Ndugu wanajamvi, salamu.
Kutetereka kwa hali ya amani ya nchi yetu Tanzania kunakotokana na tetesi za uwepo wa vikundi vya kigaidi vya siasa kali za kiislamu vinavyodaiwa kupanga kufanya mashambulizi kwenye makanisa mbalimbali wakati wa sikukuu ya pasaka, makanisa mbalimbali yamewatangazia waumini wao watakaohudhuria misa ya mkesha wa pasaka kuwa misa hizo zitaanza kati ya saa 11 jioni na saa 1 badala ya saa 3 usiku kama ilivyozoeleka miaka yote.
Kanisa katoliki jimbo kuu la Mwanza kupitia mahubiri ya jana jumapili limewaelekeza waumini wake walioko kwenye vigango kuanza misa saa 11 na wale wanaosali parokiani kuanza misa saa 12 ili kufikia saa 3 usiku shughuli ya ibada iwe imekamilka. Pia waumini wametakiwa kuchukua tahadhari kwa kitu au mtu yeyote wanayemtilia mashaka.
Vilevile waumini wa kikristo wametakiwa kufunga kwa siku saba na kuliombea taifa na kwamba silaha pekee ya mkristo awapo kwenye nyakati ngumu za mateso ya kiimani ni kufunga na maombi.MY TAKE; Serikali ya CCM inajisikiaje kwa haya yanayoendelea nchini?, nauliza hivyo kwa kutambua kuwa mbegu hizi za udini na ukabila zimepandwa na wanasiasa wake huku serikali hiyohiyo ikitoa vibali kwa wahubiri wa dini moja kuzunguka nchi nzima kueneza chuki dhidi ya ukristo na baba wa taifa Mwl.
Nyerere huku wakikishambulia chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA. Nasema wahubiri hao walipewa kibali kwasababu polisi walikuwa wakilinda mihadhara iliyokuwa ikifanyika viwanja na kumbi za wazi. Miongoni mwa kauli zilizokuwa zikitolewa katika mihadhara hiyo ni hii; " KUFA KUPONA TUTAHAKIKISHA UKATOLIKI UNANG'OKA MIZIZI YAKE TANZANIA".
Ebu fikiria kauli kama hiyo inatolewa mbele ya polisi na usalama wa taifa ndani ukumbi wa Diamond Jubilee halafu watu hao wanaendelea kuzunguka mikoa mingine kueneza hayohayo, serikali haichukui hatua, maana yake ni kuwa tutaamini viongozi wakuu wa chama na serikali inayotawala wapo nyuma mpango wa wahubiri hao na wana baraka zote za mkuu wa nchi na vyombo vya ulinzi na usalama vina taarifa ya kutokuwachukulia hatua zozote wahusika.
Leo tumefika hapa kwa mbegu hizi zilizopandwa chini ya usimamizi wa watawala, na huenda hali ikawa mbaya zaidi kwani watawala hawaonekani kuchukua hatua stahili ingawa ni kweli kuwa hawawezi kuchukua hatua stahili kwa jambo waliloliunda kwa maslahi ambayo mpaka sasa nashindwa kuyatambua.
WITO; CCM na serikali chini ya Jakaya Kikwete, hili jambo mmeliasisi wenyewe kwa malengo mnayoyajua, mlitatue na mlimalize ili nchi yetu ibaki salama. Mungu ibariki Tanzania.
Wasiwe na hofu mtuhumiwa wa ugaidi nchini ambaye ni kiongozi wa CHADEMA bwana LWAKATARE bado yupo kizuizini.
au ndiyo wameanza kuwaandaa waumini ili wamuondoe kikwete madarakani?
Hapa tunatahadharishana na kupeana maarifa ya nini kifanyike ili kuisaidia nchi yetu iondokane na hali hii iliyoletwa na watawala wanafiki wasioona zaidi ya urefu wa pua zao, watawala wafitini wanaovikingia kifua vikundi vyenye kufitinisha watu wa nchi moja waliokaa kama ndugu kwa miaka dahari. Ningeelewa werevu wako kama maneno uliyotumia hapo ya unafiki na ufitini ungeyaelekeza sehemu stahiki, yaani kwa watawala wanaotugawa kwa dini zetu, makabila yetu na maeneo tunayotoka. Nirudie kusisitiza kwamba tuwakatae na kuwazomea watawala wanaosimama majukwaani wakihubiri ukanda na udini. Tanzania ni nchi yetu sote, waislam kwa wakristo, wahindu, wapagani, wenye dini za asili, waganga na wachawi sote tuwe wamoja kupinga na kukataa kwa nguvu zote njama za kutugawa.Hakuna mtu mbaya kama mnafiki, siku zote chochote asikiacho hujustify bila hata ku-investigate, mleta mada na his likes wanaamini christians watafanyiwa ugaidi, lakini wanaamini just kwa kusikia rumors tht's why hata kutaja specifically ni akina nani wana mpango wa kuratibu hayo wameshindwa. Lazima tusemezane ukweli hakuna mtu mbaya na mwenye sumu zaidi ya nyoka kama yule mwenye kuamsha fitina iliyolala, ni dhahiri mleta mada una nia ya kuzidi kupandikiza chuki baina christians and moslems kwa hiyo thread, FROM NOW ONWARD STOP, PUMBAVU.
Unazungumzia maisha ya mbinguni au duniani?????? you are not serious.
Tuliopo duniani tunaona mengi .........dhambi duniani zipo kwa wenye dini zao na wasio na dini.
kama ingekuwa hakuna dhambi basi misikiti na makanisa ingetoweka duniani lakini mbaya zaidi mungu asingeabudiwa kama dhambi zisingekuwepo. Wote tunakwenda makanisani na misikitini kumwabudu |Mungu kwa njia ya kuondoa dhambi.
Nafikiri kazi kuu ya dini ni kuwashawishi binadamu wasiomjua Mungu kumjua mungu sio kuwatenga na dini.
kuna watu hiyo hofu wanaitengeneza kwa maslahi yao binafsi. walianza na kusema kuwa serikali inawapendelea waislam, baadaye wakazusha kuwa kuna waislam wametoka somalia kuwadhuru wakristo siku ya pasaka. hawa watu wajinga mno
Waislamu ndiyo hamnazo kabisa,Wanachojua wenyewe ni samwaleko,Alafu wenye taarifa za ugaidi ni shehe PONDA SHEKH ILUNGA,NA WAISLAM WOTE WALIOHUZURIA KONGAMANO LA KUWA CHINJA WAKRISTO.ALEKYMFAKATU SHEHE(NGURUWE)Likitokea lolote siku hiyo mahala popote ndani ya Tanzania bara na visiwani, huyu bwana ndio awe wa kwanza kukamatwa na kuhojiwa maana yeye tayari anazo taharifa za ugaidi siku hiyo. Sasa hawaeleze polisi halizitoa wapi au ikiwezekana akamatwe sasa hivi kuepeua majanga na hao majangili wakamatwe mapema.
Maana mtu hawezi kujianzia mambo makubwa kiasi hiki unless hamnazo huko juu.
Tutaanza ibada mapema saa moja jioni hatuvai bullet proof silaha yetu ni maombi na sala na wiki hii tumeingia katika maombi juu ya amani ya taifa hili,mungu wetu wla amani atatenda muujiza soon.