Hofu ya ugaidi: Ibada ya mkesha wa pasaka kuanza saa 11 jioni!;

Status
Not open for further replies.
Kwa jina la aliye juu jina lipitalo majina yote,mfalme wa wafalme
Hawata fanikiwa
 
Kwanza nilishtuka na kusema sasa tunapoenda sio kuzuri kabisa kama hali ndiyo imefikia hapa. Nikitegemea labda watu wa usalama wame-detect cell tayari ya watu wenye nia ya kufanya hizo dhambi mkesha wa ijumaa kuu.

Kama ni fikra tu za mkichaa mmoja unaweza washauri na watu wasiende kabisa kanisani on easter sunday.

Kwanini watu mnapenda kuwatisha wenzenu bila ya sababu na kutaka kuvunja hata rituals za kidini kisa kuhamasiha chuki, mijitu mingine bwana.
 
Uku kwetu misa kama kawa inaanza saa tatu usiku sasa aje mtu mwenye kutaka kufa
Apo hatutaitaji serikali tutakusaka na utaambulia kifo on the spot maana wanasemaga ukicheka na kima utaambulia mabua.
URT inawachekea sisi hatutawachekea yaani upole wa wakristu ndo mnawaona mafala au mnazani hatuwezi kuti moto misikiti na kuuwa mashekhe as if huo moto mko nao ninyi tuu na kuua mnajua ninyi tuu.
Nakekerwa sana na haya mambo mbaya zaidi mkuu wa inchi yupo kimya mpaka makanisa yanatoa matamko
 
Ndugu wanajamvi, salamu.

Kutetereka kwa hali ya amani ya nchi yetu Tanzania kunakotokana na tetesi za uwepo wa vikundi vya kigaidi vya siasa kali za kiislamu vinavyodaiwa kupanga kufanya mashambulizi kwenye makanisa mbalimbali wakati wa sikukuu ya pasaka, makanisa mbalimbali yamewatangazia waumini wao watakaohudhuria misa ya mkesha wa pasaka kuwa misa hizo zitaanza kati ya saa 11 jioni na saa 1 badala ya saa 3 usiku kama ilivyozoeleka miaka yote.

Kanisa katoliki jimbo kuu la Mwanza kupitia mahubiri ya jana jumapili limewaelekeza waumini wake walioko kwenye vigango kuanza misa saa 11 na wale wanaosali parokiani kuanza misa saa 12 ili kufikia saa 3 usiku shughuli ya ibada iwe imekamilka. Pia waumini wametakiwa kuchukua tahadhari kwa kitu au mtu yeyote wanayemtilia mashaka.

Vilevile waumini wa kikristo wametakiwa kufunga kwa siku saba na kuliombea taifa na kwamba silaha pekee ya mkristo awapo kwenye nyakati ngumu za mateso ya kiimani ni kufunga na maombi..


Hakika hao wanaotengeneza hiyo chuki wanamalipo mabaya mbele za Mungu. Mie siamini kama ni kweli matangazo hayo yamefanywa na viongozi wa dini, tena eti kanisani?

Jamani propaganda hizo hazitupeleki kuzuri ebu tuachane nazo. Acheni kutuvuruga watanzania kwa malengo yenu machafu. Nani kasema waislam wana ugomvi na wakristo? jamani jamani mbona hatuuoni huo ugomvi nawakati wanaishi pamoja mpaka sasa? mbona hatusikii kuwa eti mtaa fulani sinza waislam na wakristo wamezichapa? jamani jamani acheni hizo. Hizi propaganda za kutugawa na kuwafanya wakristo wasisherehekee ibada yao kwa furaha si nzuri. Propaganda za kijinga. Tuuache huu ujinga wa propaganda na kuamsha chuki miongoni mwa wanajamii zisizokuwepo. Mie ningekuwa nikiongozi lazima hawa viongozi waliowahofisha wananchi kwa taarifa hii ningewakamata wakajieleza, kwani wanatutangazia kuwa serikali imeshindwa kutulinda.
 
Si kawaida, tulizoea kuanza misa ya mkesha wa pasaka saa 4 usiku, sasa tutaanza saa 12 jioni. Hapa ndipo "chaguo la Mungu" Ki'wete alipotufikisha!
 
Si kawaida, tulizoea kuanza misa ya mkesha wa pasaka saa 4 usiku, sasa tutaanza saa 12 jioni. Hapa ndipo "chaguo la Mungu" Ki'wete alipotufikisha!

Chezea ------ weyee!!!!!! amesema acha mfe yeye anasubiri muda wake uishe aende zake arabuni, mtajiju
 
Sidhani na wala msidanganyike kuwa ugaidi hautoweza kutendeka katika mida hiyo inayopangwa kufanyika misa! magaidi wanaweza kutekeleza azma yao wakati wowote! jambo la muhimu ni kuomba ulinzi wa Mungu na ibada zote zifunikwe kwa damu takatifu ya YESU KRISTO!!
 
Hakuna mtu mbaya kama mnafiki, siku zote chochote asikiacho hujustify bila hata ku-investigate, mleta mada na his likes wanaamini christians watafanyiwa ugaidi, lakini wanaamini just kwa kusikia rumors tht's why hata kutaja specifically ni akina nani wana mpango wa kuratibu hayo wameshindwa. Lazima tusemezane ukweli hakuna mtu mbaya na mwenye sumu zaidi ya nyoka kama yule mwenye kuamsha fitina iliyolala, ni dhahiri mleta mada una nia ya kuzidi kupandikiza chuki baina christians and moslems kwa hiyo thread, FROM NOW ONWARD STOP, PUMBAVU.
 
