Baada ya Tundu Lissu kuwasili nchini na kuanza kuwaelimisha wananchi kuhusu uongo na maigizo ya awamu ya tano, pamekuwa na sintofahamu nyingi upande wa chama dola CCM. Pamekuwa na matamko toka kwa viongozi mbalimbali mfano nimesoma kuhusu mgombea ubunge wa CCM jimbo la Ruangwa ndugu Kassim Majaliwa akipangia wagombea urais lipi waseme na lipi wasiseme.
TCRA nao wamekuja na mbinu ya kuzidi kuminya freedom of press.
Maoni yangu ni kwamba wagombea waachwe waseme maana kuna mengi serikali ya awamu ya tano imefanya, mathalani:
1. Ujenzi wa uwanja wa ndege Chato
2. National park Chato
3. Maiti nyingi kuokotwa kwenye fukwe
4. Watumishi wa umma kutoongezewa mishahara
5. Wakulima wa korosho
6. Kuminywa kwa vyombo vya habari kinyume na katiba
7. Uminywaji wa demokrasia
8. Watu kutekwa na kuuawa
Hata hivyo, sipendi polisi wachunguze kuhusu Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hatuhitaji uchunguzi ili kujua wauaji wale walitumwa na nani. Ili kujua nani aliyewatuma wauaji wale unatakiwa tu uwe na akili timamu. Hauhitaji hata elimu ya chekechea ili kubaini walitumwa na nani. Hivyo basi, polisi wasichunguze hilo sababu muhsika anajulikana.
TCRA nao wamekuja na mbinu ya kuzidi kuminya freedom of press.
Maoni yangu ni kwamba wagombea waachwe waseme maana kuna mengi serikali ya awamu ya tano imefanya, mathalani:
1. Ujenzi wa uwanja wa ndege Chato
2. National park Chato
3. Maiti nyingi kuokotwa kwenye fukwe
4. Watumishi wa umma kutoongezewa mishahara
5. Wakulima wa korosho
6. Kuminywa kwa vyombo vya habari kinyume na katiba
7. Uminywaji wa demokrasia
8. Watu kutekwa na kuuawa
Hata hivyo, sipendi polisi wachunguze kuhusu Tundu Lissu kupigwa risasi kwa sababu hatuhitaji uchunguzi ili kujua wauaji wale walitumwa na nani. Ili kujua nani aliyewatuma wauaji wale unatakiwa tu uwe na akili timamu. Hauhitaji hata elimu ya chekechea ili kubaini walitumwa na nani. Hivyo basi, polisi wasichunguze hilo sababu muhsika anajulikana.