Ukiona mtu yeyote awe rafiki yako au ndugu yako anaepinga no reforms no election ujue ni aidha ananufaika moja kwa moja na mfumo uliopo (CCM) kama sivyo basi ujue huyo mtu HANA AKILI NA NI MJINGA wa kiwango Cha SGR.
Zifuatazo ni hoja walizonazo Wanaopinga no reforms no election ya chadema.
1. Reforms zimeishafanyika kupitia 4R za mama,,ukimuulza hizo reforms zilizofanyika ni zipii anakuambia jina la tume limebadilika saivi ni tume huru ya uchaguzi.
2. Tundu lissu anaharibu amani ya nchi
3. Chadema inaenda kufa tuliwaambia tundu lissu sio kiongozi ni mwanaharakati.
4. Familia ya Tundu lissu ipo ubelgiji
5. Tundu lissu anaharibu amani ya nchi uchaguzi ni haki ya kikatiba,,,,
6. Chadema itakosa ruzuku
## Tundu lissu amepiga kwenye mshono maandamano yatafanyika siku ya uchaguzi,,,,machawa wanaumiaa saana maake huwezii kulipwa pesa nyingii eti CCM anashidana sijuii na CHAUMMA au ACT WAZALENDO halafu eti mtu akapige kura. ##No reforms no elections
Zifuatazo ni hoja walizonazo Wanaopinga no reforms no election ya chadema.
1. Reforms zimeishafanyika kupitia 4R za mama,,ukimuulza hizo reforms zilizofanyika ni zipii anakuambia jina la tume limebadilika saivi ni tume huru ya uchaguzi.
2. Tundu lissu anaharibu amani ya nchi
3. Chadema inaenda kufa tuliwaambia tundu lissu sio kiongozi ni mwanaharakati.
4. Familia ya Tundu lissu ipo ubelgiji
5. Tundu lissu anaharibu amani ya nchi uchaguzi ni haki ya kikatiba,,,,
6. Chadema itakosa ruzuku
## Tundu lissu amepiga kwenye mshono maandamano yatafanyika siku ya uchaguzi,,,,machawa wanaumiaa saana maake huwezii kulipwa pesa nyingii eti CCM anashidana sijuii na CHAUMMA au ACT WAZALENDO halafu eti mtu akapige kura. ##No reforms no elections