Through experience:
We never had it during our two years courtship and our weding day's reception went together with the inner party.
Sikula mchana siku hiyo due to anxiety na kanisani misa siku hiyo ilikuwa ndefu. Baada ya kula
Ukumbini tuliruhusiwa saa nane; hao hotelini.
Though I was tired but I still had an obligation to consumate my ndoa.
Uchovu ulitutoka na tu ka- consumate ndoa yetu hadi morning!
Ni miaka tisa sasa tuna dume na jike, lakini naukumbuka saaaana usiku ule.
heee mi bado lkn ikinifikia lazima nikeshe nayo bila kujali nabariki au nabikiri
Habari zenu.
Hivi usiku wa siku ya kwanza ya fungate wanaharusi wanaweza kufanya tendo la ndoa kutokana na jinsi wanavyokuwa wamechoka kutokana na pilika pilika za harusi?
Possible broda/sis ila inategemea...
For my case nakumbuka pilika zilituacha tumechoka lakini tulimaliza mapema kama saa 2:30 usiku then tukaelekea hotel na mwenzangu alinitaarifu wazi kuwa amechoka na angependa apumue kidogo na kushusha pressure na anxienty za siku hiyo...
that was simple to agree to my part kwa sababu mwenyewe pia the whole day was more than mchoko............we had some romantic experience then tukapumzika na by saa 7 hivi hakukuwa tena na USINGIZI bali PUMZI za JUUJUU utafikiri tumebwanwa mbavu and we started to have our sexual experience...it was nice
Cha muhimu ni kusikilizana usijemkandamizia mwenzako wakati kachoka na anaweza asiperform vizuri then ikawa taabu hasa wale ambao ndio mara ya kwanza ku-do
Through experience:
We never had it during our two years courtship and our weding day's reception went together with the inner party.
Sikula mchana siku hiyo due to anxiety na kanisani misa siku hiyo ilikuwa ndefu. Baada ya kula
Ukumbini tuliruhusiwa saa nane; hao hotelini.
Though I was tired but I still had an obligation to consumate my ndoa.
Uchovu ulitutoka na tu ka- consumate ndoa yetu hadi morning!
Ni miaka tisa sasa tuna dume na jike, lakini naukumbuka saaaana usiku ule.