ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
kuwania nafasi ya mwenyekiti cc/anguko la mwenyekiti
cc hoyeee!!
salam ma bibi na mabwana,
ama awali ya yote napenda sana kuishukuru familia yangu hasa mume wangu, ajuaye nitibu maradhi ya moyo wangu platozoom ambaye yuko safari mashariki ya mbali.
kama ambavyo ilivyoada kwa kila kiongozi kuachia ngazi pale anapoona amekosea au kwa mujibu wa sheria.kwa sababu hizo najitokeza rasmi kugombea uenyekiti endapo tu kiti kitakuwa wazi.sina kashfa yeyote ile kwa wale walong humu watadhbitisha hilo.
sijawahi kufugwa kifungo cha aina yeyote ile.kazi hii naiweza na ninaitamani toka nikiwa kigoli na ninauzoefu nayo,kwa wale watafuatao wenza na wanaotaka ndoa sitazichelewesha,kwa wale watalaka na migogoro ya mapenzi naahidi kupunguza au kutokomeza kabisa tatizo hili
najua wanacc baadhi watadhihaki maamuzi yangu ila linawezekana leo lisingoje kesho
naomba kura zenu muda ukifika ili niwatumikie wana cc wenzangu
wakinana baba mtanipaaaaaa?
wakina mama mtanipaaaaaaaa?
natanguliza shukran zangu za dhati kwenu
special copy to Baba V
cc hoyeee!!
salam ma bibi na mabwana,
ama awali ya yote napenda sana kuishukuru familia yangu hasa mume wangu, ajuaye nitibu maradhi ya moyo wangu platozoom ambaye yuko safari mashariki ya mbali.
kama ambavyo ilivyoada kwa kila kiongozi kuachia ngazi pale anapoona amekosea au kwa mujibu wa sheria.kwa sababu hizo najitokeza rasmi kugombea uenyekiti endapo tu kiti kitakuwa wazi.sina kashfa yeyote ile kwa wale walong humu watadhbitisha hilo.
sijawahi kufugwa kifungo cha aina yeyote ile.kazi hii naiweza na ninaitamani toka nikiwa kigoli na ninauzoefu nayo,kwa wale watafuatao wenza na wanaotaka ndoa sitazichelewesha,kwa wale watalaka na migogoro ya mapenzi naahidi kupunguza au kutokomeza kabisa tatizo hili
najua wanacc baadhi watadhihaki maamuzi yangu ila linawezekana leo lisingoje kesho
naomba kura zenu muda ukifika ili niwatumikie wana cc wenzangu
wakinana baba mtanipaaaaaa?
wakina mama mtanipaaaaaaaa?
natanguliza shukran zangu za dhati kwenu
special copy to Baba V
Last edited by a moderator: