Nimefanikiwa kuona mahafari ya vyuo vichache tokea tamko la wahitimu wa ngazi chini ya shahada kutovaa majoho ikitekelezwa baada ya hiyo kauli kutolewa na waziri husika.
Napata ukakasi kuhusu uhalali wa utekelezaji wa hii kauli kwasababu mkuu wa nchi peke yake ndo mwenye dhamana ya kusema neno na likawa "sheria" sasa hoja ya waziri kwanini imeanza kutekelezwa wakati haijapitia hatua zote za kuwa sheria na kufuatwa na taasisi husika za kielimu.
Kwanza haijapelekwa bungeni na kupititishwa kama mswada.
Pili huo mswada kupitishwa na mkuu kuwa sheria rasmi na kutumika kama itavyoelekeza.
Napata ukakasi kuhusu uhalali wa utekelezaji wa hii kauli kwasababu mkuu wa nchi peke yake ndo mwenye dhamana ya kusema neno na likawa "sheria" sasa hoja ya waziri kwanini imeanza kutekelezwa wakati haijapitia hatua zote za kuwa sheria na kufuatwa na taasisi husika za kielimu.
Kwanza haijapelekwa bungeni na kupititishwa kama mswada.
Pili huo mswada kupitishwa na mkuu kuwa sheria rasmi na kutumika kama itavyoelekeza.