home work...

home work...

taja vijiji/vitongoji vitano vya eneo unaloishi. kwa kuanza
1 - Nyang'olongo
2 - Nyamhongolo
3 - Nyang'homango
4 - Nyabulogoya
5 - Nyakurunduma
hivo vyote vinapatikana ndani ya jiji la mwanza aka rock city. . . . .

nyamatongo,
nyakahako,
mbaragane,
igalagalilo,
chamabanda,
kasomeko,
nyamlege,
nyamtelela,
nyamililo,
ibondo, etc.
 
- olmotonyi
- sanawari
- njiro
- ngara mtoni
- kikatiti
- usariver
Erickb52 unahusika sana hapa!

umesahau vijiji hivi:
sare,
rela,
yasi mrito,
samunge,
digodigo,
masusu,
kisangiro,
moniki,
mto wa mbu, etc
 
Last edited by a moderator:
Umewasahau na watu wa kwa chifu aliyekataa kukamatwa na wajerumani mitaa ya:

kalenga,
tosamaganga,
ipogoro,
makanyagio,
kihesa,
mtwivila,
kibwabwa,
kagliero,
ikonongo,
pawaga,
mkimbizi,
ilala,
frelimo, etc.
 
tanga kunani pale e e e!
- sahare
- tangamano
- chumbageni
- majani mapana
- barabara ya 1 mpaka ya 12!!!!!

dah hapa umenigusa...nimekaa sana pande za Majani mapana na Chumbageni...
Ngoja niongezee
Mwakizaro
Duga
Kisosora
Mabanda ya papa
Sahare
Raskazone
...............
...............
 
Mwembemchomeke, dole, tobo la pili, mwembemimba, mchambawima-ZANZIBAR
 
-nyasho
- nyegina
- buhare
- makoko
- bweri
hapa namsaidia M'Jr kutaja vitongoji vya huko kwao musoma
Haaaa we bora uhamie huku tu maana inaonekana unapajua saaaana tu, ila umesahau kule ninapoishi mimi "Makoko"
Hujambo lakini charminglady
 
Last edited by a moderator:
Ligula
Mnarani
Magodaa
Makaburi nsafa
Naliendele
Mtwara mjini hiyooo!!
 
dah hapa umenigusa...nimekaa sana pande za Majani mapana na Chumbageni...
Ngoja niongezee
Mwakizaro
Duga
Kisosora
Mabanda ya papa
Sahare
Raskazone
...............
...............

Mikanjuni,Mwahako,Donge,Magaoni,Nguvumali,Kange,Kwa michi,Msambweni,Makorora,Kirare,Mabokweni...Tanga hiyo.
 
Mikanjuni,Mwahako,Donge,Magaoni,Nguvumali,Kange,Kwa michi,Msambweni,Makorora,Kirare,Mabokweni...Tanga hiyo.
mwakidila, mwamboni, majani mapana, chumbageni, mabawa
 
Haaaa we bora uhamie huku tu maana inaonekana unapajua saaaana tu, ila umesahau kule ninapoishi mimi "Makoko"
Hujambo lakini charminglady

naona ulicomment ukiwa na mning'inio wa usingz.makoko huioni nimeitaja ya pili M'Jr
 
Last edited by a moderator:
........area a, area c, area d, area e, makole, chimwaga, majengo, mkuhungu, mbwanga, manadani, bahi rodi, eapoti, chadulu, chinangali, chamwino, kisasa, zuzu, ipagala, kuu street, iringa rodi, uhindini, uzunguni, msalato, veyula, kikuyu, ................huko ni mitaa wapojidai wabunge .....
 
Back
Top Bottom