Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,153
- 162,567
Akirudi bungeni anabadilisha msimamo!
Hawa watu si wa kuaminika!
Hawa watu si wa kuaminika!
Sijui watajitetea nini... Wangekuwepo UKAWA wangesema kulikuwa na mjadala mkali labda. Kwa sasa wapo wenyewe, ni kitendo tu cha "Kifungu kinapitishwaa?"... Ndioooo.... nusu saa tu rasimu tayari...
Hahahaha!! Uko sahihi kabisa lakini makonda yuko tayari kuachia posho?
Amejitakasa.Angalau ana Utanganyika.
Usishangae kikaibuka "Makonda one theatre group" kikaanza kutetea serikali moja, ili tu wapate sababu za kuendelea kukaa Dodoma...
Kinachonishangaza na hao CCM ni kwamba wana mashaka na takwimu za Judge Warioba, that is fine. Lakini kwa busara ya kawaida kama wana maahaka na takwimu, wangemuita Judge Warioba kwenye BMK ili kuzitolea ufafanuzi. Na kama angeshindwa kuwaondolea mashaka basi ndio wangekuwa na haki ya kuziponda. Lakini CCM hawataki kufanya hivyo! Guess why? Kuhusu misimamo ya makundi CCM v UKAWA, mimi ningeshauri kama CCM msimamo wao ni serikali 2 na UKAWA msimamo wao ni serikali 3, basi wengekubaliana NEUTRAL MUUNDO yaani SERIKALI 1. Hiyo ndiyo ingekuwa WIN WIN SITUATION for both CCM AND UKAWA
Kinachonishangaza na hao CCM ni kwamba wana mashaka na takwimu za Judge Warioba, that is fine. Lakini kwa busara ya kawaida kama wana maahaka na takwimu, wangemuita Judge Warioba kwenye BMK ili kuzitolea ufafanuzi. Na kama angeshindwa kuwaondolea mashaka basi ndio wangekuwa na haki ya kuziponda. Lakini CCM hawataki kufanya hivyo! Guess why? Kuhusu misimamo ya makundi CCM v UKAWA, mimi ningeshauri kama CCM msimamo wao ni serikali 2 na UKAWA msimamo wao ni serikali 3, basi wengekubaliana NEUTRAL MUUNDO yaani SERIKALI 1. Hiyo ndiyo ingekuwa WIN WIN SITUATION for both CCM AND UKAWA
...nami nimeshangaa leo kaibuka na maneno mazuri sijui kazaliwa upya!!! nimependa zaidi pale aliposema kwamba ili tupate Katiba inayostahili kitu MARIDHIANO haikiepukiki, na ili tufikie hayo maridhiano wajumbe hawana budi kuacha misimamo yao pembeni na wote kuwa na kauli moja yenye nia ya kujenga. Hivyo kusikilizana, kukubali kukosolewa ndani ya Bunge ndiyo njia pekee itakayotufikisha pale watanzania wanapopataka.
...nami nimeshangaa leo kaibuka na maneno mazuri sijui kazaliwa upya!!! nimependa zaidi pale aliposema kwamba ili tupate Katiba inayostahili kitu MARIDHIANO haikiepukiki, na ili tufikie hayo maridhiano wajumbe hawana budi kuacha misimamo yao pembeni na wote kuwa na kauli moja yenye nia ya kujenga. Hivyo kusikilizana, kukubali kukosolewa ndani ya Bunge ndiyo njia pekee itakayotufikisha pale watanzania wanapopataka.
Akirudi bungeni anabadilisha msimamo!
Hawa watu si wa kuaminika!
Amejitakasa.Angalau ana Utanganyika.
CCM walijua kuwa wapo watu wenye akili kama za Ndugai ambao muda wowote wanaweza kubadilika na kufanya kile ambacho wananchi wengi wanakitaka.Ndiyo maana wakalazimisha kura za wazi ili kuwazibiti watu watakao weza kuwasaliti kama Ndugai.