Hoja za kidini "zateka" maoni ya katiba mpya !

MNYISANZU

JF-Expert Member
Oct 21, 2011
7,048
1,102
* Waislam wataka wimbo wa Taifa ubadilishwe kwani ni wa Kikristo na pia siku za mapumziko zibadilishwe ! * Wakristo nao hawataki mahakama ya kadhi, OIC na uvaaji wa hijab mashuleni. Source: Habari Leo [ Lead story ]. Je, kwa hali hii, ni upi mustakabali wa taifa letu?
 
Duuu ila ndugu zetu ni noumaaa yani hadi mwimbo wa taifa upo kikristo ingawa ni kweli una'sound kama kwaya za kikristo sasa wanataka uwekwe kikaswida au?
 
Duuu ila ndugu zetu ni noumaaa yani hadi mwimbo wa taifa upo kikristo ingawa ni kweli una'sound kama kwaya za kikristo sasa wanataka uwekwe kikaswida au?
Kipi kifanyike ili ku-balance mambo?
 
Mbona wimbo wetu wa taifa unaendana na nyimbo/wimbo wa mataifa mengine mengi tu ya Afrika?
Ina maana katika hizo nchi nyengine hakuna waislam?
 
Mbona kuhusu wakristo wanaoshabiki vimini hamusemi? Coz mtoa mada kasema watoa maoni wanatoa hijab zipigwe maarufuku. Lakin hii hamuiyoni bali mumeona wimbo. Semeni basi kama kuna wakristo wanataka hijab maarufuku ili wavae vimini.
 
Kikwete anavuna alichopanda, UDINI

tatizo ni kubwa zaidi ya tunavyodhani.
Halikuanza wakati wa jk wala mkapa, tangu wakati wa mkoloni ndo lilipoanza.
Tunachoona sasa ni matokeo ya mwanzo tu,
kama taifa tusipochukua hatua madhubuti za maksudi tusitegemee mabadiliko.
 
* Waislam wataka wimbo wa Taifa ubadilishwe kwani ni wa Kikristo

Ha ha haa ili uwe kam hivi sio?

Arabic
كلنـا للوطـن للعـلى للعـلم
ملء عين الزّمن سـيفنا والقـلم
سهلنا والجبـل منبت للرجـال
قولنا والعمـل في سبيل الكمال
كلنا للوطن للعلى للعلم
كلّنا للوطن
شيخنـا والفتـى عنـد صـوت الوطن
أسـد غـاب متى سـاورتنا الفــتن
شــرقنـا قلبـه أبــداً لبـنان
صانه ربه لمدى الأزمان
كلنا للوطن للعلى للعلم
كلنا للوطن
بحـره بــرّه درّة الشرقين
رِفـدُه بــرّهُ مالئ القطبين
إسمـه عـزّه منذ كان الجدود
مجــدُهُ أرزُهُ رمزُهُ للخلود
كلّنا للوطن للعلى للعلم
كلّنا للوطن

Transliteration


Kullunā lil-waṭan, lil-ʻula lil-ʻalam
Milʼu ʻayn az-zaman, saifuna wal-qalam
Sahlunā wal-jabal, manbitun lir-rijāl
Qawlunā wal-ʻamal fī sabīl-el-kamāl
Kullunā lil-waṭan, lil-ʻulā lil-ʻalam,
Kullunā lil-waṭan
Šayḫunā wal-fatā, ʻinda ṣawṭ-il-waṭan
ʼUsdu ġhaben matā, sāwaratn-āl-fitan
Šarqunā qalbuhu, ʼabadan Lubnān
Ṣānahu rabbuhu, li-madā-l-azmān
Kullunā lil-waṭan, lil-ʻula lil-ʻalam,
Kullunā lil-waṭan
Baḥruhu barruhu, durratush-sharqayn
Rifduhu birruhu, māliʼu l-qutbayn
ʼIsmuhu ʻizzuhu, munzu kāna-l-judūd
Majduhu ʼarzuhu, ramzuhu lil-ḫulūd
Kullunā lil-waṭan, lilʻula lil-ʻalam
Kullunā lil-waṭan

English Translation


All of us! For our Country, for our Flag and Glory!
Our valor and our writings are the envy of the ages.
Our mountain and our valley, they bring forth stalwart men.
And to Perfection we devote our words and labor.
All of us! For our Country, for our Flag and Glory!
All of us! For our Country
Our Elders and our children, they await our Country's call,
And on the Day of Crisis they are as Lions of the Jungle.
The heart of our East is ever Lebanon,
May God preserve him until the end of time.
All of us! For our Country, for our Flag and Glory!
All of us! For our Country
The Gems of the East are his land and sea.
Throughout the world his good deeds flow from pole to pole.
And his name is his glory since time began.
The cedars are his pride, his immortality's symbol.
All of us! For our Country, for our Flag and Glory!
All of us! For our Country
 
Mbona kuhusu wakristo wanaoshabiki vimini hamusemi? Coz mtoa mada kasema watoa maoni wanatoa hijab zipigwe maarufuku. Lakin hii hamuiyoni bali mumeona wimbo. Semeni basi kama kuna wakristo wanataka hijab maarufuku ili wavae vimini.

nyani haoni kundule mkuu,
we hujui?
Hapa mada itakuwa ni wimbo wa taifa na siku za mapumziko, yakwao hawayasemi.

Fungua macho yako ndugu,
Umesahau kauli ya mch msigwa bungeni kuhusu serekali ya znz kuwabana watu ktk mavazi hasa mwezi wa ramadhani?
 
Habari yenyewe hii hapa

My take :: Kwa kiasi kikubwa watu wengi inaonekana wako-misinformed, hebu angalia baadhi ya sehemu nilizo-highlight.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…