misosi bomba hiyo.
.. I hope ni ile ya ugali na samaki pembeni au sio? pale ili upate uhondo full hakuna kijiko, kisu wala uma...ni kuchapa mikono nagonga thamaki hakuna kubakisha kichwa, mkia wala mwiba...mh!!:A S tongue::A S tongue:nimeipenda hiyo ya kwanza
ama kweli kwetu mambo tambarare kwa sana :A S 39: