Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,857
- 7,336
Kabisa mkuu raia washachoka ule woga wa kufa hawana tena, wawe wapole tuu.Sijui, labda wanalinda ugali wa familia zao. Ila nawasihi tu siku ya maandamano ni heri mapolisi waende kama ushahidi tu na kulinda wananchi wanaoandamana maana ndio kazi yao. Ila kamwe wasijaribu kuzuia maandamano maana wanajihatarishia usalama wao