Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Vyovyote vile kuna kazi imefanyika hata kama ni kidogo! wengine tunakaa uswahilini hali ilikuwa noma, roba kila kona na mateja wanavamia na kuiba. Ukizungumzia mapapa hayo tulikuwa tunayasikia sababu huku kwetu uswahili wanaosumbua sana vibaka majambazi dili zao hakuna.
Ukitoka aljajiri lazima wakudandie sasa kama siku hizi shwari inamaanisha kuna kazi imefanyika. Uhalifu hauwezi kwisha mbona Uk watu wanavamiwa manake magazeti ya leo yanasema Keane kaibiwa home, lazima atakuwa anakaa prime area na security si ya kitoto.
Ukitoka aljajiri lazima wakudandie sasa kama siku hizi shwari inamaanisha kuna kazi imefanyika. Uhalifu hauwezi kwisha mbona Uk watu wanavamiwa manake magazeti ya leo yanasema Keane kaibiwa home, lazima atakuwa anakaa prime area na security si ya kitoto.