TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Spika wa bunge la Tz,Anna makinda,jana alitoa tamko la kuikubali hoja binafsi ya Mh.mnyika kuhusu uendeshaji wa mchakato wa kuanda katiba mpya.ANNA alisisitiza kuwa bunge litatumia mamlaka yake kisheri namna tunavyoweza ipata katiba mpya.
Pia alipendekeza ushirikishwaji wa wananchi kwa wingi katika mchakato huo.Vilevile alidai ni muhimu MNYIKA aidadavue vizuri hoja yake pindi atakapopewa nafasi ya kuitoa.
Pia alipendekeza ushirikishwaji wa wananchi kwa wingi katika mchakato huo.Vilevile alidai ni muhimu MNYIKA aidadavue vizuri hoja yake pindi atakapopewa nafasi ya kuitoa.