Hongera jeshi letu pendwa la polisi

Hongera jeshi letu pendwa la polisi

the mkerewe

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2010
Posts
232
Reaction score
14
Bila Aman nchi haiwezi kusonga mbele.

Kwa hali ilvyo sasa na soon baada ya uchaguzi kama sio uimara wa polisi nchi ingewaka moto

try to imagine wewe ungekuwa IGP na ni wajibu wako kulinda amani ingekuwaje kama sio wajinga wachache wapenda vurugu kuwafutilia mbali?

Ni muhimu kulinda amani ya maelfu kwa gharama ya uhai wa wachache pindi inapolazimu.

Nchi hii haiwezi kulea majambazi/wavunja sheria/waropokaji/wakabila.

Nawakilisha
 
Mapigano gani mengine wakati yanaendelea kila siku, ndani ya familia,kaya,miji, mitaa,vijiji unataka ya frontline yasubiri yaja
 
Pole!! Unaonekana si mzima kiakili. Post zako zote utadhani zimeandikwa na mfu. Pole kwa mawazo mgando uliyonayo!!!!
 
Huyu mwanzisha maada aende Kampala akapewe kazi na Museveni kwani POLOSI wake wana mawazo kama ya huyu JAMAA aka askari mkosa kikosi
 
nashukuru hii ni post yako ya pili naona nakuhakikishia sitakaa nipoteze muda wangu kusoma post zako za kipumbavu,

namshukuru rev kwa jibu alilokupa for sure you deserve that sweet answer and a lot more to come. as for me lile tusi kubwa ambalo wewe unadhani ni kubwa ndo nimekutukana.
 
Weee una akili sana Mkuu wetu. Kama huyu nduguyo hapa chini:

attachment.php
 
Bila Aman nchi haiwezi kusonga mbele.

Kwa hali ilvyo sasa na soon baada ya uchaguzi kama sio uimara wa polisi nchi ingewaka moto

try to imagine wewe ungekuwa IGP na ni wajibu wako kulinda amani ingekuwaje kama sio wajinga wachache wapenda vurugu kuwafutilia mbali?

Ni muhimu kulinda amani ya maelfu kwa gharama ya uhai wa wachache pindi inapolazimu.

Nchi hii haiwezi kulea majambazi/wavunja sheria/waropokaji/wakabila.

Nawakilisha

Huo ni ukweli usio pingika, hao nilioweka red utawaona humu sasa hivi, wala hawajafichi.
 
Bila Aman nchi haiwezi kusonga mbele.

Kwa hali ilvyo sasa na soon baada ya uchaguzi kama sio uimara wa polisi nchi ingewaka moto

try to imagine wewe ungekuwa IGP na ni wajibu wako kulinda amani ingekuwaje kama sio wajinga wachache wapenda vurugu kuwafutilia mbali?

Ni muhimu kulinda amani ya maelfu kwa gharama ya uhai wa wachache pindi inapolazimu.

Nchi hii haiwezi kulea majambazi/wavunja sheria/waropokaji/wakabila.

Nawakilisha

angepigwa risasi baba yako mzazi, then wewe uje na hii post ningeelewa kweli wewe ni mzalendo wa dhati, vinginevyo unaonekana wewe ni sawa na wale wale wachumia tumbo na akili katikati ya mapaja.

nyie ndiyo kina YES sir, YES sir bila hata kudadilsi hoja ili mradi tu umepata mia mbili mwisho wa siku, unakubali utumwa kwa tumbo tu.

Yaani kwa akili yako IGP wako amelinda amani kwa style hii au kachafua zaidi hali ya hewa? hivi wananchi wote wakiamua kutoka majumbani na kuingia barabarani hilo jeshi lako litaweza kuwahimili?
 
Jeshi la Polisi limeua raia na kuchukua maiti zao mochwari na kuzitelekeza barabarani. Then mtu anakuja hapa anaanzisha thread ya kuwapongeza polisi wakati hata uchunguzi haujafanyika kuona kama polisi walitumia nguvu kiasi, post kama hizi inabid Mods waziondoe haraka sana maana zina leng la kuudhi watu tu. Hivi mfiwa anajisikiaje anapoona kuna mtanzania mwenzake anampongeza askari kwa kuua ndugu yake? Tafadhari hii thread iondolewe haraka.
 
Huo ni ukweli usio pingika, hao nilioweka red utawaona humu sasa hivi, wala hawajafichi.

umelaaniwa wewe, gosh what do other people use for thinking i really hope its not the normal brain that useful people use. embu nijibu unatumia nini kufikiri?
 
Huo ni ukweli usio pingika, hao nilioweka red utawaona humu sasa hivi, wala hawajafichi.
Duh, mtu mwenyewe kumbe foxy. ni sahihi kabisa kuwa na mtizamo kama wa Mkerewe. Nyie watu sijui ni watanzania au wanyarwanda. Yaani mnashabikia polisi kuua watu? Lazima nyie hamjawahi kukutana nao kwenye anga zao. Laiti ingetokea mara moja mkaingia kwenye anga zao ndo mngejua kwamba Polisi wa Tanzania ni zaidi ya mashetani.
 
Jeshi la Polisi limeua raia na kuchukua maiti zao mochwari na kuzitelekeza barabarani. Then mtu anakuja hapa anaanzisha thread ya kuwapongeza polisi wakati hata uchunguzi haujafanyika kuona kama polisi walitumia nguvu kiasi, post kama hizi inabid Mods waziondoe haraka sana maana zina leng la kuudhi watu tu. Hivi mfiwa anajisikiaje anapoona kuna mtanzania mwenzake anampongeza askari kwa kuua ndugu yake? Tafadhari hii thread iondolewe haraka.

My friend, kuna watu wana akili kama ya bundi. Ni kama laana hivi kuwepo kwao katika dunia. Ndiyo maana napata shaka kuelewa kama the Mkerewe na Foxy ni watanzania au wasomali hawa. wanaoona fahari kuona miili ya wenzao ikigalagala njiani baada ya kupigwa risasi. Lazima hawa si watu wa kawaida.
 
Umetaja kama ifuatavyo:
PHP:
Nchi hii haiwezi kulea majambazi/wavunja sheria/waropokaji/wakabila.
Mbona wezi wa mali za nchi hujawasema?
 
Post pumba kama hizi kutolewa na kijana wa kitanzania zinaonyesha kwa nini Tanzania imekuwa inarudi nyuma wakati majirani zetu wakisonga mbele.
Bila Aman nchi haiwezi kusonga mbele.

Kwa hali ilvyo sasa na soon baada ya uchaguzi kama sio uimara wa polisi nchi ingewaka moto

try to imagine wewe ungekuwa IGP na ni wajibu wako kulinda amani ingekuwaje kama sio wajinga wachache wapenda vurugu kuwafutilia mbali?

Ni muhimu kulinda amani ya maelfu kwa gharama ya uhai wa wachache pindi inapolazimu.

Nchi hii haiwezi kulea majambazi/wavunja sheria/waropokaji/wakabila.

Nawakilisha
 
Back
Top Bottom