Napenda sana kutoa hoja kabla ya kumwita mtoa hoja mbadala" mjinga, hajasoma mpumbavu na mambo mengine kama haya" Hoja ndiyo itakayofunua ujinga au ueledi wa mtoa hoja.
Katika maelezo yako unasema, nanukuu " Tukienda mataifa ya nje kuomba misaada ya hiki au kile tuanaambiwa Waziri wa Mambo wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa hapa. Tumempatia" Swalilangu ni kuwa mtu anayekwenda kwenye Taasisiza za kimataifa kuomba misaada kwa nini anapita kinyemela (By pass) kwenda huko kuomba huko nje hajui aanzie kwenye Wizara husika. Kinidhamu ya utumishi kumruka kiongozi wako ni utomvu wa nidhamu. Ina maana Viongozi wa Serikali ya Zanzibar ni watomvu wa nidhamu au hawajui jinsi ya mawasiliano.
Kama sheria ni kikwazo, kwa nini sheria mbaya isibadilishwe? Ni mara nyingi tunashuhudia sheria zinabadilishwa ili kukidhi matakwa ya kisheria kwa wakati mwafaka, kwa nini hii ishindikane.
Katika hadidu zake za rejea, Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia alisema " tusihoji Muungano",lakini mtamshi ya Rais sio sheria. Mwenyekiti wa Kamati ya kukusanya Maoni ya mabadiliko ya Katiba Mheshimiwa Jaji Sinde Warioba alisema maoni yote yatasikilizwa na kuwasilishwa. Nilidhani nifursa nzuri kutoa maoni yanayopendekeza kujitoa kwenye Muungano wa Serikalimbili. Angalizoni kwamba kama fursa hii itatumika kuonyesha hasira kwa njia ya matusi itawanyag'anya Wazanzibar uwezo wa wa saili wa kuona lililo jema na baya. Vitabu vitakatifu Bliblia inatahadhalisha kwa kusema " Hasira hukaa kifuani pa wa pumbavu'
Watu toeni hoja pasipo kutukana mtu yeyote, ikiwa hoja ni ya msingi itasikilizwa tu, hapana haja kutumia msuli ili ueleweke.
Katika maelezo yako unasema, nanukuu " Tukienda mataifa ya nje kuomba misaada ya hiki au kile tuanaambiwa Waziri wa Mambo wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alikuwa hapa. Tumempatia" Swalilangu ni kuwa mtu anayekwenda kwenye Taasisiza za kimataifa kuomba misaada kwa nini anapita kinyemela (By pass) kwenda huko kuomba huko nje hajui aanzie kwenye Wizara husika. Kinidhamu ya utumishi kumruka kiongozi wako ni utomvu wa nidhamu. Ina maana Viongozi wa Serikali ya Zanzibar ni watomvu wa nidhamu au hawajui jinsi ya mawasiliano.
Kama sheria ni kikwazo, kwa nini sheria mbaya isibadilishwe? Ni mara nyingi tunashuhudia sheria zinabadilishwa ili kukidhi matakwa ya kisheria kwa wakati mwafaka, kwa nini hii ishindikane.
Katika hadidu zake za rejea, Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia alisema " tusihoji Muungano",lakini mtamshi ya Rais sio sheria. Mwenyekiti wa Kamati ya kukusanya Maoni ya mabadiliko ya Katiba Mheshimiwa Jaji Sinde Warioba alisema maoni yote yatasikilizwa na kuwasilishwa. Nilidhani nifursa nzuri kutoa maoni yanayopendekeza kujitoa kwenye Muungano wa Serikalimbili. Angalizoni kwamba kama fursa hii itatumika kuonyesha hasira kwa njia ya matusi itawanyag'anya Wazanzibar uwezo wa wa saili wa kuona lililo jema na baya. Vitabu vitakatifu Bliblia inatahadhalisha kwa kusema " Hasira hukaa kifuani pa wa pumbavu'
Watu toeni hoja pasipo kutukana mtu yeyote, ikiwa hoja ni ya msingi itasikilizwa tu, hapana haja kutumia msuli ili ueleweke.
