Hofu yangu juu ya Lowassa

Hofu yangu juu ya Lowassa

Wanna jamvi naomba kupata mawazo kwanini lowasa huwa hazungumzii chochote baada ya hawa viongozi wa juu wanapojiengue na kuzungumzia mengi juu yake?
 
Tuwe makini huku tukimtanguliza mungu
 
Magufuli ndiye Rais wa awamu yatano na haitaji hata goli la mkono kwan amewaacha kwa mbali sn wapinzan wake!

Wapi!!!!!, Hiyo haipo. Mungu ameshamktaa. Labda kama Mungu aende likizo, Hawezi kuwa raisi huyo as long Mungu yupo hai.
 
Sema ofu yako Ccm sio lowassa ndg unakosea@ kwani alikuwa wapi lowassa kama ni mwizi angekuwa ndani sio njee problems ni serekali ya Ccm dawa kuipiga chini tu Ccm
 
Wanna jamvi naomba kupata mawazo kwanini lowasa huwa hazungumzii chochote baada ya hawa viongozi wa juu wanapojiengue na kuzungumzia mengi juu yake?

Kwa mwerevu hata ukimya ni jibu mujarabu!
 
Ilani namba moja ya ssm ni kuendelea kuwadangaya watanzania ili wao waendelee kubinafsisha rasilimali za nchi. Mbinu kuu wanayotumia kujihakikishia ushindi ni kuwagawa wapinzani katika makundi mengi ili waonekane wao wanafaa, ikishindana wanatumia goli la mkono.
Watz wengi tumechoshwa na mfumo uliopo , tunataka mabadiliko. Hata ssm mseme nini kuhusu ukawa hatuwaamini tena, mmeshaongopa sana, tunachotaka ni mabadiliko tu . Haijalishi anayeleta mabadiliko ni nani au chama gani tunataka mabadiliko tu. it is a protest vote.
Tunataka katiba mpya itakayofanya viongozi watimize ahadi kwa wapiga kura wao. Wawajibike kwa wananchi wao sio kwa mfumo ssm.Tumechoka ilani za kujirudia rudia kila uchaguzi, kwani mkiwa madarakani mnafanya nini? Kwa kifupi tumechoshwa na uwongo wa ssm, wasubiri vichinjio vya wapumbavu oct 25.
 
Muda wote wacha upuuzi kuendelea kuamini kwenye ujinga wa hawa wenzako wa ccm baba YAKO,babu zako wamekuwa wakirubuniwa na hawa ccm unaowaunga mkono na ilani hiyo hiyo ndio itamuongoza magufuli kutawala
Hivyo unatamani Tanzania hii isiyopiga hatua iendelee kuwepo au hufahamu nini kuhusu upuuzi wa ccm ndani ya nchi hii.
Au ndio muda wote na jina lako huwezi kubadilika utaendelea kuwa hivyo muda wote
Dr Magufuli ndiye rais wako utake usitake. UKAWA mnatengeneza photoshop kutumia CGI mnadanganya eti mna watu wengi. Pia tu lowasa ni mwizi fisadi anatakiwa achomwe moto afe!
 
Back
Top Bottom