Home made vs. Imported Incubators, wazoefu tunaomba ushauri wa kina

SIPIYU30

JF-Expert Member
Feb 26, 2012
1,621
2,015
Jamani nimefuatilia sana posts kadha wa kadha kuhusu mashine za kutotolesha vifaranga humu JF na pia kupitia mitandao mingine ya kijamii. Nimegundua kuna nadharia tofauti tofauti kiasi kwamba mtu asipokuwa makini ni rahisi kuchanganyikiwa. Hivyo basi naomba kueleweshwa mambo yafuatayo ili niweze kufanya maamuzi ambayo sitakaa nijutie baadaye maana inahusisha kuteketeza hela isipoleta matokeo chanya inakuwa majuto.

Mashine za kuagiza nje na hizi za kutengeneza nchini zipi ni imara, zinastahimili, zinabana matumizi ya umeme na ina ufanisi mkubwa? Ukizingatia vigezo vingine vyote (kama setting ya joto, humidity, maji, na upatikanaji wa umeme) vibaki constant. Na je, kwa matumizi ya incubator ndogo ya mayai kati ya 100 hadi 200, matumizi ya umeme kwa mwezi yanaweza kunigharimu kiasi gani kwa wastani?

Tafadhali tuongee from experience.
 
Wachina wamejaa na Incubator wewe watafute wapo kama pale Ubongo wana incubator. Kuagiza nje ilikuwa zamani hizo
 
Sikiliza mkuu nikupe somo home made ni nzuri sana mimi natumia home made,nimeachana na za kichina kwasababu zifuaatzo
;incubator za kichina sio imara na zinakula umeme,incubator za kichina zinatengenezwa kwa standard za kichina,ifahamike wachina wanagharama nafuu sana za umeme ukilinganisha na bongo,kwa hiyo mashine zao wanazireti kwa standard ya matumizi ya umeme wa china,mbongo ukinunua ujiandae kulia umeme
Home made nazo zimegawanyika makundi mawili kuna wale wanaonunua spare za kichina na kuunganisha hapa hujakwepa chochote ni sawa na kununua za kichina,na kuna wale wanaonunua baadhi ya spare tu SIO ZOTE ,ZILE MUHIMU TU na nyingine wanatengeneza wenyewe hizi ndizo ninazo zungumzia
mashine hizi hutengenezwa kwa standard za umeme wa kibongo ,mashine hufungiwa mfumo wa joto wenye gharama nafuu sana (vifaa hivi hutoka ulaya sio china), mashine hizi hazitumii controller za unyevu NEVER,bali huwekewe hygrometer ya kupima unyemvu na huwekea bakuli standard linalotoa unyemvu unaotakiwa bila kutumia umeme hivyo kuokoa umeme,mashine hizi pia huwekewa kigeuzi cha mayai kinachotumia umeme wenye volt 5 tu.mashine hii ina sehemu 3 zinzojitegemana hivyo kufanya ghrama nafuu ya matengenezo inapoharibika na kutumia umeme kidogo ,wakati za kichina zinacombine sehemu 3 katika kifaa kimoja na hivyo kuongeza gharama za umeme na kikiharibika kimoja vyote vinakaufa

mashine nzuri ni zile zenye mayai 120 mpmpaka 180.
 
Sikiliza mkuu nikupe somo home made ni nzuri sana mimi natumia home made,nimeachana na za kichina kwasababu zifuaatzo
;incubator za kichina sio imara na zinakula umeme,incubator za kichina zinatengenezwa kwa standard za kichina,ifahamike wachina wanagharama nafuu sana za umeme ukilinganisha na bongo,kwa hiyo mashine zao wanazireti kwa standard ya matumizi ya umeme wa china,mbongo ukinunua ujiandae kulia umeme
Home made nazo zimegawanyika makundi mawili kuna wale wanaonunua spare za kichina na kuunganisha hapa hujakwepa chochote ni sawa na kununua za kichina,na kuna wale wanaonunua baadhi ya spare tu SIO ZOTE ,ZILE MUHIMU TU na nyingine wanatengeneza wenyewe hizi ndizo ninazo zungumzia
mashine hizi hutengenezwa kwa standard za umeme wa kibongo ,mashine hufungiwa mfumo wa joto wenye gharama nafuu sana (vifaa hivi hutoka ulaya sio china), mashine hizi hazitumii controller za unyevu NEVER,bali huwekewe hygrometer ya kupima unyemvu na huwekea bakuli standard linalotoa unyemvu unaotakiwa bila kutumia umeme hivyo kuokoa umeme,mashine hizi pia huwekewa kigeuzi cha mayai kinachotumia umeme wenye volt 5 tu.mashine hii ina sehemu 3 zinzojitegemana hivyo kufanya ghrama nafuu ya matengenezo inapoharibika na kutumia umeme kidogo ,wakati za kichina zinacombine sehemu 3 katika kifaa kimoja na hivyo kuongeza gharama za umeme na kikiharibika kimoja vyote vinakaufa

mashine nzuri ni zile zenye mayai 120 mpmpaka 180.
Mkuu nimezitengeneza sana hizi mashine ila nikuhakikishie tulicho kiwa tuna tengeneza ni Body pekee yake.

Injini ni mchina. Controla panel, Heater, humidity tube zotr hizo tulikuwa tunatoa China.

Mashine za Wachina hazina shida kabisa na sisi tuliweza kuunda tu body basi.

Ni sawa uagize injini ya Scania na Chesesi yake then uje unde body huku then uanze kuwaponda Sweeden kwamba wanaunda Scania za hovyo.
 
Mkuu nimezitengeneza sana hizi mashine ila nikuhakikishie tulicho kiwa tuna tengeneza ni Body pekee yake.

Injini ni mchina. Controla panel, Heater, humidity tube zotr hizo tulikuwa tunatoa China.

Mashine za Wachina hazina shida kabisa na sisi tuliweza kuunda tu body basi.

Ni sawa uagize injini ya Scania na Chesesi yake then uje unde body huku then uanze kuwaponda Sweeden kwamba wanaunda Scania za hovyo.
mkuu incubator hatengenezi mchina peke yake ,jaribu za marekani au ulaya utafurahi mwenyewe
 
Kama unaweza agiza , ukitaka kupasuka kichwa nunua kwa hao wanaotoa promo humu mara ooh wanatengeza utajuta,. Bongo ni ubabaishaji tu.
 
Mkuu nimezitengeneza sana hizi mashine ila nikuhakikishie tulicho kiwa tuna tengeneza ni Body pekee yake.

Injini ni mchina. Controla panel, Heater, humidity tube zotr hizo tulikuwa tunatoa China.

Mashine za Wachina hazina shida kabisa na sisi tuliweza kuunda tu body basi.

Ni sawa uagize injini ya Scania na Chesesi yake then uje unde body huku then uanze kuwaponda Sweeden kwamba wanaunda Scania za hovyo.
Jamani nyie ambao Ni WATAALAMU wa hizi mashine mtusaidie kutupa elimu, na sio kila MTU kuvutia kwake kibiashara, tusaidieni watanzania wenzenu ili nasi tujikomboe kimaisha. Nataka ninunue Ila nahitaji shule kutoka kwenu kwanza
 
Kuna mzee alinitengenezea boksi sijawahi juta.mzee ni fundi, yaani ni engineer haswa !
Alitumia system ya hita za mjerumani, temperature variation is almst negligible. Nilipo mfuata muliaka ya karibuni akasema zile heater hazipati hivyo amehamua mtandaoni. Boksi jake nalikubali moaka kesho, nimelihamsha hamisha mara nyingi kakini bado ni imara.
 
Back
Top Bottom