Hongera JWTZ

Wambandwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
2,249
Reaction score
833
Leo jioni majira ya saa kumi na moja au kumi na mbili wakati mvua inanyesha pale Mwenge kituo cha kwenda Tegeta, basi la JWTZ lilisimama na kuwapa lift watu waliokuwa wanaelekea njia yao: Lugalo na Kawe. Wamenigusa sana kwa moyo huo wa kizalendo na mapenzi kwa wananchi wenzao. KWELI NYIE NI WALINZI WETU....... MBARIKIWE SAAAANA kwa sababu kitendo mlichofanya magari ya serikali (yaliyonunuliwa kwa kodi zetu) hayawezi kufanya hivyo!
 
Hawa jamaa nikiwaona barabarani huwa natamani niwasimamishe niwaambie tunawapenda saana tokana na historia taamu ya hili jeshi letu
 
ni vizuri sawa lakini daladala zinazoelekea route hiyo zimeshapunguziwa hesabu😉
 
Huwa nalifeel Sana Jeshi Letu nikiangalia video ya vita vya kagera, naamini Jeshi Lile La 1970's ndilo jeshi tulilonalo hadi sasa kama hawajaingiza siasa, Na kama ndivyo basi we have Disciplined, Motivated, Patriotic & Well Equiped Army.
 
Kwa hivi sasa taasisi ya umma ambayo bado inaaminiwa na wananchi wa Tanzania, ni JWTZ pekee, si Polisi, si Mahakama, si usalama wa Taifa, si Takukuru, si Rais, si Bunge, si ....
 
Juzi niliwaza hilo wakati wa mgomo!
Jamaa nawakubali sana, na si waonevu kabisa"viva JWTZ"
 
Zitto mbona hukumwandika? Kuna watu hapa watakuuwa. Hujui Zitto ni one Man Taasisi? Anaaminika sana huyo.

Kwa hivi sasa taasisi ya umma ambayo bado inaaminiwa na wananchi wa Tanzania, ni JWTZ pekee, si Polisi, si Mahakama, si usalama wa Taifa, si Takukuru, si Rais, si Bunge, si ....
 
Sijawaona lakini Popote katika sehemu zenye mafuriko sasa hii promo huku kwa kutoa lift ya nini? Kama hukupanda hilo basi itakuwa jaamaa waliwatoza nauli baadaye unajuaje
 
Uzalendo wao unatokana na uongozi uliotukuka walio nao,nasikia kiongozi wao kaomba kustaafu baada ya kupangiwa mikakati ya kipuuzi kufuatia uchaguzi mkuu ujao itakayopelekea umwagaji wa damu.
 
Nikwel mkuu hawa ndugu zet wa jwtz wapo vizuri kweny swala la uzalendo,jap kunavijimatatiz lakini uzalendo kwao nilazama
 
Sijawaona lakini Popote katika sehemu zenye mafuriko sasa hii promo huku kwa kutoa lift ya nini? Kama hukupanda hilo basi itakuwa jaamaa waliwatoza nauli baadaye unajuaje

siku moja tupo pale uwanja wa taifa watu nyomi likaja basi la jwtz waktwambia panden tukaanza kuunyaunya pale lakn tukapand kishingo upande popot uksema nashuka walitushusha mpaka ubungo ni bure hata mimi nawapongeza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…