Oooh. .bas ukiingia mjengoni unikumbuke kwenye ufalme wako
Mambo....
Na mie ninapenda kusema Merry Xmass kwanza kwa mama wa mapacha wangu Paloma.. kisha kwa kiwatengu na mkewe shansarie.. Arushaone na ubavu wake Lady doctor.. Erickb52 na mkewe Chocs.. Bishanga na mkewe The secretary.. Mr Rocky na ubavu wake Dena Amsi.. my small house babe Passion Lady na kibuzi chake Ruttashobolwa.. Nivea (miss u cwry)..
Pia ziwafikie dada yangu Heaven on Earth (miss u sis).. KOKUTONA.. Preta.. marejesho.. Kaizer.. Mentor.. kabanga.. Bujibuji (mzee wa mtaroni).. DEMBA.. kingasti.. Evelyn Salt.. charming lady.. Tyta.. Mamndenyi (mama chama).. Mshana Jr.. lady furahia.. Madame B (mama wa saccos kadhaa).. Asnam.. Mpwa Elli.. Baba V (anatafutwa kokote alipo).. KakaKiiza.. Ennie.. Eiyer.. Vin Diesel (umebaniwa kona gani sku hizi)..? Avanti.. Excel.. Ablessed.. Karucee.. TANMO.. Khantwe.. Nazjaz.. miss chagga.. miss neddy.. Honey Faith.. YNNAH.. @gfsown..
Special greetings kwa Mtambuzi.. The Boss.. OKW BOBAN SUNZU.. Daudi Mchambuzi.. EMT.. Matola.. Nyani Ngabu.. Babu Asprin (hondo hondo mlezi wa wana) lara 1.. ASHA dii.. Kiranga.. Crashwise.. Safari_ni_Safari.. Kaunga. Jasusi.. figganigga.. watu8.. Mwita Maranya.. Abunuas.. Ben Saanane (ugua pole kamanda).. Kongosho.. christine ibrahim.. grafani11.. Dingswayo.. zumbemkuu.. BAK.. LIKUD.. Kibanga Ampiga Mkoloni.. Ndahani.. Jerrymsigwa.. MUSSOLIN.... faiza Fox..
Bila ya kusahau uongozi mzima wa JF tukianzia kwa Mr. Melon a pia Invisible pamoja na Paw na wengine wote ambao sijawataja hapa..
Ninawatakia sikukuu njema ya mwisho wa mwaka.. Ninashukuru sana kwa kuwa nyote hapa mmekuwa ni sehemu ya maisha yangu kwa mwaka huu unaoishia..
Merry Xmass Guys & Happy New Year..
Karibuni tafadhali..
thanx mkuu, na mimi nikutakie heri na fanaka katka msimu huu wa sikukuu, ubarikiwe sana.
Karibuni tafadhali..
Mate Yanajaa mdomoni
miss neddy unaniangusha bana.. unashindwa ku-guugo..? Utaniona kwenye raman..utupe na location
Mhh mshana jr karibu sana.. niko na Massawe.. mtaalam wa kuchoma nyama lol..
miss neddy unaniangusha bana.. unashindwa ku-guugo..? Utaniona kwenye raman..
hahahaha nikigugo yatakuja majibu mia bhana
thanx ...merry x mass
Merry Christmas mkuu..
Basi kwa faida yako peke yako nitakutumia ramani pm.. nikiweka hapa nyumban patajaa na wenyeji tutakosa..
Poa binamu...za asubuhi
Osie ukaya usoto? Naakwea lelo, babu ahaho?