Hofu ya mabomu kariakoo!

Hofu ya mabomu kariakoo!

Amina Thomas

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2008
Posts
272
Reaction score
130
Niko kariakoo. Hali mpaka sasa ni swari sana ila maduka na biashara zote zimefungwa. Watu wanashauriwa kuondoka kwa hofu ya kwamba baada ya swala ya ijumaa kunaweza kukazuka ghasia. Piki piki na defender za polisi na ffu zinaranda randa kona zote k/koo. Hata mimi naondoka zangu!
 
Hii dini ya kiislam bora isingekuwepo hapa duniani maana kokote ilipo ni fujo tupu
hii ni kwa taarifa yako tu! uislamu ulianza kuchukiwa tangu unaanza kuingia ulimwenguni na wengine wakatoa mapendekezo kama yako lakini walishindwa. je itawezekana leo hali ya kuwa umeshatapakaa kama uionavyo ardhi ulimwenguni? kama vipi jitundike mtu wangu wala uislamu hautakubugudhi tena.
 
Wanajamvini nimetumia msg magomeni hapafai, nipo mitaa ya Salenda nimeona pikipiki za tigo zimepita kama 100 hivi kuna nini uko usalama jamani
 
kwa aliyeko kariakoo tupeni habari- juu ya mabomu ni kweli?
 
Mi mwenyewe siko kkoo bt nimeona polisi wanapita na silaha zao. ila naamini hakuna litakalotokea
 
Malelia imekuanzia kichwani? Yahani pikipiki za tigo ndo magomeni pasifae .....
 
Back
Top Bottom