tanzania tuna vichaa lukuki kila kona, mawaziri, wakurugenzi, ukichaa ukichaa kila mahali..
 
Unampaje zawadi mtu aliyekalia maombi ya TANESCO kuongeza bei from May hadi baada ya uchaguzi?


Mkuu hapo umenena, EWURA ilifanya makusudi kuchelewesha mchakato wa kuhakiki uhalali wa TANESCO kuongeza bei ya umeme ili kuikoa CCM isipoteze kura katika uchaguzi uliopita. Hayo yalikuwa ni maagizo maalumu toka kwa Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kwa wizara na taasisi za serikali kwamba issue yoyote yenye negative impact kwa CCM na serikali yake isiwe handled mpaka uchaguzi utakapoisha.

Binafsi sioni kwamba Masebu anastahili hii award. Hakuna impact yoyote aliyoleta kwa wananchi ndo maana hata Waziri akatoa amri ya EWURA kusitisha mkataba wao na Majembe Auction Mart (kati ya madudu machache ya EWURA)........labda pengine waliomteua wana vigezo vingine tusivyovijua!!

Au pengine yeye ndo ana unafuu kuliko ma CEO wengine?????

Hafu wakuu nini uhalali wa EWURA kuwakata wateja wa TANESCO 1% ya bill wanayolipa? Je hii haina mgongano wa kimaslahi? Kwani kuongezeka kwa gharama ya umeme kuna maana kwamba hata fee wanayo collect EWURA inaongezeka!!
 
That is a JOKE,juzi tuu kwenye TV alikuwa anajikanyaga kuhusu kutowaadhibu Madereva wachakachuaji,unakubali kuongeza bei ya Umeme bila kuwakagua na kujua uwezo wa hao wasambazaji haya angalia umeme haupo na bei inapanda huoni huyu jamaa ni KALULU!,leo mnampa BESt CEO basi waliomchagua wana personal intrest nae.HUYU CEO alitakiwa afukuzwe kazi mara moja! ndio hao wakistaafu wa kwanza kuanza kulalama kuhusu Authority walizo kuwa wao mabosi
 
Mkuu hapo umenena, EWURA ilifanya makusudi kuchelewesha mchakato wa kuhakiki uhalali wa TANESCO kuongeza bei ya umeme ili kuikoa CCM isipoteze kura katika uchaguzi uliopita. Hayo yalikuwa ni maagizo maalumu toka kwa Katibu Mkuu Kiongozi kwenda kwa wizara na taasisi za serikali kwamba issue yoyote yenye negative impact kwa CCM na serikali yake isiwe handled mpaka uchaguzi utakapoisha.

Binafsi sioni kwamba Masebu anastahili hii award. Hakuna impact yoyote aliyoleta kwa wananchi ndo maana hata Waziri akatoa amri ya EWURA kusitisha mkataba wao na Majembe Auction Mart (kati ya madudu machache ya EWURA)........labda pengine waliomteua wana vigezo vingine tusivyovijua!!

Au pengine yeye ndo ana unafuu kuliko ma CEO wengine?????

Hafu wakuu nini uhalali wa EWURA kuwakata wateja wa TANESCO 1% ya bill wanayolipa? Je hii haina mgongano wa kimaslahi? Kwani kuongezeka kwa gharama ya umeme kuna maana kwamba hata fee wanayo collect EWURA inaongezeka!!
it is unfortunate kwamba we have politicised everything in this country hata zile professional benchmarks zimemezwa na siasa

Its a shame kutoa zawadi kwasababu jamaa kawafurahisha akina fulani, to me the best thing to do would be not to give anyone that honor and challenge CEOs to do better next year
 
Jamaa ni KICHWA SANA..........isipokuwa kilichomponza ni LOWASSA....................Lowassa kamchakachua tangu amtoe then Ardhi Institute...........sasa anachokifanya ni madudu tu.........
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom