Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,480
- 78,732
HahahahaKwa bahati mbaya simba ya sasa haihitaji ili iendelee, inahitaji pesa na tayari imewekwa na impact inaonekana
Huo ushauri peleka dimbwini
HahahahaKwa bahati mbaya simba ya sasa haihitaji ili iendelee, inahitaji pesa na tayari imewekwa na impact inaonekana
Huo ushauri peleka dimbwini
Sudan FC.
Kwenye V
si ingekaa hata kwenye mikono jmn
size ya Moxtra na GSM ipi kubwa
yanga jersey is simple and classic
Less is more
Unadhani watakusikia sasa hawa makolo.
Hakuna kitu kinaitwa hivyo.....Mo group of companies
Naukumbuka mkataba mmoja na A one, ilikuwa ni 300+ Kwa mwaka hawa ndio wenye MO extra.Mo analipa bei gani kwenye matangazo , tuanzie hapa
Ndio maana ya enterprise hiyoHakuna kitu kinaitwa hivyo.....
Ila kuna METL ambapo ndani yake kuna makampuni kibao.
Huu wa mo 29 n. KNaukumbuka mkataba mmoja na A one, ilikuwa ni 300+ Kwa mwaka hawa ndio wenye MO extra.
Wakubwa wenye mikono mirefu serikalini mzee.mtoto wa msoga ajawai kuacha hii michezo na wengine wengi tu.Lazima uwataje hao wakubwa kwa sababu ni vioo kwa timu ndogo .
Simba ilipokubali kufanya maabadiliko ya kimfumo, ililenga kuwa klabu kubwa yenye kufanana na hadhi na klabu zinazoendeshwa kisomi na sio ujanja.
Tutanunua na sie ila ndo roho zinaumaSisi wengine tutanunua hizo zenye matangazo na tumeridhika
Tutanunua na sie ila ndo roho zinauma
unampigia mbuzi gitaa,Timu haiendeshwi na elfu 30 za kununua jezi, hayo matangazo kwenye jezi yanachangia kiasi kikubwa maendeleo ya timu.