the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
Bila Aman nchi haiwezi kusonga mbele.
Kwa hali ilvyo sasa na soon baada ya uchaguzi kama sio uimara wa polisi nchi ingewaka moto
try to imagine wewe ungekuwa IGP na ni wajibu wako kulinda amani ingekuwaje kama sio wajinga wachache wapenda vurugu kuwafutilia mbali?
Ni muhimu kulinda amani ya maelfu kwa gharama ya uhai wa wachache pindi inapolazimu.
Nchi hii haiwezi kulea majambazi/wavunja sheria/waropokaji/wakabila.
Nawakilisha
Kwa hali ilvyo sasa na soon baada ya uchaguzi kama sio uimara wa polisi nchi ingewaka moto
try to imagine wewe ungekuwa IGP na ni wajibu wako kulinda amani ingekuwaje kama sio wajinga wachache wapenda vurugu kuwafutilia mbali?
Ni muhimu kulinda amani ya maelfu kwa gharama ya uhai wa wachache pindi inapolazimu.
Nchi hii haiwezi kulea majambazi/wavunja sheria/waropokaji/wakabila.
Nawakilisha