Hofu kubwa ndani ya Jeshi la Polisi

Hofu kubwa ndani ya Jeshi la Polisi

Mimi Nina ndugu ndani ya jeshi la polisi. Wamo polisi mpaka wa nyota tatu.

Kuna hofu kubwa na wengi Wao wanaanza kuziondoa familia zao Dar.

Wengi wanaombea waandamanaji wawe wengi sana ili Polisi wasiweze kutumia ukatili na badala yake wakimbie kwa kuzidiwa.
Wanasema shida itakuwa waandamanaji wakiwa Wachache. Watalazimika kutumia ukatili mkubwa kama walivyoelekezwa na viongozi wa juu.

Kuna polisi wana wasiwasi wa nyumba zao kuchomwa moto. Hofu ni kubwa sana.

Wanasema hii ni mara ya kwanza wanaona maandamano yanaweza kufanikiwa. Hawajiamini wana uwezo wa kuyazuia raia wakiwa wengi.

Pia kuna polisi wengi wanaunga mkono maandamano. Ila hiyo ni kazi na hawawezi kukataa. Lakini wakipata mwanya wa kukimbia, watakimbia.

kuna polisi wameandaa nguo kabisa za kiraia kwa ajili ya kuvua uniforms na kuvaa hizo kujiokoa wakizidiwa. Hii yote ni dalili ya hofu kubwa.

Tension ni kubwa sana.
Jidanganye.
 
Unasema kweli au unawavuruga polisi kisaikolojia? Maandamano yatoke wapi nchi hii na njaa yote hii? Umasikini ni mkubwa mno kiasi kwamba wananchi hawana muda wa kufuatilia mambo ya siasa. Hii nyomi ya ccm inayojaza viwanja ni manuever tu wanayofanya chama hicho, kama si kutumia mbinu nyingi kujaza viwanja hawatapata watu wa kujaza viwanja. Wananchi hawana shobo na mambo ya siasa kutokana na umasikini, wako bize kutafuta mkate wa siku, sembuse kujitokeza kwenye maandamano hayo?
kwa tafsiri nyingine unasema; CCM ikiwaondolea watanzania njaa, ikawapa good health care facilities..low cost of living watanzania wataandamana. namely watanzania uandamana wakiwa kwenye neema na sio kinyume chake.
 
Siku zote Jeshi lolote lile lenye nguvu duniani,huwa na nguvu muda wa Amani tu,amani ikivurugika hakun commandoo yeyote atakaejisifu kuwa yeye ni commando mwenye mafunzo ya hali ya juu, bali na ukomando wake anaweza akakimbia uwanja wa vita.
Hakuna polisi yeyote duniani waliowahi kushindana na nguvu ya umma na wakashinda, labda ndotoni tu.
KUna uwezekano mkubwa wa zaidi ya asilimia tisini kuwa watu wasiandamane,lakini haitokuwa ushindi kwa wa watawala, bali itakuwa ndio mwanzo wa ushindi kwa wananchi,kwani taratibu roho za watu zinazidi kubadilika,kutoka kuwa raia wa pole hadi raia ambao hawatamani kabisa kuiona serikali iliyopo madarakani.
Muda wa serikali kurudi upande wa Wananchi, la sivyo,siku zao,miezi yao na miaka ya kumaliza utawala ipo karibu mno kutimia
Wasipojirekebisha,watabaki kuwa historia ya moja ya chama kilichotawala kwa miaka mingi Afrika lakini kikadondoshwa na wananchi kwa Aibu kubwa.
Mitano Tena.
 
Mimi Nina ndugu ndani ya jeshi la polisi. Wamo polisi mpaka wa nyota tatu. Kuna hofu kubwa na wengi Wao wanaanza kuziondoa familia zao Dar. Wengi wanaombea waandamanaji wawe wengi sana ili Polisi wasiweze kutumia ukatili na badala yake wakimbie kwa kuzidiwa. Wanasema shida itakuwa waandamanaji wakiwa Wachache. Watalazimika kutumia ukatili mkubwa kama walivyoelekezwa na viongozi wa juu. Kuna polisi wana wasiwasi wa nyumba zao kuchomwa moto. Hofu ni kubwa sana. Wanasema hii ni mara ya kwanza wanaona maandamano yanaweza kufanikiwa. Hawajiamini wana uwezo wa kuyazuia raia wakiwa wengi. Pia kuna polisi wengi wanaunga mkono maandamano. Ila hiyo ni kazi na hawawezi kukataa. Lakini wakipata mwanya wa kukimbia, watakimbia. kuna polisi wameandaa nguo kabisa za kiraia kwa ajili ya kuvua uniforms na kuvaa hizo kujiokoa wakizidiwa. Hii yote ni dalili ya hofu kubwa. Tension ni kubwa sana.
Mimi Nina ndugu ndani ya jeshi la polisi. Wamo polisi mpaka wa nyota tatu.

Kuna hofu kubwa na wengi Wao wanaanza kuziondoa familia zao Dar.

Wengi wanaombea waandamanaji wawe wengi sana ili Polisi wasiweze kutumia ukatili na badala yake wakimbie kwa kuzidiwa.
Wanasema shida itakuwa waandamanaji wakiwa Wachache. Watalazimika kutumia ukatili mkubwa kama walivyoelekezwa na viongozi wa juu.

