Leo jioni majira ya saa kumi na moja au kumi na mbili wakati mvua inanyesha pale Mwenge kituo cha kwenda Tegeta, basi la JWTZ lilisimama na kuwapa lift watu waliokuwa wanaelekea njia yao: Lugalo na Kawe. Wamenigusa sana kwa moyo huo wa kizalendo na mapenzi kwa wananchi wenzao. KWELI NYIE NI WALINZI WETU....... MBARIKIWE SAAAANA kwa sababu kitendo mlichofanya magari ya serikali (yaliyonunuliwa kwa kodi zetu) hayawezi kufanya hivyo!
Huwa nalifeel Sana Jeshi Letu nikiangalia video ya vita vya kagera, naamini Jeshi Lile La 1970's ndilo jeshi tulilonalo hadi sasa kama hawajaingiza siasa, Na kama ndivyo basi we have Disciplined, Motivated, Patriotic & Well Equiped Army.
Kwa hivi sasa taasisi ya umma ambayo bado inaaminiwa na wananchi wa Tanzania, ni JWTZ pekee, si Polisi, si Mahakama, si usalama wa Taifa, si Takukuru, si Rais, si Bunge, si ....
Kwa hivi sasa taasisi ya umma ambayo bado inaaminiwa na wananchi wa Tanzania, ni JWTZ pekee, si Polisi, si Mahakama, si usalama wa Taifa, si Takukuru, si Rais, si Bunge, si ....
Sijawaona lakini Popote katika sehemu zenye mafuriko sasa hii promo huku kwa kutoa lift ya nini? Kama hukupanda hilo basi itakuwa jaamaa waliwatoza nauli baadaye unajuaje
Uzalendo wao unatokana na uongozi uliotukuka walio nao,nasikia kiongozi wao kaomba kustaafu baada ya kupangiwa mikakati ya kipuuzi kufuatia uchaguzi mkuu ujao itakayopelekea umwagaji wa damu.
Sijawaona lakini Popote katika sehemu zenye mafuriko sasa hii promo huku kwa kutoa lift ya nini? Kama hukupanda hilo basi itakuwa jaamaa waliwatoza nauli baadaye unajuaje
siku moja tupo pale uwanja wa taifa watu nyomi likaja basi la jwtz waktwambia panden tukaanza kuunyaunya pale lakn tukapand kishingo upande popot uksema nashuka walitushusha mpaka ubungo ni bure hata mimi nawapongeza sana