Hofu yangu juu ya Lowassa

Hofu yangu juu ya Lowassa

Nimekuwa nikifuatilia mchakato kwa makini toka kuundwa ACT mpaka mpasuko huu wa chadema ambao unaleta hitilafu kwenye ukawa.
Hofu yangu ni kama huyu lowasa anatumika na ccm kuleta mpasuko kwenye ukawa huku akiendelea kujifanya anawachukia ccm.
Kuna ukweli uliojificha juu ya lowasa.
1.Anahitaji mabadiliko kwa alichonacho juu ya TZ ambacho wameshindwa ccm
2.Kutumiwa na wana ccm kuuvunja muungano wa ukawa ili kutoa mianya ya ccm kupenya.
Mungu atuongize wazo la kwanza liwe sahihi.
Kwa upande wangu Lowasa si mwema kiasi hicho wala magufuli hana sifa kuwa raisi.

Ila ukweli watanzania tunahitaji mabadiliko ndani ya nchi hii kwa maaana tujitoe sadaka kwa lolote as long as ccm iweze kutoka kwenye hiki kiti ili tuyatathmini maisha ya nchi baadae.
Haya yanayotokea ni ccm kuendelea kupunguza nguzo ili hata wakifanya wizi wasinngizie kuwa mpasuko uliondoka na watu.
Lakini kwa Sasa ccm waelewe kuwa watanzania tunataka mabadiliko sio cuf,chadema wala nccr.
Natamani kusikia alichosema lowasa baada ya speech ya Dr.silaa pale serena.
MUNGU TUONGOZE SISI NA NCHI YETU
maana kukitoa chama pinzani kwenye madaraka tunahitaji umoja na mshikamano.
Wewe ni mjiinga. Magufuli ndiyo rais.
 
Nimekuwa nikifuatilia mchakato kwa makini toka kuundwa ACT mpaka mpasuko huu wa chadema ambao unaleta hitilafu kwenye ukawa.
Hofu yangu ni kama huyu lowasa anatumika na ccm kuleta mpasuko kwenye ukawa huku akiendelea kujifanya anawachukia ccm.
Kuna ukweli uliojificha juu ya lowasa.
1.Anahitaji mabadiliko kwa alichonacho juu ya TZ ambacho wameshindwa ccm
2.Kutumiwa na wana ccm kuuvunja muungano wa ukawa ili kutoa mianya ya ccm kupenya.
Mungu atuongize wazo la kwanza liwe sahihi.
Kwa upande wangu Lowasa si mwema kiasi hicho wala magufuli hana sifa kuwa raisi.

Ila ukweli watanzania tunahitaji mabadiliko ndani ya nchi hii kwa maaana tujitoe sadaka kwa lolote as long as ccm iweze kutoka kwenye hiki kiti ili tuyatathmini maisha ya nchi baadae.
Haya yanayotokea ni ccm kuendelea kupunguza nguzo ili hata wakifanya wizi wasinngizie kuwa mpasuko uliondoka na watu.
Lakini kwa Sasa ccm waelewe kuwa watanzania tunataka mabadiliko sio cuf,chadema wala nccr.
Natamani kusikia alichosema lowasa baada ya speech ya Dr.silaa pale serena.
MUNGU TUONGOZE SISI NA NCHI YETU
maana kukitoa chama pinzani kwenye madaraka tunahitaji umoja na mshikamano.
Hii nchi mtu akisha miliki komputa lazima awe mchambuzi wa siasa
 
UKAWA is still as strong as before... hata CCM watumie mbinu zao zote hawatuyumbishi wananchi kwa muda huu.. we need changes, we need LOWASSA!!
 
Wa Tanzania tunajulikana baada ya kubweteka, kelele nyingi, porojo za vijiweni, Jazba za uchochezi na makundi ya Siasa mitaani..... Lakini Siku ya mwisho mbele ya SANDUKU la kura unajikuta kura yako unampa MAGUFULI (CCM) !!

Rejea :- Miaka 1995,2000,2005,2010..... !!!!
 
