Hongera Job Ndugai

Hongera Job Ndugai

Safi sana wazalendo utawajua tu.

Hata wewe?unafiki kitu kibaya sana,mbona unajicontradict na post zako nyingine?au hauangalii hoja unaangalia mtoa hoja?Buku 7 FC mna kazi kweli
 
Job alisoma alama za nyakati hata maaskofu karibu wote wameliomba bunge la katiba kuheshimu maoni ya tume ya jaji warioba.
 
This guy is one of those who should never be trusted come what may!!!!!!!
 
This guy is one of those who should never be trusted come what may!!!!!!!

That's fine.lakini kwa tamko lake tu wapo wale wafuasi wa upepo wameachana na ccm na kuungana na ukawa.wengine kule mbeya wametupa kadi za ccm wamejiunga na chama kikuu cha upinzani kwa hiyo kama alikuwa anazuga imekula kwake.
 
Back
Top Bottom