gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,715
hahahhahahh! mbavu sina mwaya sasa hivi niko kwa paroko natubu dhambi ya kufumaniwa lol! kidogo tungenatishwa nina hamu na hizi security devices mm?? siku hizi mtu naweka hata kwenye kiatu chako unatoka unajua nimevaa nimependeza leo ndo leo kumbe hata chumban ukiingia picha nachukuliwa mbaya zaid sasa sauti na kila kitu nina hamu mie na mambo haya.