Kuna sehemu nimesema ni mwenzangu bwashee?Makonda sio mwenzako na hawezi kuwa mwenzako yeye ni kina kirefu shauri yako
Mie nashauri apigwe tu maana hakuna namnaAliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupitia mtandao wa Instagram amechapisha akilalamika kuwa kuna makundi 5 ya watu wanaopanga kumuangamiza.
Makonda amesema makundi hayo yanataka kuhakikisha anapata kesi ya uhujumu uchumi au auwawe kabisa kwa manufaa yao binafsi.
"Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida a familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi" Makonda ameandika.
Aidha makonda amebainisha makundi hayo yanaundwa na wauza madawa ya kulevya, mashoga, mafisadi, wanufaika na madawa ya kulevya na kundi la mwisho ambalo hakuliweka wazi.
Ameandika kuwa licha ya kazi nzuri aliyoifanya wakati akiwa ofisini lakini bado kuna watu wanataka kumpoteza.
Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndivo malipo yake?, mtu aliejenga hospital , aliejenga ofisi za CCM, magari ya police ofisi za walimu, vituo vya polisi, shule za secondari na
msingi, kutibu wagonjwa mpaka meli kuja Tanzania, kuhudumia makundi mbalimbali mpaka kuiunganisha serikali na viongozi wa
dini leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa?" amehoji.
Sio mara ya kwanza Makonda kulalamika ingawaje hapo awali alisema kuwa kuna watu wana muhujumu kutaka kupora mali zake kwa maksudi.
Malalamiko haya ya Makonda yanaibua hisia na maswali mengi ambayo mtu anaweza kujiuliza ni nini kinamsibu Makonda?
Alipo sema kuwa wanataka kumnyang'anya mali ikaonekana ni jambo dogo lakini kufika kuhofia uhai wake ni jambo kubwa linalohitaji kujulikana.
Kama kweli kuna watu wanataka kumdhuru makonda ni akina nani hao na kwanini wasichukuliwe hatua?
Makonda anadai hayo makundi 5 ya watu wanootaka kumpoteza yanajulikana kwanini asipeleke malalamiko kwenye vyombo vya dora Mahakama na polisi kwa hatua za kisheria zaidi?
Tuseme kwamba Makonda haviamini vyombo vya dora hadi anakimbilia mitandaoni kulalamika ili apate huruma ya raia wa kawaida?
Hatuwezi kufikiria kuwa Makonda aliyetatua migogoro lukuki akiwa mkuu wa Mkoa hajui taratibu za kufuata ili kuripoti matukio kama haya?
Hapana kabisa bado kuna maswali mengi tunapaswa kujiuliza ili tupate kujua makonda ana hofu gani inayomtafuna na kumfanya alalamike kila kukicha.
Hatuwezi kujua ukubwa wa madaraka ya watu hao alio wataja katika makundi matano pengine ni wakubwa kimamlaka anohofia hawezi kupata haki, lakini mahakama na polisi ni vyombo huru anaogopa nini?
Bila shaka serikali ina miongozo yake katika kuwasaidia viongozi wake wastaafu kwanini Makonda hajatumia nafasi hiyo kulalamika?
Malalamiko ya Makonda Mitandaoni yanafikirisha na yanahitaji majibu.
Peter Mwaihola
View attachment 2184198
walikuwepo vina virefu kama hitler ,musolin,id amin saivi wamegeuka mbolea jalibu kuutumia ubongo wako vizur.makonda ana kina gani kirefu?ni suala la muda damu za watu huwez zikimbiaMakonda sio mwenzako na hawezi kuwa mwenzako yeye ni kina kirefu shauri yako
Hao uliowataja waliishi bongo hapahapa?walikuwepo vina virefu kama hitler ,musolin,id amin saivi wamegeuka mbolea jalibu kuutumia ubongo wako vizur.makonda ana kina gani kirefu?ni suala la muda damu za watu huwez zikimbia
Makonda ana security ambayo wewe huwezi kuwa nayo na yeye mwenyewe ni mtu mwingine kabisa usimchukulie poa kaka, sasa usihisi anaogopa kama wewe na mimi.Kuna sehemu nimesema ni mwenzangu bwashee?
Kuna sehemu nimesema naenda kumjaribu bwashee?Makonda ana security ambayo wewe huwezi na yeye mwenyewe ni mtu mwingine kabisa usimchukulie poa kaka, sasa usihisi anaogopa kama wewe na mimi.
