Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,985
- 1,282
Mntumia nguvu nyingi kumkashifu Mbowe na kumdharau,,,lkn eleweni ungozi si elimu,,,ungozi ni karama, kipaji na majaliwa. wapo watu na na madegree yao lakini walipopewa madaraka wakawa mafisadi na waharibu nchi. acheni unafiki juu ya hili.