Hoja za Waitara - Je, CHADEMA watajibu?


Propaganda tu nilidhani ana nyaraka kumbe anatutuma kwa Gwajima!!

Anadai Mbowe ametapeli pesa za kampeni ilihali Waitara bado alikubali kugombea kupitia CHADEMA!!

Hvi tuhuma nzito hivi unadhani Dr Slaa asingezimwaga siku anasepa ama Zitto?

Dr Mashinji alikua katibu mkuu hajayasema hya sembuse hyu aliyekua subordinate tu.

Ifike mahala hawa waropokaji wafaiwe nyaraka kuthubitisha maana kma CAG anakagua mahesabu afu haoni huu ubadhirifu ila wanasiasa ndio wanauona basi nchi yetu ina matatizo mazito zaidi.

CCM jaribuni zaidi, Kma Dr Slaa alifeli sidhani kuna press conference ya kuivunja CHADEMA.

Kuna yule Naibu waziri alisema CHADEMA walimdhuru Lissu nashangaa polisi haijamuita kusaidia upelelezi na kosa la kuiba evidence eneo la tukio.
 
CDM wajibu hoja hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nipo mkuu Nipe hta hoja moja tu hapo!!

Hta video hujaangalia unakurupuka tu ushabiki.

JF ya zamani watu wali rely facts sahvi rumour tu inahalalishwa.

Hvi Mbowe ajichotee 50 m kila mwezi ila CAG haoni? Kwanini asije hapa na nakala ya huo mkataba wa kulipwa 50m? Yye si waziri anaupata kwa barua ya polisi tu ama Financial intelligence unit!!

Duh kazi sana
 
Mie nipo mkuu Nipe hta hoja moja tu hapo!!

Hta video hujaangalia unakurupuka tu ushabiki.

JF ya zamani watu wali rely facts sahvi rumour tu inahalalishwa.

Hvi Mbowe ajichotee 50 m kila mwezi ila CAG haoni? Kwanini asije hapa na nakala ya huo mkataba wa kulipwa 50m? Yye si waziri anaupata kwa barua ya polisi tu ama Financial intelligence unit!!

Duh kazi sana
CAG,CAG hii hoja imekuzidi akili sio size yako kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Kitabu kitakatifu cha Biblia kinasema, "Nanyi mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huru" (Yohana 8:32). Nitatoa comments zangu kesho kuhusu video hii, ila nakuhusihi kama unakifurushi cha data, tenga dakika 30 hivi kwa ajili ya taifa lako.

Haya mambo nilikuwa nayasikiaga tu, kwa haya aliyoyasema Waitara, nayapa uhakika wa 95%. Nadhani, wakati sasa umefika kwa wanachama na wapenzi wa Chadema kuamka kutoka usingizini, japo it is too late uchanguzi wa viongozi umepita, jamaa huyu (Mbowe) wasingeendelea kumchekelea.

Kama tuhuma hizi ni za uongo, basi Mbowe ajitokeze hadharani azikanushe, bila kuzikanusha, zitakuwa tuhuma za ukweli. Waitara has finally shed a light to the public, now it is time to act, and not to remain silence.

Nawasilisha

Link ya video hiyo



Usiku mwema,

Kejuu
 
CAG,CAG hii hoja imekuzidi akili sio size yako kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja gani haina nyaraka!!

Amesema kwenye vitabu vya hesabu za chadema 50m inakuwa credited kwa mbowe wakati ni deni hewa.

Sasa ndio nauliza hyo auditing gani inafanyika bila kuona 50M ambayo haina ushahidi wa receipt?

Mie nlidhani amejipa tender fulani kumbe analipwa cash kabisa na kwenye vitabu ipp recorded ila jamaa ameshindwa kuja na nyaraka za kuprove hilo.

Ikithibitika inatakiwa CAG ajiuzuru maana kivp anatoa hati safi ilihali kila mwezi kuna deni hewa!!
 
Back
Top Bottom