Kuna polisi wana wasiwasi wa nyumba zao kuchomwa moto. Hofu ni kubwa sana.

Wanasema hii ni mara ya kwanza wanaona maandamano yanaweza kufanikiwa. Hawajiamini wana uwezo wa kuyazuia raia wakiwa wengi.

Pia kuna polisi wengi wanaunga mkono maandamano. Ila hiyo ni kazi na hawawezi kukataa. Lakini wakipata mwanya wa kukimbia, watakimbia.

kuna polisi wameandaa nguo kabisa za kiraia kwa ajili ya kuvua uniforms na kuvaa hizo kujiokoa wakizidiwa. Hii yote ni dalili ya hofu kubwa.

Tension ni kubwa sana.
Tayari Polisi walishaanza kujitokeza behind the scene kupinga ujinga na upumbavu na unyama wa Samia Suluhu Hassan (Mzanzibari) dhidi ya Watanganyika...

Huyu hapa Polisi


View: https://youtu.be/t5r4KUXji_s?si=4Wlf6oXi-w6LMU8_
 
Organisers huko Insta Tiktok na X wawe makini nimewasikia wengine wakisema wananchi wasifungue maduka yao wasifanye biashara zao siku hiyo nadhani that's wrong.

Kuvamia property kupora maduka ya raia wenzetu sio poa.

Maandamano yanatakiwa yawe ya Amani na polisi wakitumia nguvu kupita kiasi wao ndio tunatakiwa kudili nao
Sawaaa nini malengo ya kuandamana huko.?
 
Mmehama kutoka jw had polisi?
Propaganda za ki k sana!

Unajua kwa nn chadema mnayoamini kuwa ipo miyoni mwa watanzania inaendelea kupotea huku mkifarijiana? Ni kwa sababu ya u k kama huu wa propaganda za kutunga tunga..
Walikuwa wanatunga uongo uongo, walikuwa na idara ya matusi, kipo wapi?
Acha maisha ya ujima!

Ninachojua tarehe 29 oct kuna makundi mawili, la kwanza litaenda kutiki, la pili litakuwa linachoma ofisi za umma huku JF, TIKTOK, FB, INSTA, WHTSAP
 
Mm km mtanzania naomba sana watanzania wenzangu tusije kuharibu miundo mbinu yetu tuliyo ijenga kwa kodi zetu... Kitu cha msingi ni kuchoma nyumba za mafisadi mali zao zote haribu kabisa ila sio miundo mbinu yetu.
 
Mm km mtanzania naomba sana watanzania wenzangu tusije kuharibu miundo mbinu yetu tuliyo ijenga kwa kodi zetu... Kitu cha msingi ni kuchoma nyumba za mafisadi mali zao zote haribu kabisa ila sio miundo mbinu yetu.
Hata mali za hayati Leigwanan Lowassa pia zimo kwenye orodha au yeye tulishamsafisha?
 
Mimi Nina ndugu ndani ya jeshi la polisi. Wamo polisi mpaka wa nyota tatu.

Kuna hofu kubwa na wengi Wao wanaanza kuziondoa familia zao Dar.

Wengi wanaombea waandamanaji wawe wengi sana ili Polisi wasiweze kutumia ukatili na badala yake wakimbie kwa kuzidiwa.
Wanasema shida itakuwa waandamanaji wakiwa Wachache. Watalazimika kutumia ukatili mkubwa kama walivyoelekezwa na viongozi wa juu.

Kuna polisi wana wasiwasi wa nyumba zao kuchomwa moto. Hofu ni kubwa sana.

Wanasema hii ni mara ya kwanza wanaona maandamano yanaweza kufanikiwa. Hawajiamini wana uwezo wa kuyazuia raia wakiwa wengi.

Pia kuna polisi wengi wanaunga mkono maandamano. Ila hiyo ni kazi na hawawezi kukataa. Lakini wakipata mwanya wa kukimbia, watakimbia.

kuna polisi wameandaa nguo kabisa za kiraia kwa ajili ya kuvua uniforms na kuvaa hizo kujiokoa wakizidiwa. Hii yote ni dalili ya hofu kubwa.

Tension ni kubwa sana.
Wataogopa sanaa
 
Mtaani kwetu kuna polisi mshkaji wetu, kasema polisi wengi wanaombea Samia aanguke kwani anazidi kuua vijana wasio na hatia.
Kuwa na ndugu / Rafiki nao naonaga ni mtiani mwingine , kuwa nao makini , kuwa na rafiki na askari magereza , au mwanajeshi angalau
 
serikali inakupa option mbili either ufe willingly ama Uuawe unwillingly.
hata usipotoka nje kupinga ujahili wao bado watakuja kukuchomoa chumbani kwako kukuua na Kuna chance kubwa mahiti yako isionekane..ni heri ufe willingly na mahiti yako ipatikane.
hawawezi ficha mahiti za waandamanaji.
 
Kuonyesha hisia zetu kuwa haya yanayoendelea nchini kwa sasa na haswa usalama wa raia ubinywaji wa Demokrasia kubambikia kesi wapinzani na kwasababu sisi CHADEMA hatuutambui huu uchaguzi.
Alafu jioni mnarudi majumbani mwenu kulala.hakuna kilichobadilika?
 
Back
Top Bottom