#COVID19 Hoi hoi na Nderemo Rwanda ikifungua Mipaka yake

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,823
35,829
Habari kutoka nchi jirani ya Rwanda zinasema mipaka yake yote hatimaye jana rasmi imefunguliwa.

Ikumbukwe mpaka wa Tanzania - Rwanda (Rusumo) umekuwa umefungwa tangia March 2020 kwa sababu ya Corona.

Ilikuwa ni hoi hoi na nderemo kwa wanyarwanda kina yakhe kupata hatimaye nafasi japo ya kupumua.



Katika nderemo hizo, yasemekana pana walioyasindikiza mabasi kwa staili hii hadi mipakani mwa nchi yao.

Penye moshi pana moto.

Yawezekana, pamoja na yote bado nabii jiwe alitupa nafasi ya kupumua japo kiaina.

Hiiiiii bagosha!
 
afadhari sasa sisi wakulima wa kanda ya ziwa tuta safirisha na kuuza mchele na mahindi yetu nchini Rwanda, wavivu nao ngojea kuwanyonya wakulima kaeni mkao wa kufa njaa
 
Habari kutoka nchi jirani ya Rwanda zinasema mipaka yake yote hatimaye jana rasmi imefunguliwa.

Ikumbukwe mpaka wa Tanzania - Rwanda (Rusumo) umekuwa umefungwa tangia March 2020 kwa sababu ya Corona.

Ilikuwa ni hoi hoi na nderemo kwa wanyarwanda kina yakhe kupata hatimaye nafasi japo ya kupumua.

View attachment 2143052

Katika nderemo hizo, yasemekana pana walioyasindikiza mabasi kwa staili hii hadi mipakani mwa nchi yao.

Penye moshi pana moto.

Yawezekana, pamoja na yote bado nabii jiwe alitupa nafasi ya kupumua japo kiaina.

Hiiiiii bagosha!
Mipaka yenyewe inapitisha viazi na ndizi TU plus Wakora. Mipaka ya nchi Masikini hata ikifungwa sioni hasara kabisa. Mpaka Kama wa Horiri mpaka umeota Nyasi,hakuna anayepita kabisa.
 
Mipaka yenyewe inapitisha viazi na ndizi TU plus Wakora. Mipaka ya nchi Masikini hata ikifungwa sioni hasara kabisa. Mpaka Kama wa Horiri mpaka umeota Nyasi,hakuna anayepita kabisa.

Wale mabingwa wanaorukaruka kwa dhati kabisa pale sidhani kama watakubaliana nawe.

Kumbuka wale ni landlocked.

Ni kujimwambafy tu!
 
Back
Top Bottom