Hire someone akamjaribu uje utuambie 😹
🤣🤣🤣🤣 kama muvi vile, action after action. Shida ni ndoto zikiwa kweli ndo hapo kitaumanaHOFU
kuna ndoto mbaya za kujirudiarudia
Kuna damu zinamnukia
Kuna vivuli vinamfuata
Kuna marehemu wanamtokea
Kuna sauti zinamwambia mambo ya kutisha sana
Anakaribia kuwa kwenye denial state.. Ama kuwehuka.. Ushingae aanze hata kukikimbia kivuli chake mwenyewe.. Na wala si ajabu ukasikia kajinyonga...
Anaota yuko Segerea gerezani halafu anastuka na kuhema sana kumbe yuko kwake anajabu kulala tena
Mara kinapita kivuli dirishani anadhani ni wauaji wameshamfikia kumbe ni mbwa wake
Akijaribu kulala tena anaota yuko kizimbani anahukumiwa kunyongwa
Anaota anapigwa risasi, anaota anakufa.. Anaona sura za wale wore aliowadhulumu haki ya kuishi zikimlaki ama zikimkibiza na silaha mbalimbali
Amejifungia kwenye ma grill
Ana CCTV camera
Nyumba ina uzio mtefu wenye waya live za umeme
Getini kuna kampuni ya ulinzi na silaha za moto
Ana bastola na bunduki
Ana hirizi
Ana Bible nknk lakini bado hajiamini ana woga, ana hofu ana sononi
Maoni yako ya kwanza yanaonyesha unachofikiria kuhusu Makonda yani "Muoga" kindiga flani tu hivi ambaye wana mmudu wengi maana sisi tu wananzengo tunamtukana mbaya mbovu.Kuna sehemu nimesema naenda kumjaribu bwashee?
Au unaota mwambie aliyekaribu nawe akuamshe bwashee.
natamani kukujibu ila akili yako ya kitoto sana refer bashiru,polepole,sabaya wa enzi hizo and now days.By then who is bashite?kayafa mwnyewe alimpiga chini sababu ya low mindset ya mission.kina kirefu kikimbie kusiko julikana hili jambo hutakiw kutumia akili kubwa kutambua mkuu.media zisharipoti anahitajika mahakamani overHao uliowataja waliishi bongo hapahapa?
Unadhani makonda ni nobody kwenye nchi unayoishi kama ulivyo wewe?
Thubutuuu
Wewe dogo ACHA UJINGA.natamani kukujibu ila akili yako ya kitoto sana refer bashiru,polepole,sabaya wa enzi hizo and now days.By then who is bashite?kayafa mwnyewe alimpiga chini sababu ya low mindset ya mission.kina kirefu kikimbie kusiko julikana hili jambo hutakiw kutumia akili kubwa kutambua mkuu.media zisharipoti anahitajika mahakamani over
nilijua utaanza matusi sababu akili yako inahakisi ulivyo,aya kama mi mdogo shikamoo makonda .sasa sijui ningeandika kizungu ingekuaje?Ngoja nikuache uendelee na deep pond za bashiteWewe dogo ACHA UJINGA.
Kajifunze kuandika kwanza pumbavu
Angekuwa haogopi angepambana kimya kimya au angewaface hao anaowasema moja kwa moja bwashee.Maoni yako ya kwanza yanaonyesha unachofikiria kuhusu Makonda yani "Muoga" kindiga flani tu hivi ambaye wana mmudu wengi maana sisi tu wananzengo tunamtukana mbaya mbovu.
KulalMika Hvo...Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupitia mtandao wa Instagram amechapisha akilalamika kuwa kuna makundi 5 ya watu wanaopanga kumuangamiza.
Makonda amesema makundi hayo yanataka kuhakikisha anapata kesi ya uhujumu uchumi au auwawe kabisa kwa manufaa yao binafsi.
"Nafahamu pia juu ya mbinu zinazoandaliwa ili kuniuwa kwa faida a familia zao pamoja na kutengeneza mashaidi wa uongo ili mnipe kesi ya uhujumu uchumi" Makonda ameandika.
Aidha makonda amebainisha makundi hayo yanaundwa na wauza madawa ya kulevya, mashoga, mafisadi, wanufaika na madawa ya kulevya na kundi la mwisho ambalo hakuliweka wazi.
Ameandika kuwa licha ya kazi nzuri aliyoifanya wakati akiwa ofisini lakini bado kuna watu wanataka kumpoteza.
