Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,228
CCM ni mchezaji mzoefu, anajua namna ya kupiga magoli, ni mfano wa Ibrahimovic, yeye na nyavu ndiyo maisha yake.CCM na uchaguzi ndiyo maisha. Sasa hivi wako underground siku wakiibuka watakuwa wamemaliza ligi, watakuimbia kale kawimbo ka; CCM mbele kwa mbele