Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni Chama Kilichofanikiwa kwa kiasi kikubwa kujipambanua kama Chama kinachopigania Maslahi ya Uma, na Kwa Bahati nzuri Kimeeleweka hivyo machoni mwa uma, na ikumbukwe namna Nguvu ya Uma ilivyofanikisha kwa Wabunge zaidi ya Ishirini (2) wa CHADEMA katika Uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2010. Ni Chama ambacho kimeonekana kujizolea Uungwaji Mkono Mkubwa katika Kada Mbali Mbali, Kuanzia Watoto wa Shule za Msingi mpaka wazee!
Ni Chama ambacho kinazidi kukua ( Kwa maana ya Kuvutia zaidi Vijana) tofauti na CCM ambacho kinaelekea kufa kutokana na Kuchukiwa na Vijana wengi ( Chama kisipoungwa na mkono na Vijana Mwisho wake ni Kifo tu)
Toka kuanzishwa kwake kimefanya Jitihada nyingi sana katika Kuhakikisha kinapata Wanachama wengi kila pembe ya Nchi. Mifano ya Kampeni ilizowahi kufanya ni pamoja na Operesheni Sangara ambayo kwa Kiasi Kikubwa Ilisaidia kukitambulisha chama hicho hata kuweza kuipa JambaJamba CCM katika uchaguzi uliopita!
Je Wakati wa CHADEMA kuiua CCM Umefika? Na kama Umefika Silaha gani CHADEMA iitumie? Majibu ni Rahisi sana
1: Ndiyo Muda wa CHADEMA kuiadhibu na kuiua CCM umefika, CHADEMA wamepewa Fursa ya Buren a Wananchi na CCM yenyewe, CCM imejipeleka machinjioni na kuweka Kichwa chake kwenye Gogo la kuchinjia na CHADEMA wameshika shoka. Swali ni Je nani kwa Mtazamo wako asushe Shoka hilo kwenye Kisusio kiitwacho CCM?
Naamini wanaopaswa kufanya Hivyo si Mbowe, si Slaa, Si Baregu wala si Arfi, Bali Wanaopaswa Kufanya Hivyo ni Jeshi la BAVICHA likiongozwa na Makamanda kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, John Mnnyika, John Mrema, David Silinde, Godbless Lema, MsandoAlberto na Wengine.
Nashauri CHADEMA Waanzishe Operesheni Mavuno, na Main Objective ya Operesheni hiyo iwe ni Maziko ya CCM. Waitangaze na Waikabaidhi kazi hiyo kwa BAVICHA. Naamini BAVICHA iliyo na Nguvu itaweza kuwavutia zaidi vijana Wengi Zaidi kujiunga na kuwa Wanachama wa CHADEMA
Naomba CHADEMA wasiipoteze Fursa hii Adhimu Kabisa, CCM wanakaribia Kufa na Hawapaswi waachwe wafe Natural Death, wanapaswa kufa kifo cha Aibu, Kifo cha Kukataliwa. Kazi Hiyo BAVICHA wanaiweza wakabidhini.
Ni Chama ambacho kinazidi kukua ( Kwa maana ya Kuvutia zaidi Vijana) tofauti na CCM ambacho kinaelekea kufa kutokana na Kuchukiwa na Vijana wengi ( Chama kisipoungwa na mkono na Vijana Mwisho wake ni Kifo tu)
Toka kuanzishwa kwake kimefanya Jitihada nyingi sana katika Kuhakikisha kinapata Wanachama wengi kila pembe ya Nchi. Mifano ya Kampeni ilizowahi kufanya ni pamoja na Operesheni Sangara ambayo kwa Kiasi Kikubwa Ilisaidia kukitambulisha chama hicho hata kuweza kuipa JambaJamba CCM katika uchaguzi uliopita!
Je Wakati wa CHADEMA kuiua CCM Umefika? Na kama Umefika Silaha gani CHADEMA iitumie? Majibu ni Rahisi sana
1: Ndiyo Muda wa CHADEMA kuiadhibu na kuiua CCM umefika, CHADEMA wamepewa Fursa ya Buren a Wananchi na CCM yenyewe, CCM imejipeleka machinjioni na kuweka Kichwa chake kwenye Gogo la kuchinjia na CHADEMA wameshika shoka. Swali ni Je nani kwa Mtazamo wako asushe Shoka hilo kwenye Kisusio kiitwacho CCM?
Naamini wanaopaswa kufanya Hivyo si Mbowe, si Slaa, Si Baregu wala si Arfi, Bali Wanaopaswa Kufanya Hivyo ni Jeshi la BAVICHA likiongozwa na Makamanda kama Halima Mdee, Zitto Kabwe, John Mnnyika, John Mrema, David Silinde, Godbless Lema, MsandoAlberto na Wengine.
Nashauri CHADEMA Waanzishe Operesheni Mavuno, na Main Objective ya Operesheni hiyo iwe ni Maziko ya CCM. Waitangaze na Waikabaidhi kazi hiyo kwa BAVICHA. Naamini BAVICHA iliyo na Nguvu itaweza kuwavutia zaidi vijana Wengi Zaidi kujiunga na kuwa Wanachama wa CHADEMA
Naomba CHADEMA wasiipoteze Fursa hii Adhimu Kabisa, CCM wanakaribia Kufa na Hawapaswi waachwe wafe Natural Death, wanapaswa kufa kifo cha Aibu, Kifo cha Kukataliwa. Kazi Hiyo BAVICHA wanaiweza wakabidhini.