Hakika ukiwa mtumishi mwaminifu unaetetea haki za wanyonge tena ukitokea kwenye familia masikini haya ndivo malipo yake?, mtu aliejenga hospital , aliejenga ofisi za CCM, magari ya police ofisi za walimu, vituo vya polisi, shule za secondari na
msingi, kutibu wagonjwa mpaka meli kuja Tanzania, kuhudumia makundi mbalimbali mpaka kuiunganisha serikali na viongozi wa
dini leo hii naonekana eti natakiwa kunyongwa?" amehoji.
Sio mara ya kwanza Makonda kulalamika ingawaje hapo awali alisema kuwa kuna watu wana muhujumu kutaka kupora mali zake kwa maksudi.
Malalamiko haya ya Makonda yanaibua hisia na maswali mengi ambayo mtu anaweza kujiuliza ni nini kinamsibu Makonda?
Alipo sema kuwa wanataka kumnyang'anya mali ikaonekana ni jambo dogo lakini kufika kuhofia uhai wake ni jambo kubwa linalohitaji kujulikana.
Kama kweli kuna watu wanataka kumdhuru makonda ni akina nani hao na kwanini wasichukuliwe hatua?
Makonda anadai hayo makundi 5 ya watu wanootaka kumpoteza yanajulikana kwanini asipeleke malalamiko kwenye vyombo vya dora Mahakama na polisi kwa hatua za kisheria zaidi?
Tuseme kwamba Makonda haviamini vyombo vya dora hadi anakimbilia mitandaoni kulalamika ili apate huruma ya raia wa kawaida?
Hatuwezi kufikiria kuwa Makonda aliyetatua migogoro lukuki akiwa mkuu wa Mkoa hajui taratibu za kufuata ili kuripoti matukio kama haya?
Hapana kabisa bado kuna maswali mengi tunapaswa kujiuliza ili tupate kujua makonda ana hofu gani inayomtafuna na kumfanya alalamike kila kukicha.
Hatuwezi kujua ukubwa wa madaraka ya watu hao alio wataja katika makundi matano pengine ni wakubwa kimamlaka anohofia hawezi kupata haki, lakini mahakama na polisi ni vyombo huru anaogopa nini?
Bila shaka serikali ina miongozo yake katika kuwasaidia viongozi wake wastaafu kwanini Makonda hajatumia nafasi hiyo kulalamika?
Malalamiko ya Makonda Mitandaoni yanafikirisha na yanahitaji majibu.
Peter Mwaihola
View attachment 2184198
natamani kukujibu ila akili yako ya kitoto sana refer bashiru,polepole,sabaya wa enzi hizo and now days.By then who is bashite?kayafa mwnyewe alimpiga chini sababu ya low mindset ya mission.kina kirefu kikimbie kusiko julikana hili jambo hutakiw kutumia akili kubwa kutambua mkuu.media zisharipoti anahitajika mahakamani over
Nakuaminia mdogo wangu. Kama fasihi umepitiliza na kama Saikologia basi wakupe phd ila siyo ya wale wenzetu. Hongera kwa hili na akisoma arudie tena Bashite akumbuke mateso ya Roma mkatoliki na wenzake na wengine wengi akina Mo wakiwemo. Damu ya mtu siyo maji.HOFU
kuna ndoto mbaya za kujirudiarudia
Kuna damu zinamnukia
Kuna vivuli vinamfuata
Kuna marehemu wanamtokea
Kuna sauti zinamwambia mambo ya kutisha sana
Anakaribia kuwa kwenye denial state.. Ama kuwehuka.. Ushingae aanze hata kukikimbia kivuli chake mwenyewe.. Na wala si ajabu ukasikia kajinyonga...
Anaota yuko Segerea gerezani halafu anastuka na kuhema sana kumbe yuko kwake anajabu kulala tena
Mara kinapita kivuli dirishani anadhani ni wauaji wameshamfikia kumbe ni mbwa wake
Akijaribu kulala tena anaota yuko kizimbani anahukumiwa kunyongwa
Anaota anapigwa risasi, anaota anakufa.. Anaona sura za wale wore aliowadhulumu haki ya kuishi zikimlaki ama zikimkibiza na silaha mbalimbali
Amejifungia kwenye ma grill
Ana CCTV camera
Nyumba ina uzio mtefu wenye waya live za umeme
Getini kuna kampuni ya ulinzi na silaha za moto
Ana bastola na bunduki
Ana hirizi
Ana Bible nknk lakini bado hajiamini ana woga, ana hofu ana sononi