Sisi ibada yetu itaanza saa 3 kama kawa, kama wapo wanaotaka kuja kujipitisha ua kujipendekeza waje waone kazi maana kila wakati wanajifanya kama wana nguvu na uwezo sana. Watajuta siku waliyozaliwa isingefika wawepo dunia hii. Hatujali karate wala kungfu walizojifunza, hawatafanikiwa kurusha hata konde moja.
Hivii ndugu zetu ( ktk utaifa) wakristo, kuna kitu gani muna kikosa musipo tudhihaki sisi waislam? Inafikia hatua inakera jamani. Yani mchungaji/padri ana vuta bange lake chooni, anatoka na kisio kuwa siku ya pasaka waislam wanataka kulipua makanisa, hivi iinaingia akilini? Tumeanza kuishi na nyinyi leo?
Au pasaka huundio mwaka wake wa kwanza? Acheni hizo. Muna kera sana.
 
Wacrsto acheni woga, aliye toa hofu hiyo alivuta bange nyingi sana siku hiyo, kwahiyo baada ya kumlevya akahisi yupo Syria akamuona mtu kavaakanzu na balaghsea ana lipua moja kati ya majengo ndani ya nchi hiyo . Kwahiyo alivyo zinduka huku akiwa Bange lime mtoka akaona awatangazie kuwa Waislam wana taka kulipua makanisa siku ya mkesha wa pasaka. Nawaomba musiwe na hofu ni Bange tu lina msumbuwa Mchungaji huyo.
 
Hakuna mtu mbaya kama mnafiki, siku zote chochote asikiacho hujustify bila hata ku-investigate, mleta mada na his likes wanaamini christians watafanyiwa ugaidi, lakini wanaamini just kwa kusikia rumors tht's why hata kutaja specifically ni akina nani wana mpango wa kuratibu hayo wameshindwa. Lazima tusemezane ukweli hakuna mtu mbaya na mwenye sumu zaidi ya nyoka kama yule mwenye kuamsha fitina iliyolala, ni dhahiri mleta mada una nia ya kuzidi kupandikiza chuki baina christians and moslems kwa hiyo thread, FROM NOW ONWARD STOP, PUMBAVU.


Kabisa mkuu yaani wanakua na wasiwasi eti eti dah yaani akishasemaga mchungaji tuu basi mbona sisi sheikh wetu kauliwa na hatulalamiki kama hawa jamaa halafu eti siku uzalendo utawashinda ama ndo uvumilivu tehetehe haya lakini mnaboa sana kwa habari zenu za kuskia fanyeni ibada yenu bila ya shaka
 
Hizi habari mwambie mwenzako aleyeleta vitisho.....

Halafu nyinyi kwa kujifanya wapole balaa..huku ndio mnaongoza duniani kwa uuaji....
Muislamu Adui yake si mkristo ..muislamu adui yake ni yoyote anyewafanyia Uadui uislamu .....

Muislamu adui yake ni yoyote anyefanya Udhalimu hapa duniani...
kuanzia watembea Uchi...
Watengenzaji wa PICHA za ngono
...walevi ...wazinz
i....wavaa vimini
....wacheza kamari
..waabudu sanamu..
.wavamizi....
wala mizoga...
wafunga ndoa za Jinsia moja...
Wanaoamini mungu wa kweli wapo zaidi ya mmoja...
Madikteta
Wauaji...
...n.k

Ukiwa katika haya wewe ni adui wa uislamu...haijalishi Jina lako ni la kikiristo,Kiislamu,Kibudha,Kihindu....

Unazungumzia maisha ya mbinguni au duniani?????? you are not serious.

Tuliopo duniani tunaona mengi .........dhambi duniani zipo kwa wenye dini zao na wasio na dini.

kama ingekuwa hakuna dhambi basi misikiti na makanisa ingetoweka duniani lakini mbaya zaidi mungu asingeabudiwa kama dhambi zisingekuwepo. Wote tunakwenda makanisani na misikitini kumwabudu |Mungu kwa njia ya kuondoa dhambi.

Nafikiri kazi kuu ya dini ni kuwashawishi binadamu wasiomjua Mungu kumjua mungu sio kuwatenga na dini.
 
Kwanza nilishtuka na kusema sasa tunapoenda sio kuzuri kabisa kama hali ndiyo imefikia hapa. Nikitegemea labda watu wa usalama wame-detect cell tayari ya watu wenye nia ya kufanya hizo dhambi mkesha wa ijumaa kuu.

Kama ni fikra tu za mkichaa mmoja unaweza washauri na watu wasiende kabisa kanisani on easter sunday.

Kwanini watu mnapenda kuwatisha wenzenu bila ya sababu na kutaka kuvunja hata rituals za kidini kisa kuhamasiha chuki, mijitu mingine bwana.

Tusubiri taarifa rasmi za kipolisi hadi sasa hizi ni tetesi tu.......

Katika miaka ya hivi karibuni Jeshi la Polisi lina kawaida ya kuimarisha ulinzi mkali sana katika sikukuu zote za dini, wote tumeshuhudia farasi, mbwa, helkpta na polisi wa kumwaga maeneo ya mikusanyiko.

siku moja kabla ya sikuu kwa hii pasaka ni jumatano au alhamisi Jeshi la polisi ni lazima litoe angalizo kwa raia wanaotaka kuvuruga amani.

kama ujumbe huu umewafikia polisi natumaini pia watatoa 'statement' yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom