Ongezea na kuigawa hii nchi kikabila. Kwamba eneo fulani hawakunipa kura nami siwapi maendeleo. Lakini kodi una kusanya kutoka kwao..Baada ya Tundu Lissu kuwasili nchini na kuanza kuwaelimisha wananchi kuhusu uongo na maigizo ya awamu ya tano, pamekuwa na sintofahamu nyingi upande wa chama dola CCM. Pamekuwa na matamko toka kwa viongozi mbalimbali mfano nimesoma kuhusu mgombea ubunge wa CCM jimbo la Ruangwa ndugu Kassim Majaliwa akipangia wagombea urais lipi waseme na lipi wasiseme...
Tunatoa tahadhali tu Mkuu, hata Mwewe AKIZOMEWA SANA hukitelekeza kifaranga cha kuku.Basi pambaneni msilete visingizio
Hawajalipwa acha uongoHawa wameshalipwa pesa yao yote hizo hoja zilizobaki Ni nyepesi mno
Watu tunataka tujue mtafanya kipi kikubwa kuliko ccm katika masuala ya kuweka mkate mezani
Mpaka Sasa majimbo 50 ya Zanzibar walishapoteza, Lisu mwenyewe Yuko anaongea kinyaturu barabarani keshapoteza mwelekeo,Hahhahaha.. Uchaguzi huu ni nwepesi sana kwa ccm
Unajua kabisa huu si wakati wa kupiga kampeni, ndio maana wa Upande wa pili wame kunyamazia.Baada ya Tundu Lissu kuwasili nchini na kuanza kuwaelimisha wananchi kuhusu uongo na maigizo ya awamu ya tano, pamekuwa na sintofahamu nyingi upande wa chama dola CCM. Pamekuwa na matamko toka kwa viongozi mbalimbali mfano nimesoma kuhusu mgombea ubunge wa CCM jimbo la Ruangwa ndugu Kassim Majaliwa akipangia wagombea urais lipi waseme na lipi wasiseme...
Mbona mnakuwa waongo kupindukia? Baba wa uongo ni shetani,hivyo wewe ni mfuasi wa shetani. Watu bado wanadai mpaka jana,wewe unakuja na mauongo yako. Nendeni huko chini muone ukweli ndio muandike,sio uongo uongo tuu.Hawa wameshalipwa pesa yao yote hizo hoja zilizobaki Ni nyepesi mno
Watu tunataka tujue mtafanya kipi kikubwa kuliko ccm katika masuala ya kuweka mkate mezani
Yaani hata mimi niliye mbali maelfu ya kilomita nina taarifa,tena taarifa sahihi kuliko wewe unayefagia hapo Lumumba!!!Alishapita bila kupingwa. Huna Habari?
Mataga mtakoma mwaka huu!! Na mtarukwa kichaa kwa spana za Lissu mwaka huu??? Vipi Embu niambie, Lissu ameshakamatwa baada ya kutua airport???😀😀😀Mpaka Sasa majimbo 50 ya Zanzibar walishapoteza, Lisu mwenyewe Yuko anaongea kinyaturu barabarani keshapoteza mwelekeo,
Nidhamu kazini au uoga kazini?Kwa hiyo hayo nane ndio wamefanya ujenz wa barabara haujaona madaraja hospital nidhamu kazin kubana matumiz kuzuia mfumuko wa bei umeme wa uhakika mirad mikubwa yote hujaona husda na chuki ni ugonjwa mbaya sana na uchaw sio mpaka ubebe tunguli hapo mkuu upo katika hatua za awali za uchawi ukidevelop utaanza kubeba matunguli keep it up
Wanajaribu kuwaza watakachosema kipya kwenye kampeni hawakioni maana ilishakuwa ngonjera sasa.Baada ya Tundu Lissu kuwasili nchini na kuanza kuwaelimisha wananchi kuhusu uongo na maigizo ya awamu ya tano, pamekuwa na sintofahamu nyingi upande wa chama dola CCM. Pamekuwa na matamko toka kwa viongozi mbalimbali mfano nimesoma kuhusu mgombea ubunge wa CCM jimbo la Ruangwa ndugu Kassim Majaliwa akipangia wagombea urais lipi waseme na lipi wasiseme...
Nidhamu gani TRA wanamnyima pesa zake Ramadhani Mtunzwe??Nidhamu kazini au uoga kazini?
😂😂 hili la nidhamu kazini weka pending maana halina kura
Tumejipanga na hawataweza.Ccm wamepoa wanaandaa mbinu chafu,Upinzani kuweni makini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo hayo nane ndio wamefanya ujenz wa barabara haujaona madaraja hospital nidhamu kazin kubana matumiz kuzuia mfumuko wa bei umeme wa uhakika mirad mikubwa yote hujaona husda na chuki ni ugonjwa mbaya sana na uchaw sio mpaka ubebe tunguli hapo mkuu upo katika hatua za awali za uchawi ukidevelop utaanza kubeba matunguli keep it up
Nidhamu kazini hakuna watu wanaogopa kuuwawa au kupotezwa tu. Madaraja, reli, barabara hata hospitali Mjerumani alijenga. Mpaka Ikulu ya DSM ilijengwa na mjerumaniKwa hiyo hayo nane ndio wamefanya ujenz wa barabara haujaona madaraja hospital nidhamu kazin kubana matumiz kuzuia mfumuko wa bei umeme wa uhakika mirad mikubwa yote hujaona husda na chuki ni ugonjwa mbaya sana na uchaw sio mpaka ubebe tunguli hapo mkuu upo katika hatua za awali za uchawi ukidevelop utaanza kubeba matunguli keep it up
Tunaunafiki mbaya sana watanzania na namna hiyo tutabaki tunalag behind kwa muda mrefu sana...kila kilichopo leo mjeruman ndie kajenga.....Nidhamu kazini hakuna watu wanaogopa kuuwawa au kupotezwa tu. Madaraja, reli, barabara hata hospitali Mjerumani alijenga. Mpaka Ikulu ya DSM ilijengwa na mjerumani
Kwenye kuchukua fomu za ubunge za CCM hakuwa na mpinzani. Walihakikisha hapingwiSafarii hii kila mmoja ashinde mechi zake, Kule Ruangwa Lindi kwa Majaliwa wanapambana kuhakikisha Majaliwa anapita bila kupingwa, ni uhuni mkubwa sana, chama kama CCM kinaogopa kushindana kwenye debe.
Unajua km vyombo vya dola vinaish kwa amri yaan akuna siasa kule wakipigiwa simu kuwa waende sehemu fulan kutawanya maandamano wanatakiwa kujibu ni YES SIR kinachofuata ni kufika eneo husika na kuanza kutoa kisagp ikitokea askar mmoja akasaliti au askar kadhaa wakasalit amri atapelekwa nyuma ya pazia uko sasa kinachofanyika atapokea dozi mara 10 ya zile alizotakiwa kutoa kwa waandamanaji na hii huwatisha sn askar wengine askar wengine hivyo wanakua hawana jins wao ni kutii amri tu hata km ni bull shirt orderNa si hofu ya kawaida, ni hofu kuu! Hawajui washike lipi na waache lipi. Wakati umewatupa mkono vibaya sana na wamekataliwa mchana kweupe na watanzania.
Mbinu waliyobaki nayo saivi ni vyombo vya dola na serikali ila mbaya zaidi hata huko kwenye vyombo wanawashika viongozi tu. Huku chini hawakubaliani na viongozi wao!
Kwenye hatua ya kura ya maoni ndani ya chama mkuu mm. Lkn kwenye tume badoAlishapita bila kupingwa. Huna Habari?