MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Hii thread nzuri sana..hivi kuna viongozi wanafika hapa kupata haya mawazo?
Je as a society are we ready kubadilika?
Why is it taking so long?
Je nani atatetea na kuleta haya mabadiliko?
Kwa nini mjadala wa katiba mpya usianze sasa?
Kenya pamoja na matatizo yao wamedhamiria kuwa na katiba mpya..why not in Tz?
What is the problem???
Je as a society are we ready kubadilika?
Why is it taking so long?
Je nani atatetea na kuleta haya mabadiliko?
Kwa nini mjadala wa katiba mpya usianze sasa?
Kenya pamoja na matatizo yao wamedhamiria kuwa na katiba mpya..why not in Tz?
What is the problem???