Rais ni Magufuli tu. wengine ni wasindikizaji
 
Sina Hofu Na Ukawa Najua Inakwenda Ikulu
Hatuwezi Kuwa Wajinga Ccm Kitu Gani
 
Nimekuwa nikifuatilia mchakato kwa makini toka kuundwa ACT mpaka mpasuko huu wa chadema ambao unaleta hitilafu kwenye ukawa.
Hofu yangu ni kama huyu lowasa anatumika na ccm kuleta mpasuko kwenye ukawa huku akiendelea kujifanya anawachukia ccm.
Kuna ukweli uliojificha juu ya lowasa.
1.Anahitaji mabadiliko kwa alichonacho juu ya TZ ambacho wameshindwa ccm
2.Kutumiwa na wana ccm kuuvunja muungano wa ukawa ili kutoa mianya ya ccm kupenya.
Mungu atuongize wazo la kwanza liwe sahihi.
Kwa upande wangu Lowasa si mwema kiasi hicho wala magufuli hana sifa kuwa raisi.

Ila ukweli watanzania tunahitaji mabadiliko ndani ya nchi hii kwa maaana tujitoe sadaka kwa lolote as long as ccm iweze kutoka kwenye hiki kiti ili tuyatathmini maisha ya nchi baadae.
Haya yanayotokea ni ccm kuendelea kupunguza nguzo ili hata wakifanya wizi wasinngizie kuwa mpasuko uliondoka na watu.
Lakini kwa Sasa ccm waelewe kuwa watanzania tunataka mabadiliko sio cuf,chadema wala nccr.
Natamani kusikia alichosema lowasa baada ya speech ya Dr.silaa pale serena.
MUNGU TUONGOZE SISI NA NCHI YETU
maana kukitoa chama pinzani kwenye madaraka tunahitaji umoja na mshikamano.[/QUO
Lowassa si mtu wa kujibu chochote kinachoelekezwa kwake.Labda tuombe Mungu wapambe wake wajibu lakini yy aweza tu Labda kusema "kama una ushahidi nenda mahakamani au huna shut up". Lowassa angekuwa ni mtu wa kujibu tuhuma na pengine kuibua madudu mengine tayari watu tushamaliza uchaguzi siku nyingiiii.Huko CCM anakotoka ni kama hajaamua kutoka kwasababu yeye anashambuliwa lakini ameganda.Hashambulii wala hadefend anachofanya ni kujaribu kuondoa hatari mashambulizi yanapozidi na hii nnaiona kama udhaifu wake.Anajua madubwana mengi huko atokako ni issue ya kuzungumza usiri hautusaidii wala haumsaidii yy.Yy amekalia kusema nitafutieni kura kwa mkeo,mmeo,jamaa yako na bla bla zingine,Tuambie kwann tumeendelea kuwa maskini tangu uhuru?Nn wanafanya huko utokako ambacho unataka ukibadili!
 
Lowasa hatumiwi but kwel kaichoka ccm kwel kwel coz waonevu sana afu asingeenda na watu wote hao.
 
UKAWA is still as strong as before... hata CCM watumie mbinu zao zote hawatuyumbishi wananchi kwa muda huu.. we need changes, we need LOWASSA!!
Khaa!! ndio kazi kwenu nyie watanzania mtueleweshe sisi wapigakura siyo kupayukapayuka tu
A%20S%20shade.gif
 
Wewe ni mjiinga. Magufuli ndiyo rais.

Muda wote wacha upuuzi kuendelea kuamini kwenye ujinga wa hawa wenzako wa ccm baba YAKO,babu zako wamekuwa wakirubuniwa na hawa ccm unaowaunga mkono na ilani hiyo hiyo ndio itamuongoza magufuli kutawala
Hivyo unatamani Tanzania hii isiyopiga hatua iendelee kuwepo au hufahamu nini kuhusu upuuzi wa ccm ndani ya nchi hii.
Au ndio muda wote na jina lako huwezi kubadilika utaendelea kuwa hivyo muda wote
 
Magufuli ndiye Rais wa awamu yatano na haitaji hata goli la mkono kwan amewaacha kwa mbali sn wapinzan wake!
 
Sio kweli mtoa mada lowasa chaguo LA mungu na ndio rais wetu ajaye
 
Bora tone la mavi kwenye litre 20 za maji safi kuliko tone la maji safi kwenye litre 20 za maji ya mtaroni.


ENL 2015 the next..............
Hate it or Love it the underdogs get to the top.
 
Back
Top Bottom