Haya mawazo yako ya kijinga hayana mashiko yoyote kwa samaki, wewe huwezi kujua zanzibar inaisaidia vipi tanganyika ,mambo haya mtu wa kawaida kama wewe huwezi kujua ,samaki ukimuuliza atakuwambia.
Kuna mambo haya ambayo tanganyika hufaidika kwa muavuli wa muungano.
kwanza kimataifa, utambue jambo lolote ambalo la muungano au silo la muungano, akiindia rais wa united repulic of tanzania ujue linawakilishwa kimuungano, zanzibar huambulia patupu, kama kuna furushi la bilioni dola 200 zitatolewa huko UN basi munafaidika nyie zanzibar huambulia patupu.
zanzibar ikienda njee kuomba msaada wakifika tu huko, huwambiwa ah membe kafika hapa kashaondoka na furushi, kwani hamujapatiwa chenu huko zanzibar ? nyie si muna serikali ya muungano ? Ah hatujapata kitu, jibu mutajuana wenyewe.
Climate change
Imetoa furushi kwa maneo ambayo yamezungukwa na bahari kwa mfano mafia, zanzibar, comoros, na sehemu nyengine, ambazo huwathirika na tabia nchi, maji kupanda juu na mengine , mfuko huu hutolewa na jumuiya ya mataifa, tanzania hupata dongo nono sana ,bahati mbaya zanzibar huambulia patupu,tukienda kuomba msaada huo tunaambiwa tushapewa,tukiulizia huko tanganyika jamani tupeni chetu, ah hichi chetu tumepewa sie dai chenu, haya ndio matunda ya muungano ,wewe mwanakijiji unajidai hufaidikia basi muulize membe waziri wako atakuwambia.
Kuna mengi sana ambayo munafaidika na muungano,lakini hayo ni machachetu mpumavu kama wewe ambae hukusoma au sijui ukaidi tu huelewi ,hutaki ukweli, nafikiri ungelisoma masuala ya uchumi, ungelielewa zaidi na vipi munafaidika katika muungano huu. zanzibar imeanguka kiuchumi kutokana inashindwa kujiamulia mambo yake wenyewe hasa pale inapotaka kufanya ushirikiana na nchi nyengine katika nyanja za kiuchumi, haiwezi bila ya kuomba kibali kwa membe, na hilo ndio kikwazo.
zanzibar ilitaka kujiunga na OIC kwa vile zanzibar ina asilimia 99 waislamu, muungano umewazuiya hilo suala kwa nini ? Munajenga hoja za siasa chafu na kibaguzi eti waislamu sijui magaidi, sijui usultan tunataka kuleta , yaani upumbavu mtupu,,, kwa nini munatuingilia katika maamuzi yetu ?
Hatutaki tena, tunataka zanzibar yetu.
Na kumalizia jiulize kwa nini tunataka muungano wa mkataba ? wakati huo huo tunadai zanzibar huru? Suali zuri sana, na nitakujibu .
Ukweli ni kwamba sheria ambayo inatupa uhuru wa kujadili muungano, ni sheria ambayo inatupa kuuboresha tu na sio kuvunja, na hilo ndilo suala ambalo wazanzibari limetugusa katika katiba mpya, muungano tu na sio chengine katiba yetu tunayo.
kama ulitaka tutoe maoni ya kudai zanzibar huru tu, na tuukatae muungano kabisa tukutae eac basi mwambie rais wako kikwete aabadilishe kifungu chake katika hadidu rejea kuwa kila raia ana haki ya kuhoji muungno kuvunja au kubosha atamke hivyo kisheria basi sisi wazanzibari mutakuwa mushatufungulia mlango,lakini kwa sasa inabidi tuvunje ukuta ndio tupate mlango, ndio huo mkataba, na najua mkata muta ukataa wenyewe, sio ndio heri yetu, mutuachie zanzibar huru hatutaki muungano ,just ujirani mwema ka uk na marekani huko unako kusifu wewe.